Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Sasa wewe si jinga tu ndio maana una muona Lisu anaakili?

Huyo mtamchagua nyie wajinga wenzie wa chadema! Watanzania hawawezi kumchgua mtu aliekiri kwa mdomo wake kwamba alipigwa risasi sababu ya usaliti
Kichaa wewe ?

Wapi nimesema nitamchagua lissu kenge wewe.

Unadhani wengine tunapenda siasa Kama unavyodhani mpuuzi wewe.


Sema wewe ndio hutamchagua usiseme sisi hatutamchagua.


Mgonjwa wa akili wewe.
 
Kwahiyo ni kweli Lisu alikuwa anaifanyia nchi usaliti ndio maana akapigwa Risasi?
Nyie mataahira huwa bado tu mnamuamini huyo Meko?

Huyo Deo Mwanyika ambaye alisemwa kutoa taarifa kwa Lissu na baadae kushtakiwa kwa makosa zaidi ya tisini yakiwemo ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha na baadae kuachiwa baada ya kulipa approximately 1.5b after plea burgain, jana kapitishwa kugombea ubunge huko Njombe kwa tiketi ya ccm.
 
Sijawahi kusikia serikali yenye wahalifu wapumbavu kama Tanzania. Inawezekana Magufuli alikuwa hajui kinachpkwenda kutokea, lakini wahuni wakachomeka kwenye hotuba yake ili aonekane alikuwa anajua shambulizi lile na hivi hata yeye uwezo wa kuchuja maneno ni below 0, basi akalipuka nalo.
Mtamtetea sana nwaka huu

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kusikia serikali yenye wahalifu wapumbavu kama Tanzania. Inawezekana Magufuli alikuwa hajui kinachpkwenda kutokea, lakini wahuni wakachomeka kwenye hotuba yake ili aonekane alikuwa anajua shambulizi lile na hivi hata yeye uwezo wa kuchuja maneno ni below 0, basi akalipuka nalo.
Mdomo jamani huponza.
 
Tutakuja kubaki midomo wazi kwa kuwa bado mnatafuta pa kushikilia ila hampapati.

Kila mkijaribu hoja mfu na tuhuma za uongo zinakuwa hazina mashiko. Ni ukweli tu ndiyo utawaweka huru, katika hili AMINI NAKUAMBIA.
Tuhuma zipi za uongo? We hili suala la Dereva halikufikirishi? Kwanini anafichwa mpaka Leo? Weka ushabiki pembeni upe ubongo wako walau dakika 2 utafakari utaona kuna jambo lina mantiki hapa.
 
Tunataka sera atasaidiaje wakulima, machinga, wasomi, wajiriwa,viwanda,uchumi,siasa ,elimu ,aachane na mambo ya risasi
Muda wa sera bado mkuu. Hvi tuwaeleweshaje? Muda huu hatakiwi kutoa sera mpaka atakapoanza kampeni mkuu. Umenisoma?

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Ni ngumu sana kwa serikari kujitetea kuhusu hili tukio kutokana na mambo ambayo lissu alifanyiwa hata baada ya kupigwa risasi.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Tunataka zile cctv kamera zilizotolewa tuzione kwanza
Kama hizo CCTV Camera zilikuepo, basi zitatolewa mahakamani kama ushahidi. Hamuwezi kuonyeshwa nyinyi kama viongozi wenu walivowalisha matango pori.
 
Sijaelewa vizuri. Kwani Tundu amerudi nchini ili kugombea urais au kutwambia waliyomshambulia?

Jina huaksi tabia ya mtu (TUNDU)
we kweli hamnazo, sasa ataanzaje kuacha kusimulia yaliyomsibu kwa mfano?!.

inawauma watz kuelezwa ukweli eeh...na bado atazunguka tz yoote hadi kijiji kuwaeleza wananchi namna SIRIkali awamu ya tano ilivyokatili na isiyokubali kukosolewa.

Na kwa hulka yetu watz tulivyo tegemea kura za huruma kwa TL za kutosha - watz hatupendi kuona mambo ya ukatili dhidi ya binadam!.
 
Watu wa Sodoma na Gomola walijiumba!? Kama unawajua watu hao utakuwa umenielewa.
Kama adhabu ya Lissu ilitoka kwa Mungu na kwa marisasi yale yote unataka kutueleza nini labda?

1. Kwamba Mungu hana shabaha kwa kushindwa kumuua?!

2. Kwamba Mungu akaendelea kushindwa zaidi hata Lissu leo anatembea?!

3. Kwamba Mungu anaweza kushindwa na Lissu?!

Infact, katika tukio kama lile ni Mungu pekee ndiyo anayeweza kumuokoa Lissu na si vinginevyo.
 
Kama adhabu ya Lissu ilitoka kwa Mungu na kwa marisasi yale yote unataka kutueleza nini labda?

1. Kwamba Mungu hana shabaha kwa kushindwa kumuua?!

2. Kwamba Mungu akaendelea kushindwa zaidi hata Lissu leo anatembea?!

3. Kwamba Mungu anaweza kushindwa na Lissu?!

Infact, katika tukio kama lile ni Mungu pekee ndiyo anayeweza kumuokoa Lissu na si vinginevyo.
Kwenye vitabu hivyo hivyo vitakatifu, tunaambiwa Shetani alikuwa malaika mwenye cheo kikubwa. Inasemekana shetani bado anadunda humu duniani. Someni vitabu hivi vitakatifu vyote na kwa ufasaha! Je. Unakubali shetani anarandaranda duniani ama la?
 
Tuhuma zipi za uongo? We hili suala la Dereva halikufikirishi? Kwanini anafichwa mpaka Leo? Weka ushabiki pembeni upe ubongo wako walau dakika 2 utafakari utaona kuna jambo lina mantiki hapa.
sasa polisi wa nchi hii wanakwama wapi
 
Swali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?

Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.
Tumieni sheria kumshtaki
tafuteni makosa halali andaeni charge then mpelekeni mahakamani
 
Back
Top Bottom