Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Swali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?

Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.
Kwa hicho anacho kisema hapo maana yake kuwa kweli ndio yeye, kwanini aihusishe kauli ya usaliti kuwa inamgusa?

Alafu wakati kauli hii inatoka ndio kipindi kile wale magaidi wa kibiti walikuwa wakifanya mauaji kila kukicha na huyu Lissu nae alikuwa ni mtu wa matamko kila siku mara kupinga tume ya uchunguzi wa madini (akii ni Rubbish) mara kupinga njia inayo tumika kupambana na magaidi wa kibiti (wanauawa hawakamatwi).

Hapo ukifikiri sana utakuja kuona kwamba yawezekana Kuna watu walienda kumpiga risasi Lissu kwa makusudi kabisa ili kuchonganisha wananchi na serikali yao kutokana na matamko yaliyokuwa yanatolewa na mienendo ya huyu Lissu mwenyewe kwa wahalifu makini lazima tu wangelichukulia hilo kama advantage kwao kupenyeza wanachokihitaji.

Hata sasa bado nina wasiwasi sana na usalama wa huyu mtu mana wenye nia ovu bado wapo na kwa hali ilivyo sasa wakimfanyia kitendo chochote kibaya basi watafanikiwa kuvuruga kabisa amani na utulivu vyombo vya usalama viwe makini sana kumlinda huyu mtu hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi, wakizubaa tu kidogo watu wata take advantage kwa huyu jamaa.
 
Mkuu Lissu amesema ni yeye ndio alikuwa analisaliti taifa ....

Kwani wewe hukuwepo hapa Tanzania na ulikuwa husikii alivokuwa anapigwa vijembe. Ila jiulize kama ni kweli kwanini alikuwa hashitakiwi na wakati vyombo vyote vya dola viki chini yake ni wazi nia ilikuwa kumchafu kumbuka if you want to kill a dog give it a bad name
 
Si amesema alipigwa baada ya kuwa anasaliti nchi?

Ni upotevu wa rasimali kujaribu kuwakamata waliotaka kumuua msaliti wa nchi
Je Katiba yetu ya nchi inasemaje?

Je Katiba yetu inatoa ruksa kwa raia mmoja kuamuru auawe raia mwenzake, badala ya mhimili wa mahakama kusikiliza ushahidi na kujiridhisha pasipo shaka yoyote, ndipo itoe hukumu ya kuuawa raia huyo?
 
Mkuu hayo yakusahambuliwa hatuna uhakika nayo kama ameshambuliwa na hao wewe unao wadhani lakini uhakika tulio nao ni Tundu Lissu kukiri kuwa yeye ndio alikuwa ana tusaliti na alikuwa ana wasiliana na mabeberu kutuhujumu...... Tunamshukuru Tundu Lissu

Sasa kama alikuwa anasaliti mahakama si zipo na ushahidi mlikuwa nao kwanini hamkumshitaki kwa hilo kosa maana usaliti ni kosa la jinai. Hivi mtu una vyombo vyote vya ulinzi na usalama halafu unasema kuna mtu anaiba mali ya umma na tunayo mawasiliano ya ushahidi laki humkamati sisi wananchi tutamini hicho unachokisema kweli
 
Hii stori yako umeisimulia kwa kupuyanga.

Kwanza Daudi alimuua Uria ili isigundulike kwamba yule mama alipata mimba ya mfalme wakati Uria yuko vitani...

Hizi ndizo adhabu nilizo sema Mungu alimuadhibu Daudi alivyo onainafaa. Na kushauri usije ukakosea libapokuja suala la utii kama unekula hicho kioapo. Usikengeuke its fatal mistake.

Kumbuka hawa 30 elite comandos wa Daudi Wakati flani Daudi akiwa vitani na vita vimechachamaa saba,Daudi akawa amekimbia mafichoni. Huko akiwa mafichoni akapata homesick Basi Daudi akataka angaĺau aipoze kiu yake kwa maji ya moja ya visima vilivyo kuwa katika malango ya mji wa Yerusalem/Bethlehem sina hakika. Mji huo ulikuwa umetekwa uko chini ya ngome ya maadui.

