Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

View attachment 1543623
Mgombea Urais wa Chadema katika uchaguzi mkuu ujao mwishoni mwa mwaka huu, Tundu Lissu, ametoa madai mazito mjini Njombe jana katika ziara zake za kutafuta wadhamini, akimuhususisha Rais, kuhusu jaribio la kuuawa kwake, lililofanyika September 7 mwaka 2017.

Akihutubia umati wa wananchi, alikumbushia historia ya tukio lake la kumiminiwa risasi, ambapo aliponea chupuchupu kuuawa na kukimbizwa nchi za nje kwa matibabu.

Akisimulia mkasa huo alieleza kuwa kuna "connection" kati ya hotuba aliyoitoa Rais Magufuli, ya uzinduzi wa ripoti ya tume ya madini, masaa takribani mawili, kabla ya kupigwa kwake risasi, aliyotoa akiwa Ikulu, jijini Dar-es-Salaam.

Aliendelea kueleza kuwa katika hotuba hiyo aliyotoa Rais Magufuli, ambayo alidai ipo ndani ya YouTube, alimnukuu Rais akiyatamka maneno yafuatayo "Katika mapambano ya kijeshi, huwa wana kawaida ya kumwua, askari yeyote ambaye anawasiliti katika mapambano yao, vile vile katika vita ya kiuchumi ambayo nchi yetu inapigana hivi sasa, hatuwezi kuruhusu ku-survive kwa mtu mmoja, ambaye imebainika amekuwa akiwasiliana na mwanasheria wa kampuni hiyo ya madini, Deo Mwanyika, ili kumwibia taarifa mbalimbali nyeti, katika lengo lao wakishirikana na mabeberu kutoka nje ya nchi, katika kutuhujumu malipo yetu ya madini, huyo mtu hastahili kabisa ku-survive" mwisho wa kunukuu.

Tunajua kuwa katika tukio hilo la kupigwa kwake risasi mwaka 2017, Tundu Lissu, Jeshi la Polisi limekuwa likutaaminisha kuwa uchunguzi wa tukio hilo unakwamishwa na Tundu Lissu, muhanga mkubwa wa tukio hilo, pamoja na Dereva wake, ambao wote walikuwa wameenda nchi za nje kwa matibabu.

Hivi sasa Tundu Lissu amesharudi nchini na amewapa "hints" ya kilichompata siku ile ya kutisha sana, ambapo "watu wasiojulikana" walimpiga risasi mfululizo 16 mwlini mwake katika jaribio la kutaka kumwua na ameeleza mwenyewe nini kilimtokea siku ile, ambapo Jeshi letu la Polisi, limekuwa likidai kuwa limekwamishwa kuendelea na uchunguzi wake, kutokana na kukosekana ushahidi huo wa Tundu Lissu

Kwa hiyo nadhani Jeshi la Polisi lingeanza kufanyia uchunguzi wa tukio lile sasa, kwa "hints" alizozitoa yeye mwenyewe muathirika wa tukio lile Tundu Lissu.
safari hii atafuatwa na kifaru
 
Hili tukio ndilo linafunga kazi na kum - discredit kabisa Magufuli na serikali yake....

Hii moja kwa moja linamweka kwenye uhusika Rais Magufuli, hawezi kukwepa wala kujificha....
[/QUOTE
 
safari hii atafuatwa na kifaru
Hahaaaaaa.......... 😀 😛

Huo ulinzi wake usipime na kama unayataka makubwa yakukute, hebu jaribu kuingilia msafara wa Tundu Lissu kuuvuruga, ili ujionee cha moto!
 
Kama ni kweli!

Siwezi kuwa rais mwenye mamlaka yote aalafu badala ya kutumia muda wangu kuwaletea wananchi maendeo nianze kukimbizana mahakamani na masaliti wa nchi ninayoiongoza.

Poteza endelea na mambo mengine.

Dunia hii ina kanuni zake za kuishi.
Acha upuuzi serikali imeajiri watu wa kwenda mahakamani huyu jiwe wenu anapenda sana sifa kiasi MTU akitoa hoja inayokinzana nae akili yake ni kumuua tu! Hana tofutiaaauti na Iddi Amin
Sasa wewe si jinga tu ndio maana una muona Lisu anaakili?

Huyo mtamchagua nyie wajinga wenzie wa chadema! Watanzania hawawezi kumchgua mtu aliekiri kwa mdomo wake kwamba alipigwa risasi sababu ya usaliti
Unazidi kudhihirisha ukilaza wako!
 
Ashindwe kupanik mama yako kwa kuzaa mzoga Kama wewe nipanick mimi
Hahaaaaaa........... 😁 😆

Mjadala umekuwa so hot kiasi hiki, hadi watu mnataka kuanza kuparurana??

