Tundu Lissu: Acheni kutunga uongo, mshaurini Rais Samia awataje na kuwakamata walionishambulia

Tundu Lissu: Acheni kutunga uongo, mshaurini Rais Samia awataje na kuwakamata walionishambulia

..wewe unaweza usione kuwa ni jambo la msingi, lakini wapo wengine kwao ni jambo la msingi.

..kinachotakiwa ni HAKI itendeke na waliofanya unyama dhidi ya Lissu na waliowatuma wakamatwe na kujibu mashtaka mahakamani.

..fikiria kama wewe ungekuwa ndio Lissu, mwanafamilia, rafiki, wote tunastahili kulindwa na kutendewa haki tunapopatwa na tatizo kama lililomtokea.
Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko.
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniani Nchi na inasheria zake Sheria ifuate mkondo wake ili wale Wahalifu wakamatwe.
 
Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko.

..Ni kweli na hujakosea.

..tuachane na siasa na Lissu apewe haki yake.

..waliomshambulia sio wanasiasa ni WAUWAJI na wanastahili kukamatwa na kufikishwa mahakamani ili wahukumiwe.
 
Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.

Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.

Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
Ndugu Igu,tuletee chanzo halisi cha taarifa yenyewe ili turned pamoja,kushindwa kufanya hivyo taarifa hiyo una maslshi binafsi nayo.
 
Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko.
Kwahiyo Sheria za Nchi hii ina Double Standard kwa Wapinzani wauwawe tu ati?
 
..asante sana.

..binafsi siwaelewi kabisa wanaopinga waliomshambulia Lissu kukamatwa.

..kikundi cha namna hiyo kinaweza kutumika kushambulia Mtanzania mwingine.

..kwenye tukio la Lissu Watz tunatakiwa tuonyeshe UMOJA kwa kushinikiza uchunguzi ufanyike na wahusika wafikishwe mahakamani.
Na driver pia tushinikize asaidie uchunguzi
Hili suala linaweza kua rahisi sana endapo kila mhusika atashiriki kwenye uchunguzi.
 
Back
Top Bottom