Hujakatazwa kuropoka pia.Hajui ata hizo hela za fidia anazo ahidi atatoa wapi let alone za kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama angeulizwa wala za kulipa madeni ya nchi halafu atashusha kodi.
Kupunguza matumizi ya serikali Lissu atafuta wakuu wa mikoa na wilaya hawana shughuli kwa mujibu wake on the same token of cost anapendekeza serikali za majimbo which is more costly to run, creates more employment and higher bill for taxpayers.
Halafu kuna mapoyoyo utawasikia Lissu ni mpango wa Mungu mtu ambae anajiropekea tu.
Ndugu nafasi ya uraisi inataka kiongozi mwenye vision ya kuwatoa watu sehemu moja kwenda nyingine.Ninakubaliana na Waziri mkuu, . . Urais si mchezo, unahitaji mtu;
Makini,
Msomi,
Muelewa,
Mwenye busara,
Mwenye Utu,
Mtanzania mzalendo;
Anayetambua Urais ni Taasisi na si mtu binafsi! . . Katika Uchaguzi huu mtu huyo ni Tundu Lissu!!
Lissu naomba uwaambie ujinga wa magufuli dhidi ya kenya,umeifanya Kenya iagize millions of tons ya mahindi kutoka Mexico kiasi kwamba wakulima wetu na maize processors waliokuwa wanategemea masoko ya Kenya biashara zao zimeyumba sana
"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu
#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.
“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.
"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.
"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
Kwa babu yako wakamboWe ulisikia wapi
Pamoja na pumba zako hizi, sita shangaa nikiambiwa kuwa nawe ni msomi mzuri tu!Yeye mwenyewe Lissu hana uhuru kwa wazungu waliomtuma wamemfanya kama panya wa maabara wamemfunga devices mwili mzima asije akawatoroka na madeni baada ya kukosa urais aliowaahidi kwamba atapata wakati anajua wazi kwamba anaonhea usanii mtupu na sio sera ya chama chake, ni kichaa peke yake atakayempigia kura Lissu
Vitu vya beberu ndivyo magufuli anavyochukulia ujiko
"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu
#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.
“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.
"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.
"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
Natamani ningepewa nafasi ya kujibu hilo swali la NEO colonialism vs our resources
"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu
#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.
“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.
"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.
"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
Sie tutavushwa na Joshua wetu yezebel ni baa kubwaGo Lissu. Our Joshua.
Mkuu wewe ndo hujui au hujaelewa,kuna mtu anaweza badiri katiba for a single day?Ndugu nafasi ya uraisi inataka kiongozi mwenye vision ya kuwatoa watu sehemu moja kwenda nyingine.
Sasa kutokana na limited resources za Tanzania mtu anaetoa ahadi ya kufanya kila kitu he is not serious na wala hajui serikali inavyoendeshwa.
Hivi wewe kwa akili zako timamu unaweza badili mfumo kutoka unitary system to federal over night? Think that in terms of the planning required to recruit, training, having different experts on matters of economy, taxation, health (technocrats wa kila jimbo) kuna hao viongozi wenye vision za kuongoza hayo majimbo, were will there first budgets za kila jimbo come from?
In short ata ingepigwa kura ya maoni watu wakachagua serikali ya majimbo planning and implementation inaweza chukua miaka mitano. Yeye anakwambia akishinda tu kutakuwa na serikali ya majimbo wewe kweli unaona huyo mtu anafahamu utekelezaji wa mambo anayoongea au anaropoka tu.
Shabiki yeyote wa Lissu udhani kama anaelewa how the world revolve ni kushabikia ujinga tu.
Alikuta deni la 20, labda trillion au bilioni za dola, yeye kafikisha 40 na kitu! (Hizo figure inawezekana siyo accurate a 💯, lakini ni main idea!Amekopa ngapi na nyuma tulikopa ngapi?
Ni ubabaishaji kwa kwenda mbele kutoka kwa mgombea wa chama cha Mbowe...atoe 'model of operation' itakayodhibitisha kuwa wazo lake hili linatekelezeka bila kuathiri maeneo mengine!!...ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
Maneno kuntu"Nchi hii inaihitaji Dunia, Dunia haituhitaji sisi, korosho tunalima peke yetu?, kahawa tunayo peke yetu? pamba tunalima peke yetu?, dhahabu tunayo peke yetu, tuna kitu gani 'actually' Dunia ikihitaji haiwezi kupata zaidi ya nchi yetu"- Lissu.
Upo sawa kabisa, hata Magufuli na CCM yake wanajua hivyo.From today l have come to my conclusion....kutoka tupate uhuru kwenye uongozi wa TZ haijawahi kutokea kiongozi very smart kama Mr Lissu.
Disclaimer: Si kulazimishe kukubaliana na mimi
Ukiwa CCM hata ukiwa smart inabidi ujifanye boya kwanza ndipo uweze kuendana na mfumo wao.From today l have come to my conclusion....kutoka tupate uhuru kwenye uongozi wa TZ haijawahi kutokea kiongozi very smart kama Mr Lissu.
Disclaimer: Si kulazimishe kukubaliana na mimi