Na bado hiyo ndiyo trailer tu ya kutafuta wadhamini, je wakati wa kampeni yenyewe ukianza hapo Agosti 26 si nyinyi watu mtajifia kabisa??
 
Kama ni kweli!

Siwezi kuwa rais mwenye mamlaka yote aalafu badala ya kutumia muda wangu kuwaletea wananchi maendeo nianze kukimbizana mahakamani na masaliti wa nchi ninayoiongoza.

Poteza endelea na mambo mengine.

Dunia hii ina kanuni zake za kuishi.
Mawakala wa shetani mnajaribu kwa njia zote kuhalalisha ushetani wenu.
Damu ya binadamu ikimwagika, no matter ni mkosaji au si mkosaji,lazima aliyeimwaga atapata malipo hapahapa duniani kabla ya moto wa jehanamu (kama akifa hajatubu).
 
Dereva je? Anarudi lini maana yule ndo alishuhudia kila kitu.

Tunataka atuambie zile risasi alizopigwa lissu katika mguu wa kulia upande aliokua amekaa yeye zilimkosaje zikampata Lissu.
Ningewajua wazazi wako,ningewapa pole na kuwashauri wabadilishane wewe kwa japo "door mat".
 
Lissu katuhumu upande mmoja kuwa ulitamka kuwa msaliti yeyote hastahili kuishi.
Je msaliti akigunduliwa hastahili kwanza kukamatwa ?
Kupelekwa mahakamani?
Uchunguzi kufanyika?
Kupewa nafasi ya kujitetea?
Na akipatikana na hatia kupewa adhabu?
Na je adhabu ya msaliti ikoje kisheria,Ni kifungo,kifungo na faini ama kunyongwa mpaka afe?
Au Ni kutumia magenge ya wahalifu Kama Hawa wasiojulikana ya kuua na kukimbia?
Je kushambulia kwa mtindo alioshambuliwa Lissu sio uvunjaji wa sheria?
Walishindwaje kumkamata na kumshitaki mahakamani?
Marekani na Urusi ni mahasimu wakubwa mno,lakini nchi mojawapo ikikamata msaliti au hata jasusi wa nchi hasimu huwapeleka mahakamani na kufungwa.
Kama ilijulikana fulani Ni msaliti msaliti adhabu yake Ni kufa bila kuhojiwa,kushitajiwa na kuhukuniwa kwa njia za kisheria.?
Wataalamu imekaaje hii.?
 
Lissu katuhumu upande mmoja kuwa ulitamka kuwa msaliti yeyote hastahili kuishi.
Je msaliti akigunduliwa hastahili kwanza kukamatwa ?
Kupelekwa mahakamani?
Uchunguzi kufanyika?
Kupewa nafasi ya kujitetea?
Na akipatikana na hatia kupewa adhabu?
Na je adhabu ya msaliti ikoje kisheria,Ni kifungo,kifungo na faini ama kunyongwa mpaka afe?
Au Ni kutumia magenge ya wahalifu Kama Hawa wasiojulikana ya kuua na kukimbia?
Je kushambulia kwa mtindo alioshambuliwa Lissu sio uvunjaji wa sheria?
Walishindwaje kumkamata na kumshitaki mahakamani?
Marekani na Urusi ni mahasimu wakubwa mno,lakini nchi mojawapo ikikamata msaliti au hata jasusi wa nchi hasimu huwapeleka mahakamani na kufungwa.
Kama ilijulikana fulani Ni msaliti msaliti adhabu yake Ni kufa bila kuhojiwa,kushitajiwa na kuhukuniwa kwa njia za kisheria.?
Wataalamu imekaaje hii.?
Siku nyingine ukumbuke kwamba, ukitaka kuandika, Andiko lako ama maoni yako unataka yasomwe na Nani na yawe faida Kwa Nani!

Inakubidi uwe unatumia utulivu pindi uandikapo hoja zako ili ueleweke vizuri
 
Lissu katuhumu upande mmoja kuwa ulitamka kuwa msaliti yeyote hastahili kuishi.
Je msaliti akigunduliwa hastahili kwanza kukamatwa ?
Kupelekwa mahakamani?
Uchunguzi kufanyika?
Kupewa nafasi ya kujitetea?
Na akipatikana na hatia kupewa adhabu?
Na je adhabu ya msaliti ikoje kisheria,Ni kifungo,kifungo na faini ama kunyongwa mpaka afe?
Au Ni kutumia magenge ya wahalifu Kama Hawa wasiojulikana ya kuua na kukimbia?
Je kushambulia kwa mtindo alioshambuliwa Lissu sio uvunjaji wa sheria?
Walishindwaje kumkamata na kumshitaki mahakamani?
Marekani na Urusi ni mahasimu wakubwa mno,lakini nchi mojawapo ikikamata msaliti au hata jasusi wa nchi hasimu huwapeleka mahakamani na kufungwa.
Kama ilijulikana fulani Ni msaliti msaliti adhabu yake Ni kufa bila kuhojiwa,kushitajiwa na kuhukuniwa kwa njia za kisheria.?
Wataalamu imekaaje hii.?
evidence! lkn kwa akina Juma, .......
 
