4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Sawa mda Bwana ukifika umefika baki na mazalau yako hayo,Alikamatwa Mbowe nchi haikuwaka. Sembuse huyu muathirika wa traumatic brain injury (TBI)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mda Bwana ukifika umefika baki na mazalau yako hayo,Alikamatwa Mbowe nchi haikuwaka. Sembuse huyu muathirika wa traumatic brain injury (TBI)?
Mnashida sana nyie, nimeshasema achaneni na tabia za kukariri kila kitu bila kutumia akili zenu, hiyo itawasaidieni kuwa salama.Activists and politicians serve different roles in society.
Activists are individuals or groups who advocate for specific social, political, or environmental changes. They often use protests, advocacy, and public awareness campaigns to raise issues and pressure those in power to make changes.
Politicians are individuals elected or appointed to public office who work within established political systems to create and enforce laws and policies. They often engage in negotiations, compromise, and legislative processes to achieve their goals.
Kwa hilo Tudu Lisu amesha kua activist sio mwana siasa tena, kuna haja ya Chadema kurevist kazi zao.
Jeiwii mbona mnatazama tu huu uonevu kwa raia wema wa nchi hii,wanaotetea wenzao dhidi ya ukandamizwaji wanaofanyiwa. Tena hawavunji Sheria za nchi ila polisi ndio wanaokiuka katiba na Sheria. Tunawaomba JWTZ mtusaidie raia wa nchi hii. Tumechoka kunyanyaswa ndani ya nchi yetu. Maadui sio lazima watoke nje ya mipaka ya nchi yetu! Tumegundua maadui wabaya zaidi wapo ndani ya mipaka. Kweli Bora wakoloni wazungu warudi kututawala kuliko kutawaliwa na hawa viongozi wanaotunyanyasa na kuharibu nchi kiasi hiki. Ee Mwenyezi Mungu tusaidie.Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel
Tatizo mmegoma kuacha kuwaza Bandari, Sasa Lissu lazima asaidie muisahau bandari kama inachukuliwa kwa utaratibu unaokubalika na wengi ama hapana!Kama ni kweli, basi hakutakuwa na jipya. Tutakuwa tunaendelea kushuhudia uhayawani wa watawala.
Hayo huwa yanatokea wakati waovu na wavunjaji wa sheria na katiba wanapopewa kazi ya kusimamia utiifu wa sheria na katiba.
We can't do things the way Americans does. Hivi Yellow kuna endangered species kama tembo,chui na faru?Nimekusikia Muhifadhi uchwara.
Ongezeko la watu ni Ngoro ngoro pekee?
Use common sense.
Just incase... Unataka kuzungumzia uhufadhi njoo ukiwa umekamilika... Yellowstone conservation doesn't work with NCAs.
Nilijua tu majibu yako utatukana tu kwasbb you are parochial huna hoja zaidi ya matusiMnashida sana nyie, nimeshasema achaneni na tabia za kukariri kila kitu bila kutumia akili zenu, hiyo itawasaidieni kuwa salama.
Hebu rudia kusoma ulichokiandika.
Una maana ujombani siyo?moyo wa mama upo ngorongoro na bandarini.
Kazi yako uliyotumwa imekamilika ...! Kapate "brand"!!!Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Yes. na kama hatufanyi kama Americans solution sio kuwahamisha wamasai kwa excuse ya uhufadhi.We can't do things the way Americans does. Hivi Yellow kuna endangered species kama tembo,chui na faru?
..Jeshi letu hakika halina hekima ya kazi. Hivi inakuwaje unamkamata mtu ambaye anajitafutia riziki?? Hivi sisi CCM hatuwezi kupita huko kuondoa sumu??? Hivi tangu lini polisi watumike kisiasa???? Hakika Dkt Samia anayokazi kwa utendaji huu wa polisi. Na inawezekana polisi wanamhujumu Mama kwa makusudi kabisa kuharibu rekodi yake nzuri ya haki za binaadamu. Lisu mwenyewe huyo ikitokea kafa kwa sababu ya magonjwq si atakujilikana kauawa. Yaani leo polisi wametukera sana sisi wana CCM. Na kibaya zaidi Dkt Samia alishatoa onyo kuwa siasa za wazi ruksa na uhuru wa kujieleza usibinywe.
So, ukionacho hapo ni matusi? Nimeshaandika, acha tabia ya kujariri utaishia kujipotosha kwenye kila kitu.Nilijua tu majibu yako utatukana tu kwasbb you are parochial huna hoja zaidi ya matusi
Utii bila shuruti ni kitu kidogo sana. Hata nyinyi CHADEMA kama mtabahatika kuchukua uongozi wa nchi mtataka maagizo yenu yatekelezwe.Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel
===
Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu wameamuru kufungwa kwa ofisi ya Chadema wilaya ya Karatu na kuwakamata watu wengine wakiwemo viongozi wa Chadema wa wilaya hiyo.
1. Joseph Mtui
2. John Malle
3. Fabiola Niima
4. Daniel Mnyampanda
5. Eliya Kibola, Katibu wa Chadema wilaya ya Karatu
6. Valerian Qurama
7. Samwel Welwel, Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Karatu