Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Je ni kweli Lisu alikuwa anaifanyia nchi usaliti kama ilivyoelezwa hapo juu?
Neno usaliti kwa upande wenu CCM lina tafsiri tofauti na maana iliyoko kwenye Kamusi zetu. Lakini Lissu hujawahi kuwa Msaliti wa nchi hata siku moja. Yeye ni mkosoaji wa madudu ya serikali ambayo yaliingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo kwenye madini ambayo ilipitishwa na haohao waliojigeuza ghafla kuwa malaika. Kukosoa kwa sasa ni Usaliti, na ndiyo tumeyashuhudia Kwa Serukamba kwa sasa.
 
Ama kweli inahitajika therapy kwenye ubongo wako kuondoa takataka.Kwa hiyo Tanzania Ni nchi isiyo na amiri Jeshi mkuu Wala ulinzi wowote kiasi Cha watu kuingia nchini na kufanya chochote?Kama Ni hivyo basi chama Cha mbogamboga mmepoteza uwezo wa kuongoza nchi.Mtu akiwa Lumumba uwezo wa kufikiri unapungua kwa 90% sababu ya kuvimbiwa!

Tena kwenye makazi ya viongozi wa serikali yetu
 
Je ni kweli Lisu alikuwa anaifanyia nchi usaliti kama ilivyoelezwa hapo juu?
Hata kama ni hivyo si kuna vyombo vya sheria ambavyo vingetumika kuchunguza tukio zima hilo?

Hivi katika sheria zetu za nchi, ni sheria ipi ambayo inaruhusu raia Fulani achukue hatua yeye mwenyewe na kuamua kumwua raia mwingine?
 
Tatizo taratibu zipo lakini hutaki kuzirejea, matibabu ya nje ya nchi yana taratibu zake mbona hapo unakwepa kueleza? Kama unajiamulia kuondoka nchini kwenda kutibiwa nje ya nchi bila kufuata taratibu, gharamikia matibabu mwenyewe usitafute watu wa kulaumu kwa kulazimisha utaratibu usiokuwepo

Mtu ambaye yuko unconscious anawezaje kuambiwa hajafuata taratibu wakati hakuwa na uwezo wa kuamua
 
Tatizo taratibu zipo lakini hutaki kuzirejea, matibabu ya nje ya nchi yana taratibu zake mbona hapo unakwepa kueleza? Kama unajiamulia kuondoka nchini kwenda kutibiwa nje ya nchi bila kufuata taratibu, gharamikia matibabu mwenyewe usitafute watu wa kulaumu kwa kulazimisha utaratibu usiokuwepo

Na upelelezi nao haufanyiki kwa sababu hakufuata taratibu za kwenda kutibiwa. Angalau sasa watu tunaelewa kwanini jeshi la polisi limeshindwa kufanya upelelezi linaogopa upelelezi utalielekeza wapi
 
Sijawahi kusikia serikali yenye wahalifu wapumbavu kama Tanzania. Inawezekana Magufuli alikuwa hajui kinachpkwenda kutokea, lakini wahuni wakachomeka kwenye hotuba yake ili aonekane alikuwa anajua shambulizi lile na hivi hata yeye uwezo wa kuchuja maneno ni below 0, basi akalipuka nalo.

Kwanini upelelezi haukufanyika kwa hao watu wanaoweza hadi kuchomekea kwenye hutuba ya Rais hapa mbona unazidi kuongezea ushahidi hadi kwenye hutuba kumbe walichomekea Na bado waliochomekea ambao walifahamu kinachotpkea hawajulikani pia.
 
Ukiunganisha "dots" hapo unapata jawabu

Mbunge ananyimwa haki yake ya kutibiwa ambayo ni haki yake kisheria.

Mbunge ananyimwa mshahara wake pasipo sababu za msingi.

Hatimaye mbunge anavuliwa kabisa ubunge wake kwa madai kuwa Bunge hilo halijui alipo Mbunge huyo, wakati dunia nzima inajua kuwa mbunge huyo anatibiwa nje ya nchi, baada ya kumimiwa risasi mfululizo!
Na sio huyo aliye mtaja tuu, hata Ndugai anahusika na mpango mzima wa tukio lile. Hii mabadiliko ya katiba ya juzi ya kinga kuzuia kushtakiwa mpaka spika wa bunge ni muendelezo wa kujiwekea kivuli.

Wanacho jiamini ni kuwa watalazimisha wawepo madarakani siku zote, lakini mwaka huu ndio mwisho na mahakamani tutawapeleka, hata kama Lissu kawasamehe sisi tutawashtaki kwa matumizi mabaya ya risasi za serikali.
 
Mgombea Urais wa Chadema katika uchaguzi mkuu ujao mwishoni mwa mwaka huu, ametoa madai mazito mjini Njombe jana katika ziara zake za kutafuta wadhamini, akimuhususisha Rais, kuhusu jaribio la kuuawa kwake, lililofanyika September 7 mwaka 2017...
Tunataka upelelezi uanze na dereva wa Lissu, mbona mnaficha sana
 
Basi alipata alichostahili!

Na huyu anazidi kujivua nguo! Anafikiri anaongea ukweli kumbe anajianika jinsi alivyokuwa analisaliti taifa!
Subiri tutamuinesha adhabu yake hapo oktoba.

Angalia hata walio kuwa wakimsikiliza kulikuwa na hisia mchanganyiko. Wanafiki ndio wakionesha kuguswa na wengine kumshangaa kumbe wewe umsaliti na unauthubutu wa kujitangaza hadharani kama ulichokuwa unakifanya ni kitendo cha kujivunia!
 
Mumekosa LA kusema hadi MNA kufuru. Mungu yupi huyo anayetumia risasi kwa binadamu aliye muumba kwa mfano wake?
Mashetani ni hatari sana kuishi nao!


Soma vitabu vya Dini vizuri, Mwenyezi Mungu anaadhibu pia, ...
 
Swali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?

Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.

Na wale waliowasiliana na mabeberu hadi wakasaini mikatambu iliyoifilisi nchi yetu miaka yote hiyo walishauliwa lini maana Lissu amewasilina tu kuna watu hadi wamesaini mikataba ya kugawa madini yetu kabisa
 
Back
Top Bottom