Msaliti haitaji kuishi kabisa kwan yeye mwenyewe kuifanya hiyo kaxi ni sawa na muuwaji kabisa. Km kweli yeye ni msaliti kam alivyojiisi hata mm niko tayari kujifunga bomu nife naye ila nchi yangu iwe salama
 
Tuhuma zilianzia kwenye kamati ya Osoro. Na walichoandika kuna uongo na propaganda nyingi.

Pia wenyewe ndo waliomchongea kwa rais, kwa kumwambia kwamba “anatafuta taarifa”, nadhani ni za uchunguzi wa kamati wake.
 
Kwani Lissu ana maanisha yeye ndio alikuwa msaliti na anadokoa siri zetu na kuziuza kwa mabeberu? Kwa hiyo Lisu kakubali alikuwa ana tusaliti?
Sijataja Lissu katika post yangu jaribu kutoa akili kidogo
 
Lissu katuhumu upande mmoja kuwa ulitamka kuwa msaliti yeyote hastahili kuishi.
Je msaliti akigunduliwa hastahili kwanza kukamatwa ?
Kupelekwa mahakamani?
Uchunguzi kufanyika?
Kupewa nafasi ya kujitetea?
Na akipatikana na hatia kupewa adhabu?
Na je adhabu ya msaliti ikoje kisheria,Ni kifungo,kifungo na faini ama kunyongwa mpaka afe?
Au Ni kutumia magenge ya wahalifu Kama Hawa wasiojulikana ya kuua na kukimbia?
Je kushambulia kwa mtindo alioshambuliwa Lissu sio uvunjaji wa sheria?
Walishindwaje kumkamata na kumshitaki mahakamani?
Marekani na Urusi ni mahasimu wakubwa mno,lakini nchi mojawapo ikikamata msaliti au hata jasusi wa nchi hasimu huwapeleka mahakamani na kufungwa.
Kama ilijulikana fulani Ni msaliti msaliti adhabu yake Ni kufa bila kuhojiwa,kushitajiwa na kuhukuniwa kwa njia za kisheria.?
Wataalamu imekaaje hii.?
Kama hujui chochote mtafute mwanamke mrembo mfundishe vizuri jinsi ya kupeleleza muunge na Le mutuz alale nao ni mdhaifu mno kwa wanawake atatoa Siri zote mwanzo mwisho jinsi walivyosafiri kutoka Dsm wakiwa na magari mawili ndani ya vx akiwa yeye Bashite, cyprian Musiba na Jerry muro huku ndani ya Nissan nyeupe wakiwemo wasiojulikana na Heri kisanduku na nyaulingo ambao walishuka na kumpika risasi Tundu lisu, FBI na CIA waliopo ubalozi wa marekani walichunguza tukio lote kwa siri wakampa Tundu lisu taarifa na file lote, kampeni zikianza Tundu lisu atamwaga ukweli wote na ndipo utashangaa na kujua Duniani hakuna siri ukitenda mabaya chini ya jua lazima yajulikane tu.
 
Kumbe ni kweli alikuwa anatoa information kwa mabeberu, watu type yake ni cancer kwa taifa na dawa yake ni kuwa multply by zero.
nyinyi sisiem ni stupid mno, hivu kuna siri gani ambazo hao mnao waita mabeberu Wa acacia/barrick walizihitaji wakati wana mikataba ambayo wezi akina jiwe na wenzake ndani ya gvt na chama chao wamesaini? Propaganda za kipuuzi, kitoto na kijinga, hayo makinikia yameenda, $ bil 195 hakuna, tumeambulia kishika uchumba
Mi nadhani hata kampeni zikianza mgombea wa ccm asije kujishughulisha kujibu hoja yoyote ya lissu maana naona kadri lissu anavomtuhumu akakosa response ni kama anazidi kujikuta anaropoka vitu vya ajabu ambavyo baadae vitamfanya akose majibu ya kuwapa watanzani watakapoamua kumuhoji maswali magumu kwenye majukwaa ya kampeni. Alianza kwa kujichanganya kwenye ishu ya corona leo anajichanganya kwenye ishu ya madini. Mwisho wa siku atajianika yeye ni mtu wa namna gani linapokuja suala la maslahi na uzalendo kwa nchi.
Ccm endeleeni kumpotezea msimjibu, ukimya wake utazidi kumfanya ajikaange
HAWAWEZI JIBU! na wakijaribu kujibu tuu! UKWELI KUHUSU JIWE ALIVYOJARIBU KUMUUA TAL UTAKUWA WAZI KWA KULA MTU! (Zingatia cap letters)
 
Back
Top Bottom