Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Tundu Lissu, wapeleke mchakamchaka.
Lisu bwege na huyo wakili wake tapeli Amsterdam wote mabwege wathubutu kuhusisha Tigo kwenye hiyo kesi popote mahakama yeyote ndani ya nchi au nje watakunya bila kuchamba wapeleke popote Lisu bwege na huyo wakili wake Amsterdam bwege
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam...
Umenikumbusha CCM kwenda maporini wakati wa kupiga kura
 
Lisu bwege na huyo wakili wake tapeli Amsterdam wote mabwege wathubutu kuhusisha Tigo kwenye hiyo kesi popote mahakama yeyote ndani ya nchi au nje watakunya bila kuchamba wapeleke popote Lisu bwege na huyo wakili wake Amsterdam bwege
Bwege ni wewe mtekaji na muuaji, unae Pinga hoja Kwa kuondoa MAlSHA YA WATANZANIA
 
Huyo mwanasheria wa mashoga mwenyewe shoga ni tapeli tu. Watashirikiana na Lissu kupiga hela za wapenzi wa mapenzzi ya jinsia moja zikiwepo serikali au mashirika ya nchi za magharibi.
 
Ingekua kujiandikisha na kupiga kura ndio kushinda uchaguzi, upinzani ungeshinda 2010, 2015, 2020.

Zama hizi watu wamezinduka akili endeleeni na utapeli wenu.

 
Sio Lissu tu, upinzani wa bongo waganga njaa tu wote wapo hapo kwa ajili ya matumbo yao na familia zao.Imagine uchaguzi next year lakini upinzani hawana sera yoyote ya kuuza kwa wananchi. Upinzani wa kweli utakuja bongo siku hawawabinafsi na waganga njaa wakiondoka wote.
 
Uhamasishaji kwa niaba yake tumpatie johnthebaptist.
 
JamiiForums kwa namna mnavyomuacha huyu mtu anavyoandika upuuzi anaishushia forum hadhi sana
Ni vema moderation kwenye post za namna hii ili JF ibaki na hadhi inayostahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…