Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Kama ni kweli!

Siwezi kuwa rais mwenye mamlaka yote aalafu badala ya kutumia muda wangu kuwaletea wananchi maendeo nianze kukimbizana mahakamani na masaliti wa nchi ninayoiongoza.

Poteza endelea na mambo mengine.

Dunia hii ina kanuni zake za kuishi.

Akili yako unaijuwa mwenyewe Rais siyo mtu ni tasisi kuna watu wanalipwa mshahara kwa kusimamia sheria. Kwahiyo unakuwa na muda wa kurusha vijembe majukwani halafu huna muda wa kumfikisha mtuhumiwa mahakamani na umeapa kulinda katiba mtu anakiuka sheria uliyoapa kulinda unasema huna muda sasa ulikula kiapo cha nini
 
Sasa Tundu amewaambia wana NJOMBE kama ni kweli yeye ndo alikuwa anavujisha Siri kwa Deo Mwanyika kama wakili ili tuunganishe dots kujua ukweli wa tuhuma zake kwa Rais?
 
Serikali angalau imeshaanza kulipwa na hao wa makanikia, 300 billion, ya wezekana baadaye aliona umuhimu wa kuwa mzalendo na sema ya wezekana. Hujui anamchango gani katika kutoa ushirikiano, tulio waamini watuongoze wanajua zaidi na ndio maana walijiridhisha wakampitisha. Oengine huko mbeleni atasaidia Taifa zaidi maana angalau anajua mbinu za mabeberu walivyokuwa wanatuibia.

Na huyu ni mfano mzuri wa kuonesha ulaghai wa Lissu. Hapa kakupata hata wewe maana kamgusia tu akaachia hewani.

Unalinganisha bilion 300 na Trilion 4 (bilion 4000)?

Shida kwelikweli
 
Tundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Mkuu nao kule kwa Trend ya utabiri wa Nyani Ngabu kuhusu lidubwashwa umekula kona imekuja huku kusema yale maneno yako ya chuki dhidi ya Mwana wa Adam mwenzio
 
Angalia hata walio kuwa wakimsikiliza kulikuwa na hisia mchanganyiko. Wanafiki ndio wakionesha kuguswa na wengine kumshangaa kumbe wewe umsaliti na unauthubutu wa kujitangaza hadharani kama ulichokuwa unakifanya ni kitendo cha kujivunia!
Ile video haikuendelea lakini pale mwanzo lisu wakati ananza kuongea lisu alisema turudi kwenye hotuba ya rais 'rais anasema Na Yule mpiga kelele ashughulikiwe ambaye ni mh Lissu mpigania madini nchi hii.

Hapa dhairi kabisa rais aliona lisu anaharibu maslai yake
 
Swali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?

Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.
soma tena vizuri mkuu, uelewe.
 
Ndiyo hivyo tena.

Huyo Tundu Lissu ana "guts" hadi anadiriki kutoa tuhuma nzito kiasi hicho kwa mkuu wa nchi!.

Amewaachia mpira huo waucheze Jeshi letu la Polisi, waliokuwa wanadai kwa muda mrefu kuwa uchunguzi wao utaendelea pale Tundu Lissu atakaporejea nchini na ndiyo hivyo kesharejea na ameamua kuyaweka hadharani mambo yote yaliyomtokea!
Dereva je? Anarudi lini maana yule ndo alishuhudia kila kitu.

Tunataka atuambie zile risasi alizopigwa lissu katika mguu wa kulia upande aliokua amekaa yeye zilimkosaje zikampata Lissu.
 
Sijaelewa, kwahiyo anaomba kuchaguliwa sababu alipigwa risasi? Yeye ni wakwanza kupigwa risasi? Tumeshuhudia hadi askari wakipigwa risasi sembuse yeye? Atupe sera ataifanyia nn TZ sio blah blah.
Lumumba mbona wagumu kuelewa mnavuta Bangi ya wapi
 
Hakika mkuu

Lazima ieleweke kuwa kwa Jeshi letu la Polisi kushikwa na "kigugumizi" kuendelea na uchunguzi, lazima watu walioko kwenye "system" ndiyo "main suspects"
Tulia wewe. Hii kesi haijafa, watu wana akili zao timamu. Wanasubiria muda muafaka tu.

Hata Lissu alikua ana uwezo wa kwenda kufungua mashitaka ya shambulio dhidi yake. Jiulize why hajafanya hivyo, badala yake kakimbilia kuchukua fomu ya urais. Haya mambo ni mazito, mtakuja kubaki midomo wazi.
 
Adhabu ya msaliti siyo mahakamani.

Yanini kupoteza muda wote huo?

Hiyo sheria namba ngapi halafu mkiambiwa wauwaji mnasema mnaonewa. Marehemu Rais Mkapa ametawala miaka 10 bila kusaini mfingwa kunyongwa tena aliyethibitika na makosa. Halafu jitu zima linashadadia kuuwa mtuhumiwa tena wa kusingiziwa. Ni binadamu gani asiyeogopa kutoa uhai wa mwenzake. Inawezekana wauwaji wanajificha humu JF
 
Tulia wewe. Hii kesi haijafa, watu wana akili zao timamu. Wanasubiria muda muafaka tu.

Hata Lissu alikua ana uwezo wa kwenda kufungua mashitaka ya shambulio dhidi yake. Jiulize why hajafanya hivyo, badala yake kakimbilia kuchukua fomu ya urais. Haya mambo ni mazito, mtakuja kubaki midomo wazi.

Angefungua mashitaka kumshitaki nani na sheria imepitishwa ya kuwakinga wasishitakiwe baada ya kusikia amepona anataka kurudi. Watu tunafahamu mbinu zote zinazofanywa.
 
Back
Top Bottom