Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Kuna gari lisilojulikana limepinduka karibu na kundi la fisi karibu ya ngorongoro. Tatizo la fisi hawaachi hata mfupa.

Dah isijekuwa lussu kawa chakula cha fisi?
Shehe Mwaipopo: Wake zetu Wanatibiwa na akina Dr John, Dr James, Dr Peter kwenye kachumba huku sisi tukisubiria kwenye mabenchi na tasbib ndefu mkononi

Shehe Mwaipopo bana Utani kama Ukweli
 
Utii bila shuruti ni kitu kidogo sana. Hata nyinyi CHADEMA kama mtabahatika kuchukua uongozi wa nchi mtataka maagizo yenu yatekelezwe.

Maasai deserve a better life outside the Ngorongoro area where they are mixed with wild animals. Let us support the Government initiative to re-settle then in Handeni where they will live a decent life like other Tanzanians. Say #NoToPrimitiveSocieties
Wapi TL Amewaambia maasai wagome kutoka hifadhini kwa kupigana vita? Nilimsikiliza anatoa solution ya kuondoa unyanyasaji (according to him) ni kuwakataa CCM kuanzia uchaguzi mwakani wa wenyeviti kisha uchaguzi mkuu 2025 sasa hapo amepigana vipi na maagizo ya Serikali.
 
Back
Top Bottom