Comandos watatu wakasema Mfalme Daudi usihofu tuko kwa ajili yako Walienda wakapenya mpaka katikati ya ngome ya maadui na kuteka maji wakamletea mfalme Daudi. Mfalme Daudi alipoyaona yale maji Hakuyanywa na kusema, kunywa maji haya ni kama kunywa damu yenu. Maji yakawa ni sadaka kwa Mungu.
 
Swali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?

Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.
Yule aliye isababisha serekali kukosa mapato ya tirioni za mapesa mbona mumemteua kua mbunge wa ccm
 
Kwa ni uongo si kweli alikuwa anakwamisha juhudi za vita vya kiuchumi kwa jina la makanikia ambavyoTaifa lilikuwa likipambana na wale wezi wa madini. Kwani ni uongo kuwa alikuwa msaliti akitaka kukwamisha vita hiyo. Ajitafakari kaacha tabia yake ya usaliti na uasi au anaiendeleza kwa style nyingine?
Sasa yule aliyekua akisababisha serekali kukosa pesa zaidi ya tirioni 4 mbona mumemteua kugombania ubunge kwa tiketi ya ccm
 
Huo ndiyo ukweli bila chenga na ndiyo maana Jeshi la Polisi limekuwa na kigugumizi.
 
Tundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Mkuu wewe ulishakatwa mkia siku nyingi. Hivi sasa umebaki kujipendekeza tu. Comments zako hazina impact zozote tena kama hapo awali.
 
Sasa yule aliyekua akisababisha serekali kukosa pesa zaidi ya tirioni 4 mbona mumemteua kugombania ubunge kwa tiketi ya ccm

Serikali angalau imeshaanza kulipwa na hao wa makanikia, 300 billion, ya wezekana baadaye aliona umuhimu wa kuwa mzalendo na sema ya wezekana. Hujui anamchango gani katika kutoa ushirikiano, tulio waamini watuongoze wanajua zaidi na ndio maana walijiridhisha wakampitisha. Oengine huko mbeleni atasaidia Taifa zaidi maana angalau anajua mbinu za mabeberu walivyokuwa wanatuibia.

Na huyu ni mfano mzuri wa kuonesha ulaghai wa Lissu. Hapa kakupata hata wewe maana kamgusia tu akaachia hewani.
 
Wewe kuna funzo litakuja kukufunza katika maisha yako ndo utajua uchungu waliopitia familia ya lisu.
Ndiyo maana nikazaliwa na baba mwenye busara ya kuipenda nchi yake na si kibaraka
 
Tatizo taratibu zipo lakini hutaki kuzirejea, matibabu ya nje ya nchi yana taratibu zake mbona hapo unakwepa kueleza? Kama unajiamulia kuondoka nchini kwenda kutibiwa nje ya nchi bila kufuata taratibu, gharamikia matibabu mwenyewe usitafute watu wa kulaumu kwa kulazimisha utaratibu usiokuwepo
Kama ndivyo ni sawa. Vp kuhusu posho mshahara na Ubunge wake navyo havikuwepo kisheria? Jiongeze kidogo Mkuu. Watz Siyo Wajinga.
 
Tundu lissu anajifanya ana akili kuzidi wote ndiyo maana alimtukana hadi founder wa taifa letu kitu ambacho kwa wazungu wanaomtumia kwao angekuwa ameshakula shaba hata kufa

Kwani matusi hivi siyo kosa la jinai mbona hakushitakiwa na vyombo vya kusimamia sheria vipo. Ukiona hivyo ni uwongo tu na upotoshaji kama kweli amemtukana angeshitakiwa mahakamani
 
Ndiyo hivyo tena

Huyo Tundu Lissu ana "guts" hadi anadiriki kutoa tuhuma nzito kiasi hicho kwa mkuu wa nchi!........

Amewaachia mpira huo waucheze Jeshi letu la Polisi, waliokuwa wanadai kwa muda mrefu kuwa uchunguzi wao utaendelea pale Tundu Lissu atakaporejea nchini na ndiyo hivyo kesharejea na ameamua kuyaweka hadharani mambo yote yaliyomtokea!

We subiri kwanza aropoke kisha tukusanye na ushahidi kisha si anajifanya mwana sheria na yule wa ulaya watajibu hayo madai kamaa wana uhakika, baada ya hapo yule atabaki kwao ulaya anakula popcorn huku jamaa ananyea ndoo.
 
Back
Top Bottom