TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kwa hiyo mtu huyo aliyekuwa ajaribu kuiba taarifa mbalimbali nyeti kwa lengo la kushirikiana na mabeberu katika kutuhujumu malipo yetu ya madini "@NI YEYE"!?"Katika mapambano ya kijeshi, huwa wana kawaida ya kumwua, askari yeyote ambaye anawasiliti katika mapambano yao, vile vile katika vita ya kiuchumi ambayo nchi yetu inapigana hivi sasa...
- - -
Hivi kichwa cha huyu ndugu "kinafanya kazi kweli"!?