Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aifuta CCM Morogoro

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aifuta CCM Morogoro

Kwani imani ya kiislamu iko ndani ya vazi la kanzu? Kwahiyo ukiwa unavaa jezi na njumu lengo lako itakuwa ni ili upendwe na washabiki wa soka? Hilo vazi la kanzu lilivaliwa na waarabu huko mashariki ya kati kwa ajili ya hali ya joto. Waislamu wanalivaa kwa ajili ya mazoea, lakini uislamu ni imani na wala sio vazi la kanzu.
Sawa sawa nakubaliana na wewe mueleze hayo Lissu
 
hapo hamna mondi wala kiba.

bila wasanii wala malori ya kusomba wajinga waliovaa minguo ya kijani na njano.. jiwe hawez fikisha hata watu mia kwenye mkutano...
Kweli yaani bila waty kutoka dumila na ifakara wakaja morogoro hawezi fikisha watu 100.
 
Huyo ni mwanaharakati wa asili hana sifa ya urais.

Walipobomolewa nyumba zao serikali ilijenga mabanda ya kuku au ya kufugia kasuku?.

Kama wangekuwa wameonewa wangeshinda kesi mahakamani.

Maamuzi magumu kwa nchi za kiafrika hayakwepeki kama kweli nia ni kutoka mahali fulani na kufika juu zaidi.
 
Huyo ni mwanaharakati wa asili hana sifa ya urais.

Walipobomolewa nyumba zao serikali ilijenga mabanda ya kuku au ya kufugia kasuku?.

Kama wangekuwa wameonewa wangeshinda kesi mahakamani.

Maamuzi magumu kwa nchi za kiafrika hayakwepeki kama kweli nia ni kutoka mahali fulani na kufika juu zaidi.

..kwani Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, hawakuwa wakijenga miundombinu iliyohitaji kuhamisha wananchi?

..kwanini Jpm atumie mabavu na akaidi amri za mahakama kuvunjia wananchi nyumba zao?
 
Huyo ni mwanaharakati wa asili hana sifa ya urais.

Walipobomolewa nyumba zao serikali ilijenga mabanda ya kuku au ya kufugia kasuku?.

Kama wangekuwa wameonewa wangeshinda kesi mahakamani.

Maamuzi magumu kwa nchi za kiafrika hayakwepeki kama kweli nia ni kutoka mahali fulani na kufika juu zaidi.

Nchi hii unaweza kwenda mahakamani kupinga utashi wa rais? Unajua unachoongea?
 
Hivi Lissu anafikiri anaweza kuwalaghai waislamu kwa kuvaa kanzu na kofia kila Ijumaa? Nafikiri Lissu hajui imani ya uislamu! Hata, figisu figisu za mabeberu wameshindwa kujua imani ya usilamu ikoje, sasa huyu Lissu anaona anaweza kuwahadaa simply kwa kuvaa kanzu na balaghshia kila ijumaa! Uislamu siyo maigizo hata kidogo - alijue hilo na asije akajikosesha kura zao kwa kukebehi dini yao.
Mbona sijamuona akivaa kama singasinga!
Jifunze ndugu, mavazi ni utamaduni tu wa jamii fulani, hata wakristo wanaoishi uarabuni huvaa makanzu kama utamaduni wa kule na sio kama dini, Tanzania hakuna sheria inayomzuia kuvaa mavazi mavazi apendayo ilimradi hayavunji maadili ya kitanzania, hata akivaa shuka kama mmasai. Kingine nikuongezee tu, Lissu hapendwi kwasababu ya mavazi yake, anapendwa kwa kile kilichopo kichwani mwake na kinachotoka mdomoni mwake vivyo hivyo na upande wa pili

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom