Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajibuje?Maswali unayouliza ameyajibu mara nyingi na hata leo kwenye interview aloyofanya na Azam aliulizwa swali hilo na akalijibu.
Umeona sasa kumbe hata hufatiliiKajibuje?
Hili laweza kuwa ndilo jibu sahihi. Lakini oia kwa nyongeza lazima mfukoni kulituna kidogo. Kwa bahati mbaya sana hata yeye hataki kuzungumzia kadhia hiyo.Kama hakuafikiana na yale maridhiano, yawezekana hata ujio wa Lowassa hakuafikiana nao ila alienda pamoja tu na maamuzi ya chama.
Unless labda awe ni mtu asiye na principles kabisa.
We jamaa una akili sanaKwanini umemlenga Lissu peke yake na sio kamati kuu kwa pamoja? Kwani Lissu alikuwa anapitisha peke yake?
Vipi kama hoja zake zilipingwa au kura za ndio zikawa nyingi kuliko sio?
Hata Mimi nashangaa sana, Kuna maswali kama vile;Na hakuna Mwandishi wa habari aliyemuuliza hili swali katika interview zote alizofanya kwa wakati huu
Pesa kaka. Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiMwaka 2015, Tundu Lissu aliwezaje kuunga mkono ubadilishaji wa gia angani?
Kwa siku na wiki hizi chache kuelekea kwenye uchaguzi wa CHADEMA, Lissu amekuwa akifunguka sana kuhusu mambo ya ndani ya chama chake.
Kupitia kuongea kwake huo, yaelekea kuna mambo mengi sana ambayo alikuwa hakubaliani nayo lakini labda alikuwa anakuwa overridden na mwenyekiti wake.
Kama Lissu hakuafiki mambo kama yale ya maridhiano ambayo Mbowe alikuwa anayaunga mkono, aliwezaje kukubali ujio wa Lowassa?
Lowassa kuna wakati ndo alikuwa poster child wa ufisadi nchini.
Na waliokuwa mstari wa mbele katika kumsema na kumnyooshea kidole Lowassa, ni CHADEMA.
Tundu Lissu alishasema kwamba yeye ndiye aliyeiandika orodha ya mafisadi iliyosomwa Mwembechai.
How he gave countenance to Lowassa coming over to their side and be their flag bearer is beyond me!
Maybe he was just being a good cadre toeing the party line but deep down he wasn’t down with it.
Tangu 2006 wewe upo tu JF na matusi yako. Kukaa kidogo Marekani unajiona zinga la mzungu. Social Media waachei watoto wa 2000. Inatosha sasa duuuh. Mpaka kero sasa.Grandma, anza wewe kupumzika kuni stalk mimi.
I don’t use old shriveled up vaginas like yours.
Everywhere I go, you go.
I have no use for you.
Now keep it moving. Ok?
Mmenichoka wewe na nani? Mumeo?Tangu 2006 wewe upo tu JF na matusi yako. Kukaa kidogo Marekani unajiona zinga la mzungu. Social Media waachei watoto wa 2000. Inatosha sasa duuuh. Mpaka kero sasa.
Kubwa zima lina kazi ya kutukana tu mitandaoni hata kwa watu asiowajua.
PUMZIKA TUMEKUCHOKA JINGA WEWE..
ONDOKA JF TUMEKUCHOKA. SOCIAL MEDIA waachie vijana wadogo wa 2,000.Mmenichoka wewe na nani? Mumeo?
Na umefuata nini hapa kama mmenichoka?
Hata akili kidogo tu huna. Retarded dumbass.
Naona unaumia sana na uwepo wangu hapa.ONDOKA JF TUMEKUCHOKA. SOCIAL MEDIA waachie vijana wadogo wa 2,000.
Wazee wenzio wote wa founding members wameachana na JF ila wewe sasa.
TAFUTA KAZI ZA KUFANYA HUKO MAREKANI MPUUZI WEWE na Kiingereza chako cha kuungaunga..
Mpuuzi mmoja wewe. Zee jinga sana wewe..Naona unaumia sana na uwepo wangu hapa.
Siondoki na huna la kufanya juu ya hilo.
Endelea kulialia.
🖕
Hata ubunifu wa matusi huna.Mpuuzi mmoja wewe. Zee jinga sana wewe..
Sikuumbwa kutukanana wala kukera watu. It's you who wanna make me become as such..Hata ubunifu wa matusi huna.
Hujanikera bado.
Wacha we! Na hicho Kiingereza chako 🤣🤣. It’s giving.Sikuumbwa kutukanana wala kukera watu. It's you who wanna make me become as such..
Niwe obsessed na wewe ili nipate faida gani??..Hivi umelazimishwa kuwepo kwenye huu Uzi?
Umeshindwa kabisa kuondoka na kuachana na mimi?
Tafuta hobby zingine zaidi ya kuwa obsessed na mimi.
Taahira wewe 🖕.Niwe obsessed na wewe ili nipate faida gani??..
Taahira ni wewe KLMYTaahira wewe 🖕.