mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko...wewe unaweza usione kuwa ni jambo la msingi, lakini wapo wengine kwao ni jambo la msingi.
..kinachotakiwa ni HAKI itendeke na waliofanya unyama dhidi ya Lissu na waliowatuma wakamatwe na kujibu mashtaka mahakamani.
..fikiria kama wewe ungekuwa ndio Lissu, mwanafamilia, rafiki, wote tunastahili kulindwa na kutendewa haki tunapopatwa na tatizo kama lililomtokea.
Unajua kaswende ikikuzidi unakuwa kichaa?Aache kelele zake zisizo na tija. Anachosha.
Ni wapumbavu kama wewe ulivyo kituko!Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko.
Kwa nini?Kama upo sawa mbona unauliza upuuzi?
Ni wazo jema kabisa.
Kivipi?Unajua kaswende ikikuzidi unakuwa kichaa?
Unamwita huyo jamaa mheshimiwa?Acha ujinga au ni wewe ndie uliehusika katika kumshambulia kwa risasi Mhe Tundu Lissu?
Waambie wapuuzi wenzako waache kumzushia! Kama mnajiamini kwanini mnamzushia Lissu kuwa kasapoti uteuzi wenu?Aache kelele zake zisizo na tija. Anachosha.
Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko.
Ndugu Igu,tuletee chanzo halisi cha taarifa yenyewe ili turned pamoja,kushindwa kufanya hivyo taarifa hiyo una maslshi binafsi nayo.Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
Kwahiyo Sheria za Nchi hii ina Double Standard kwa Wapinzani wauwawe tu ati?Siasa za nilipigwa risasi 30 hakuna anaezifatilia aisee Lissu ajipange upya alipata umaarufu kwa siasa za JPM kwa mama ataonekana kituko.
Watakamatwa tu, dikteta kichaa alikuwa muuajiKwa nini wakamatwe?
Kwangu mimi hana tofauti na vibaka wengine.Waambie wapuuzi wenzako waache kumzushia! Kama mnajiamini kwanini mnamzushia Lissu kuwa kasapoti uteuzi wenu?
Alimtoa kamasi bwana Mzoga.Unamwita huyo jamaa mheshimiwa?
Pole kwa kuchoshwaAache kelele zake zisizo na tija. Anachosha.
Endelea kuota.Watakamatwa tu, dikteta kichaa alikuwa muuaji
Na driver pia tushinikize asaidie uchunguzi..asante sana.
..binafsi siwaelewi kabisa wanaopinga waliomshambulia Lissu kukamatwa.
..kikundi cha namna hiyo kinaweza kutumika kushambulia Mtanzania mwingine.
..kwenye tukio la Lissu Watz tunatakiwa tuonyeshe UMOJA kwa kushinikiza uchunguzi ufanyike na wahusika wafikishwe mahakamani.