G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Ni Jiwe hata majengo yanajuaChuki tu ndo zimewajaa, mbowe na genge lake wamefanya mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Jiwe hata majengo yanajuaChuki tu ndo zimewajaa, mbowe na genge lake wamefanya mambo.
Kwahiyo ni kweli alishambuliwa na hao wanaojiita wako kwenye vita ya Uchumi sasa mbona hawakumilisha huo upelezi kuwa ameshambuliwa sababu alikuwa anakwamisha vita ya Uchumi kama wanavotangaza kuuwa majambazi
Hili jambo ni zito sana na tusipoacha unafiki na kulitatua kwa uwazi litaendelea kutusumbua sana.
Kosa baya sana lilifanyika na badala ya waliolitenda kurudi nyuma na kujitathmini, wanatafuta shortcuts za kuficha sura zao.
Huyo Mwanyika atakuwa ameingizwa kwenye siasa kwa shinikizo, labda aje kumchafua Lissu.
PoleniNi Jiwe hata majengo yanajua
Tumekamata vijambio vyenu hamuwezi hata kucheka, na bado baada ya uchaguzi lazima tuwakomeshe kabisa ili mjifunze siasa za kuheshimianaPole sana kada endelea kutoa kijambio tu,siasa huziwezi
Lissu hajawahi kuwa mnafiki anachukiwa sababu anapenda kusema ukweli ndiyo sababu anachukiwa wanafiki wa nchi hii. Hivi leo Deo Mwanyika wa kupitishwa kugombea ubunge. Tuhuma zake hazilingani hata na asilimia 1 ya tuhuma za Lissu
Tatizo taratibu zipo lakini hutaki kuzirejea, matibabu ya nje ya nchi yana taratibu zake mbona hapo unakwepa kueleza? Kama unajiamulia kuondoka nchini kwenda kutibiwa nje ya nchi bila kufuata taratibu, gharamikia matibabu mwenyewe usitafute watu wa kulaumu kwa kulazimisha utaratibu usiokuwepo
Embu leta icho kitabuSoma hata vitabu vya dini wasaliti walikuwa wanafanywaje?
Analalamikia kupigwa risasi 16 na hakuna hatua yoyote ile iliyochukuliwaSasa analalamika nini kama yeye siyo aliyekuwa anaisaliti nchi kwanini ahusishe shambulio lake na maneno ya rais juu ya mtu anaesaliti nchi?
Hao ndiyo hao hao "ma-hitmen" ambao Jeshi letu la Polisi nchini wanatuaminisha kuwa ni "watu wasiojulikana"EView attachment 1543604
We kept it for the record hiyo sura yako na roho yako unaificha wapi
Hakuna litakalofichika yote tatajulikana hatimaye.Sijawahi kusikia serikali yenye wahalifu wapumbavu kama Tanzania. Inawezekana Magufuli alikuwa hajui kinachpkwenda kutokea, lakini wahuni wakachomeka kwenye hotuba yake ili aonekane alikuwa anajua shambulizi lile na hivi hata yeye uwezo wa kuchuja maneno ni below 0, basi akalipuka nalo.
Ni wapuuzi tu hawana loloteHao n
Hao ndiyo hao hao "ma-hitmen"
Haya ila linaloenda kutokea kila mtu atalia na msiba wakeSi amesema alipigwa baada ya kuwa anasaliti nchi?
Ni upotevu wa rasimali kujaribu kuwakamata waliotaka kumuua msaliti wa nchi
Basi Lisu hafai! Lkini pia deo mwanyika huenda alikuwa anatumika kuwanasa wasaliti aina ya Lisu
Muulize mke wakeKwahiyo ni kweli kwamba Lisu alikuwa analifanyia usaliti taifa?
Unakosea sana mkuu. Hakuna mtanzania mwenye roho mbaya kama Lissu ila Watanzania tunamvumilia na hata serikali na vyombo vyake vinavumilia matusi, hivyo hatujahusika wala serikali haina mpango, ila kwa sababu hii ni vita ya maslahi, wazungu walishaazimia lazima tena huyu mropokaji wenu watamtumia kujaribu tena kutupa kete yao ya kuvuruga Tanzania ili wajitwalie rasilimali zetu, walishindwa Mtwara sasa wamekuja na njia mbili, ya kwanza ni kufadhili waislam magaidi huko kibiti (tuliwashinda).Watu tunaoaminishwa na Jeshi letu la Polisi kuwa ni "watu msiojulikana" mmeanza kujitokeza hadharani na kujitambulisha rasmi kuwa nyiye ndiyo WATU MNAOJULIKANA kwa Jeshi letu la Polisi!
Dada yako kaangukia pua mahakamani pambana hata apate 10% ya ippMkuu Lissu amesema ni yeye ndio alikuwa analisaliti taifa ....
Kwqhiyo Lisu akatoboa siri kwamba akikuwa anasaliti taifa?
Huyo jamaa mjinga sana kumbe