Tundu Lissu aliwezaje kuiunga mkono hii switcheroo?

Tundu Lissu aliwezaje kuiunga mkono hii switcheroo?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Mwaka 2015, Tundu Lissu aliwezaje kuunga mkono ubadilishaji wa gia angani?

Kwa siku na wiki hizi chache kuelekea kwenye uchaguzi wa CHADEMA, Lissu amekuwa akifunguka sana kuhusu mambo ya ndani ya chama chake.

Kupitia kuongea kwake huo, yaelekea kuna mambo mengi sana ambayo alikuwa hakubaliani nayo lakini labda alikuwa anakuwa overridden na mwenyekiti wake.

Kama Lissu hakuafiki mambo kama yale ya maridhiano ambayo Mbowe alikuwa anayaunga mkono, aliwezaje kukubali ujio wa Lowassa?

Lowassa kuna wakati ndo alikuwa poster child wa ufisadi nchini.

Na waliokuwa mstari wa mbele katika kumsema na kumnyooshea kidole Lowassa, ni CHADEMA.

Tundu Lissu alishasema kwamba yeye ndiye aliyeiandika orodha ya mafisadi iliyosomwa Mwembechai.

How he gave countenance to Lowassa coming over to their side and be their flag bearer is beyond me!

Maybe he was just being a good cadre toeing the party line but deep down he wasn’t down with it.
 
Kwanini umemlenga Lissu peke yake na sio kamati kuu kwa pamoja? Kwani Lissu alikuwa anapitisha peke yake?

Vipi kama hoja zake zilipingwa au kura za ndio zikawa nyingi kuliko sio?
Umemsikiliza siku za hivi karibuni?

Kataja mengi tu ambayo alikuwa hakubaliani nayo ndani ya chama.

And don’t get defensive. Legit questions need legit answers.
 
Umemsikiliza siku za hivi karibuni?

Kataja mengi tu ambayo alikuwa hakubaliani nayo ndani ya chama.

And don’t get defensive. Legit questions need legit answers.
Sasa shida ni kutaja yale ambayo hakubaliani nayo au nini? Vipi kama aliyasema katika vikao vya chama na hakuna kilichofanyika?

Simtetei Lissu, ila unamu attack kwa makosa ya wengi ikiwemo unayemtetea wewe. Shida ndio ipo hapo
 
Idea ya wakati huo ilikuwa ku-mobilize nguvu zote katika nchi kadiri iwezekanavyo, bila kujali usafi na uchafu wa mtu. Huo ndio wakati pekee ambapo CDM ilikuwa serious kuutaka urais wa nchi, labda na ule wakati wa Dkt. Slaa.

CDM iliamini kwamba mtu pekee ambaye angeweza kuikabili Sisiemu wakati huo alikuwa ni ENL. Na TAL alisema: ^ENL mwenyewe hapo alipo anatembea na wafuasi zaidi ya milioni 6!^

Kwa hiyo ukichukulia hilo jambo halafu tena na ukweli kwamba alikuwa na pesa za kutosha, si ajabu CDM walimgeuza mzee wa watu kuwa mtaji wao katika siasa, huku wakifumbia macho makando-kando yake.

Alisafishwa, akasafika!
 
Mwaka 2015, Tundu Lissu aliwezaje kuunga mkono ubadilishaji wa gia angani?

Kwa siku na wiki hizi chache kuelekea kwenye uchaguzi wa CHADEMA, Lissu amekuwa akifunguka sana kuhusu mambo ya ndani ya chama chake.

Kupitia kuongea kwake huo, yaelekea kuna mambo mengi sana ambayo alikuwa hakubaliani nayo lakini labda alikuwa anakuwa overridden na mwenyekiti wake.

Kama Lissu hakuafiki mambo kama yale ya maridhiano ambayo Mbowe alikuwa anayaunga mkono, aliwezaje kukubali ujio wa Lowassa?

Lowassa kuna wakati ndo alikuwa poster child wa ufisadi nchini.

Na waliokuwa mstari wa mbele katika kumsema na kumnyooshea kidole Lowassa, ni CHADEMA.

Tundu Lissu alishasema kwamba yeye ndiye aliyeiandika orodha ya mafisadi iliyosomwa Mwembechai.

How he gave countenance to Lowassa coming over to their side and be their flag bearer is beyond me!

Maybe he was just being a good cadre toeing the party line but deep down he wasn’t down with it.
Amini usiamini Lissu alivuta mzigo wa lowassa yule waliye mdhihaki kama dkt mihogo hakuvuta kitu alikuwa na msimamo!
 
Irresponsible excuses..

If you dont agree with any major decisions of your organization the best thing you can do to protect your reputation is to Resign...

He is just playing clean after touching sht ..
He did it with Dr Slaa, he did it with ZZK
He will always do and act as such.

Nobody is going to buy such nonsense...

I was overridden, i was taken for a ride, i was used... All BS...

Men act responsibly.
 
Kwa kawaida Mwenyekiti ana kauli ya mwisho (kama 'veto'). Na baada ya vikao maamuzi yanayofikiwa yanakuwa ni ya wote, pamoja na ambao hawakuafiki kikaoni
Kama hakuafikiana na yale maridhiano, yawezekana hata ujio wa Lowassa hakuafikiana nao ila alienda pamoja tu na maamuzi ya chama.

Unless labda awe ni mtu asiye na principles kabisa.
 
Irresponsible excuses..

If you dont agree with any major decisions of your organization the best thing you can do to protect your reputation is to Resign...

He is just playing clean after touching sht ..
He did it with Dr Slaa, he did it with ZZK
He will always do and act as such.

Nobody is going to buy such nonsense...

I was overridden, i was taken for a ride, i was used... All BS...

Men act responsibly.
Just a politician like the rest of them.
 
Back
Top Bottom