Tundu Lissu: Acheni kutunga uongo, mshaurini Rais Samia awataje na kuwakamata walionishambulia

Lisu sasa hivi yuko sawa tu na mmawia wa hapa jf

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtu anaishi ulaya bado anatamani pesa za kibongo?
Tamaa mbaya sana,
Kuna watu haku hawalali wanaota kwenda huko ulaya, yeye tayari yupo bado anaota pesa za kitanzania tu.
Auze hiyo chance kwa mtu mwingine ili aitendee haki.
 
Mtu anaishi ulaya bado anatamani pesa za kibongo?
Tamaa mbaya sana,
Kuna watu haku hawalali wanaota kwenda huko ulaya, yeye tayari yupo bado anaota pesa za kitanzania tu.
Auze hiyo chance kwa mtu mwingine ili aitendee haki.
Bro ungekaa kimya kuliko kupost huu utumbo.
 
Mda si mrefu wafadhili wake watamfukuza maana aliyemkimbia hayupo
 
Hivi kuna watu bado wanamsikiliza Lisu?? Nimeamini kuwa Lisu hajajua kama watu walishamtupa mkono tayari!! Shida ya Lisu ni kuwa yuko karibu na Mabeberu zaidi kuliko alivyo karibu na wazalendo!! Kisiasa nani anamtaka Lisu!! Kibinadamu tunamhurumia kwa masaibu yaliyompata!!
 
Naona na kile kikosi pendwa(hit squad) cha enzi za utawala wa Hamnazo kimeuvamia uzi kwa nguvu zote.
 
Naona mmejipanga kutetea mambo yenu...shambulizi la Lissu na mwenendo wa kesi kuna giza ndani yake.
 
tumekubaliana hili kosa apewe sabaya pia.

mpaka afungwe tushangilie kwa nguvu.
 
Hivi mpaka sasa kuna mtu Mtanzania mwenye akili timamu bado anashabikia binadamu mwenzie apigwe risasi kwa sababu tu ya maneno yake kwenye siasa za upinzani kisha Serikali iliyopo kwenye madaraka ikae kimyaa na bado ikajiita ni Serikali? Kisha watu wanataka wasome wawaeleze kwa nini Waafrika hatuendelei!? Ni wazi hatuendelei kwa sababu vipaumbele vyetu havina mantiki. Tukiuana kwa sababu ya upinzani ina maana hakuna kukosoana; hapo maendeleo yatakujaje ikiwa kila zuzu akisema lazima akubalike? Huu ndiyo mtihani wa Rais aliyeko madarakani, kuwasaka na kuwafikisha mahakamani hao wauaji. Wanaoshabikia mauaji ya kisiasa wapimwe akili zao!
 
Morphine.
Itakuwa inatumika hizo operation zake.

Ni wa kusamehe. Tu.
 
..Mama aunde Tume Huru ya Uchunguzi ikate mzizi wa fitina kuhusu nani alitaka kumuua Tundu Lissu.
Ndugu, it's just a matter of time...

Hakuna kilichojificha chini ya kapeti ambacho hakitaweza kuwekwa wazi...

Tena hawa hawa wenye "serikali yao ya CCM wanaojifanya" hawajui lolote "leo" kuhusu uovu huu mbaya walioutenda wao moja kwa moja gizani ama indirectly kwa maelekezo yao, mmoja mmoja ataanza kujifunua mwenyewe au "karma" kumfunua mmoja baada ya mwingine mpaka watakapoisha wote...

Yaani hawaoni wala hata kuitambua moja ya ishara muhimu ya ONYO LA HATARI kwao la kukauka kwa shina lao la "UOVU" - kifo cha Mwendazake John Pombe Magufuli....!!

Kama shina limekatwa, matawi yatawezaje ku - survive...?

Honestly, kinachoendelea sasa ni ujinga na upumbavu wa binadamu tu kwa kuamini kuwa nguvu na madaraka ya kupita ya kibinadamu yanaweza kuwalinda dhidi ya uhalifu wao kwa binadamu wenzao...

Binadamu si kiumbe cha binadamu. Binadamu ni kiumbe cha thamani sana cha Mungu - Yehova. Mungu anatulinda na kutuhifadhi kwa gharama kubwa sana..

Hakuna awezaye kumwaga damu ya binadamu mwenzake akaepa ghadhabu ya Mungu Muumba...

Narudia tena kusema, kuwa, God The Almighty is BIGGER THAN ANYTHING....

it's just a matter of time for everything to be revealed and be put open in the sunlight...
 
Mgombea Urais Chadema aliyepata Kura chache akitanguliwa na Mbowe,

Mwaka 2005 ; Mbowe kura laki sita.

Mwaka 2010 : Dr. Slaa Kura milioni mbili.

Mwaka 2020; Lisu milioni moja na laki mbili.

Mwaka 2015: Lowasa Kura milioni sita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…