Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Lisu ameendelea kudai kwamba hayati Magufuli aliagiza msaliti hasitahili kuishi na baada ya muda mfupi Lisu akashambuliwa kwa risasi Dodoma, je kumbe Lisu alikuwa anajijua ni msaliti wa nchi?, maana Magufuli hakutaja jina la mtu alitaja msaliti.
Kwa nini Clouds FM hawakumuuliza dereva wake amemficha wapi?

Kwa nini Clouds hawakumuuliza sababu za Acacia kufutwa Tanzania na hawakushitaki MIGA?

Kwa nini Clouds hawakumuuliza kama alipigwa na Magufuli na sasa hivi ni miaka miwili Magufuli hayupo kwa nini uchunguzi haufanyiki sasa hivi?

Nb: watoto wa Mbowe na Lisu wote ni raia wa Marekani.
 
Hakuna Hoja Umeandika Kwa Wepesi Sana Mkuu Hata Kama Ni Ngumbalu
Serikali Ina Kila Kitu Na Vyombo Mbalimbali Vya Kulifanyia Kazi
Kama Unakumbuka Vema Kuna Mataifa Yalitaka Kuleta Wataalam
KUsaidia Uchunguzi Wakagoma



Hili Jambo Wapo Wanaolijua Wazi Wazi, Ni Kama Wale Covid 19 Siyo Siri Ila Ujanjaujanja
 
""Tunarinda regacy na kuosha kaburi chato!! Reo tupo rindo"🤣🤣

Watuambie kwanza hela za plea bargaining kwenda china zilienda kufanya nn? Na kwa nn hazikulipwa kupitia account za serikali, mabilioni yakawa yanapelekwa cash kama wanaenda kulipia maandazi?

Wezi wakubwa!!
 
Back
Top Bottom