"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu
#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.
“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.
"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.
"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.