Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #61
Fcuk you.Taahira ni wewe KLMY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fcuk you.Taahira ni wewe KLMY
KLMY..Fcuk you.
We lazima uniote usiku ukiwa umelala 🤣.KLMY..
Nimeona comments nyingi tu za hovyo kutoka kwa nyumbu, haswa wa lissu, kwenye hii mada lkn hii imetia fora. Yaani hilo furushi lililoandika comment hii hakika ni furushi kweli.Ilikuwa ni wakati mzuri wa kuondoa CCM ili ife, hilo ndilo lilikuwa lengo kubwa. Ni kweli Lowassa alikuwa siyo msafi lakini tatizo ni CCM. Ukifanikiwa kuiua CCM mengine yatafuata. As much as navyosemaga vibaya kuhusu uwezo mdogo wa Samia, lakini uchaguzi huu kama ukinimbia Samia awe mgombea wa Chadema na ana uwezo wa kushinda nitakuambia na iwe hivyo ili tu CCM ife kwanza.
Have you ever heard of wildebeests fighting to lead a group for 25 years? Have you ever heard of a wildebeest killing other wildebeests because they questioned its leadership abilityNimeona comments nyingi tu za hovyo kutoka kwa nyumbu, haswa wa lissu, kwenye hii mada lkn hii imetia fora. Yaani hilo furushi lililoandika comment hii hakika ni furushi kweli.
Hahahaaa! Kwa wale wote waliokuwa wanani Pooh pooh…🤣Amelijibia leo hapa live star tv mdahalo.
Hili jibu umemaliza.Inshu ya Lowasa nyuma yake ilikuwepo system, Lowasa ilibidi aje upinzani ili ku neutralize upinzani na kundi lake akiwemo Nchimbi na wenzie. Lissu wala Mbowe na kamati yote wasingeweza kumkataa Lowasa. Gwajima boy alipewa kazi maalumu na akaifanikisha, rejea kauli ya mzee Kingunge. Kwa kifupi Chadema ilishawekwa mfukoni kitambo na CCM