cyrustheemperor
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 293
- 354
Huyu Jamaa wangejua hata wasingempiga risasi no Kama wamemuongezea chura mwendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule uhuni wenu wa kuiba kura na kumtangaza mgombea wenu aliyeshindwa mwaka ndo mwishoKuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
Office inahusianaje na kuongeza au kupungiza kura?Lissu ni motoooooo.ccm wanahangaika kuchoma ofisi za chadema, hawajui kwamba chama kipo moyoni
God bless you Lissu.
Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Hapo ni vwawa makao makuu ya songwe tafadhari Tunduma ilikuwa hatari zaidi usipotoshe watu mimi ni mwenyeji wa huko.
Siwaelewi maccm.Kweli nimeamini chama kikikaa sana madarakani kinageuka kuwa chama cha kigaidi, ccm inaelekea hukoOffice inahusianaje na kuongeza au kupungiza kura?
Kaka Pascal tuliza mzuka kampeni hazijaanza wewe kamatia kichinjio chako tu.Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
kama wote wamejiandikisha CCM kazi ipo
Lowasa alishinda bana Sema alirembua angekomaa watu tuingie barabarani Makaratasi ya mabox ya kura yalikuwa na kura zilizopigwa tayari sehemu zingine .Mwaka 2015 CCM HAWAKUSHINDA Tunahitaji rahisi mbishi atayezurumiwa akiamushe sio mamviiKuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
Mchukue akatawale familia yenuKuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
PoleTutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Wenzio mafuriko hayohayo hawalali, Kule tunduma Leo polis tena wakapewa maelekezo toka juu chadema wasifanyie mkutano uwanjani ili wasipate umati mkubwa.Umma wa tunduma ukaanza kuwabishia polis palepale.Binafsi namhurumia sana Igp siro wanasiasa hasa was ccm wanamyumbisha asisimamie taaluma yake ya upolis kwa weledi.Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P