Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hahahaa waoga balaa hao.Eh kwahy walinzi wa Lissu wameshindwa kufanya kazi yao ya kumlinda Mheshimiwa.? Sasa umuhimu wao uko wapi [emoji23]
Anzishakama vipi kiwake nchi nzima
Nchi ipinduliwe kuna watu wameshindwa kuongoza na nchi inauzwa
Naskia walikimbia miguu inagusa mabega wakaenda kukamatwa 10KM kutoka eneo la tukio 😂
Mimi yangu mbona ninayoNchi nzima watu wanarejesha kadi za ccm.
Hali ile ni sababu ya TL.
Zamu yako haijafikaMimi yangu mbona ninayo
Mbona huwendi kuwasaidia unaandika huku umejificha mtandaoniHizi ndo siasa za Kweli,
Sio zile za kukaa mezani mkiridhiana na nanaki huku wanyama wakitoroshewa jangwani!!
Bado sijapata sababu ya kurudisha kadiZamu yako haijafika
We hapa uko mbinguni?Mbona huwendi kuwasaidia unaandika huku umejificha mtandaoni
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sababu ima kacheo na michongo yako ndani ya ccm na tunakujuaBado sijapata sababu ya kurudisha kadi
Hatufiki popote kwa hili, kiwake nchi nzima hii haikubaliki,haikubaliki, haikubaliki
Nchi ipinduliwe kuna watu wameshindwa kuongoza na nchi inauzwa
Wapumbavu tuu nyie keyboard heroesHii nchi bila kukiwasha hakutotokea mageuzi .
kabisa mkuu sina ata cheo ni kapuku mmoja ukuSababu ima kacheo na michongo yako ndani ya ccm na tunakujua
Vipi mnataka kuwateka kama zamani?Wapumbavu tuu nyie keyboard heroes
Wewe mali yako anakuamulia nani?Watu wa mbali wanaamua Mali za watanganyika.
Kwahiyo wewe ulitaka akamatwe lini?Safi sana sijui mlikua mnachelewa nini kumkamata mtu huyu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Shehe Mwaipopo: Wake zetu Wanatibiwa na akina Dr John, Dr James, Dr Peter kwenye kachumba huku sisi tukisubiria kwenye mabenchi na tasbib ndefu mkononiKuna gari lisilojulikana limepinduka karibu na kundi la fisi karibu ya ngorongoro. Tatizo la fisi hawaachi hata mfupa.
Dah isijekuwa lussu kawa chakula cha fisi?
Wapi TL Amewaambia maasai wagome kutoka hifadhini kwa kupigana vita? Nilimsikiliza anatoa solution ya kuondoa unyanyasaji (according to him) ni kuwakataa CCM kuanzia uchaguzi mwakani wa wenyeviti kisha uchaguzi mkuu 2025 sasa hapo amepigana vipi na maagizo ya Serikali.Utii bila shuruti ni kitu kidogo sana. Hata nyinyi CHADEMA kama mtabahatika kuchukua uongozi wa nchi mtataka maagizo yenu yatekelezwe.
Maasai deserve a better life outside the Ngorongoro area where they are mixed with wild animals. Let us support the Government initiative to re-settle then in Handeni where they will live a decent life like other Tanzanians. Say #NoToPrimitiveSocieties
Lisu anaamini katika miguvu na matusi, na Mbowe anaamini katika akili na maarifa.
Hizo ndio tofauti zao viongozi hao.
HeheheKwahiyo wewe ulitaka akamatwe lini?