Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv kwann watu mipakani hua wanna akili Sana na wanapenda upinzani wengi wao
Na hapo ni baada ya ccm kuzuia upinzani kwa miaka mitano mfululizo kama isingekuwa lile zuio haramu la mkutano ya kisiasa Magufuli angetawala kwa tabu sana.
chadema wameikamata pembe 8 za nchi kisawasawaTunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
Tutawaambia tulikuwa tunasaka wadhamini , sasa waliokuja walikuwa wengi tungefanyaje ?duuh tutapona kweli kwenye tume? hawatajenga hoja tumeanza kampeni?
Safari ya kuzurura mijini kutafuta wadhamini inaendelea
Kwa ujinga wako unafikikiri Alishindwa uchaguzi wa 2015?Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Tulia we kapuku !Safari ya kuzurura mijini kutafuta wadhamini inaendelea
Kosa la Chadema kujijenga kwenye baadhi ya miji tu Tanzania mtalipata jibu mwezi October uchaguzi mkuu asilimia 80 ya wapiga kura wanaishi vijijini Sio baadhi ya miji ya mijini ambako Lisu anazurura na fomu akiona watu was baadhi ya hiyo mini anapagawa anasahau kuwa hiyo Ni baadhi tu ya miji ambayo.haifiki hata asilimia kumi ya miji yote ya Tanzania
Chadema miji waliyoweka Matawi active haizidi asilimia kumi ya miji yote ya mikoa na wilaya ya Tanzania bara na Zanzibar
Hiyo ndio mnakenua meno mkiona watubwa hiyo miji
Kumbe kazi ni kubwa kuliko meno mnayokenua
Na nchi hii ingekuwa na watu kama wa tunduma mbona heshima ingekuwepo!! Chini ya kamanda mwakajoka!!!Tunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
HII NI ZAIDI YA HATARI AISEE[emoji847][emoji847]Huyu hapa
Natamani nami ningekuwa wa hukoHawa jamaa wa Tunduma ndio wamefunika kote alikopita Lissu, yaani hawa ndio hawataki kusikia ujinga ujinga wa kijani kabisa.
Kuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
HahahahaTunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
Mpumbavu na mjinga wa kiwango cha kimataifa!Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Wewe ni muongo 50 percent ya watanzania kwa sasa wanaishi mijini na hiyo ni sense ya mwaka 2012Safari ya kuzurura mijini kutafuta wadhamini inaendelea
Kosa la Chadema kujijenga kwenye baadhi ya miji tu Tanzania mtalipata jibu mwezi October uchaguzi mkuu asilimia 80 ya wapiga kura wanaishi vijijini Sio baadhi ya miji ya mijini ambako Lisu anazurura na fomu akiona watu wa baadhi ya hiyo miji anapagawa anasahau kuwa hiyo Ni baadhi tu ya miji ambayo haifiki hata asilimia kumi ya miji yote ya Tanzania
Chadema miji waliyoweka Matawi active haizidi asilimia kumi ya miji yote ya mikoa na wilaya ya Tanzania bara na Zanzibar
Hiyo ndio mnakenua meno mkiona watu wa hiyo miji
Kumbe kazi ni kubwa kuliko meno mnayokenua meno