Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Sawa sawa nakubaliana na wewe mueleze hayo LissuKwani imani ya kiislamu iko ndani ya vazi la kanzu? Kwahiyo ukiwa unavaa jezi na njumu lengo lako itakuwa ni ili upendwe na washabiki wa soka? Hilo vazi la kanzu lilivaliwa na waarabu huko mashariki ya kati kwa ajili ya hali ya joto. Waislamu wanalivaa kwa ajili ya mazoea, lakini uislamu ni imani na wala sio vazi la kanzu.
Kweli yaani bila waty kutoka dumila na ifakara wakaja morogoro hawezi fikisha watu 100.hapo hamna mondi wala kiba.
bila wasanii wala malori ya kusomba wajinga waliovaa minguo ya kijani na njano.. jiwe hawez fikisha hata watu mia kwenye mkutano...
Unaelewa nini maana ya neno "Upinzani"?Upinzani ulishajifia tangu 2015, kilicho baki ni futuhi tu.
Heheee zile mlizophotoshop kule Geita ni nini?Chadema hufurahia picha za mikutano. CCM hufurahia kura za sandukuni.
Ndiyo tofauti zao
Imekaa poa sana. Hata Nyumba inakuwa na baraka ikiwa na vitu kama hivi.
Wewe hujawahi fika Morogoro. Moto inawatu lukiki.Tundu Lissu kamwaga sumu Morogoro uku akishangiliwa mwanzo wa mkutano mpaka mwisho View attachment 1566658View attachment 1566659View attachment 1566660View attachment 1566661
Huyo ni mwanaharakati wa asili hana sifa ya urais.
Walipobomolewa nyumba zao serikali ilijenga mabanda ya kuku au ya kufugia kasuku?.
Kama wangekuwa wameonewa wangeshinda kesi mahakamani.
Maamuzi magumu kwa nchi za kiafrika hayakwepeki kama kweli nia ni kutoka mahali fulani na kufika juu zaidi.
Huyo ni mwanaharakati wa asili hana sifa ya urais.
Walipobomolewa nyumba zao serikali ilijenga mabanda ya kuku au ya kufugia kasuku?.
Kama wangekuwa wameonewa wangeshinda kesi mahakamani.
Maamuzi magumu kwa nchi za kiafrika hayakwepeki kama kweli nia ni kutoka mahali fulani na kufika juu zaidi.
Sasa hizo picha ndo kufuta CCM morogoro? Au hiyo kanzu na baraghashia ndo kufuta CCM Moro?
Ajabu Sana.
Hapo kwenye picha Kuna nondo gani? Mnaleta picha halafu mnasema nondo.
Lengo la ubomoaji limetazama mbali zaidi. Mara ngapi serikali inashindwa mahakamani? Tindo acha kukariri.Nchi hii unaweza kwenda mahakamani kupinga utashi wa rais? Unajua unachoongea?
Tundu Lissu apewe tu nchi yake......
[emoji106][emoji106]Uhuru haki na maendeleo ya watu[emoji106][emoji106]
Chadema hufurahia picha za mikutano. CCM hufurahia kura za sandukuni.
Ndiyo tofauti zao
Morongoro ya wap hiyo,?? Labda kale ka mtaa kaliopo buza kanakoitwa moringoro
Lissu oyeeeeeeee😅😅...#NiYeye2020 twende na Lissu
Nichote tu wewe😏Lissu oyeeeeeeee
Jifunze ndugu, mavazi ni utamaduni tu wa jamii fulani, hata wakristo wanaoishi uarabuni huvaa makanzu kama utamaduni wa kule na sio kama dini, Tanzania hakuna sheria inayomzuia kuvaa mavazi mavazi apendayo ilimradi hayavunji maadili ya kitanzania, hata akivaa shuka kama mmasai. Kingine nikuongezee tu, Lissu hapendwi kwasababu ya mavazi yake, anapendwa kwa kile kilichopo kichwani mwake na kinachotoka mdomoni mwake vivyo hivyo na upande wa piliHivi Lissu anafikiri anaweza kuwalaghai waislamu kwa kuvaa kanzu na kofia kila Ijumaa? Nafikiri Lissu hajui imani ya uislamu! Hata, figisu figisu za mabeberu wameshindwa kujua imani ya usilamu ikoje, sasa huyu Lissu anaona anaweza kuwahadaa simply kwa kuvaa kanzu na balaghshia kila ijumaa! Uislamu siyo maigizo hata kidogo - alijue hilo na asije akajikosesha kura zao kwa kukebehi dini yao.
Mbona sijamuona akivaa kama singasinga!