Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naamini kama kweli mbowe anaua watu basi kapewa baraka na serikaliLissu shikilia hapo hapo.
Mbowe NI mtu hatari Sana.
System ilipomkamata Kwa ugaidi haikuwa Bahati mbaya.
Mbowe ni gaidi na aliachiwa na system sababu ya ujinga wetu kujidai kujua kuliko system.
Hiyo sio kweli inamaana kwamba mbowe ndie alin'goa zile kamera pale mahala?Na inawezekana ndiye aliyepanga kumfyatulia risasi Lissu😁😁
Niliwaambia hata ben saa 8 ni hivyo hivyo mbowe ukitaka akuchape hata ngumi mtajie jina la ben saa8 ...hataki hata kusikia huo upumbavu unao itwa ben...watz mna qkili ndogo sanq hata huyo tundu lissu amechelewa sana kuijua chadema na mbowe pamoja nq genge lake japo yumo ndani ya chadema....wapo wapumbavu wanasema rostam azizi ni mfanyabiashara 😁😁😁😁 rostam azizi ajawai kufanya biashara hata ya kuuza pipi huo ndiyo ukweli .....sema wapumbavu wanadhani ni mfanya biashara maana ndiyo anavyo jiweka aonekane mfanya biasharaMgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Kwenda zako huko na stori za vijiweni😎Hilo jina la Freeman Mbowe alipewa na Nyerere, sasa fikirieni
Unasemaje hiyo si kweli bila ushahidi?😎Hiyo sio kweli inamaana kwamba mbowe ndie alin'goa zile kamera pale mahala?
Kumbe ndio maana maCCM wanachukulia powa sana wananchi kwasababu wanajuwa hatuna kimbilio.
Kuna watu tumekosana na marafiki na Ndugu kwa kumtetetea Mbowe, watu wamepoteza maisha, mali muda na kila kitu kwa kuijenga CHADEMA wakati Mwenyekiti wake akiwa anafanya deal la kula kuuza nchi kwa kushirikiana na CCM.
Tumia akili mbowe ni gaidi na system chini ya samia bushiri ni magaidi hivyo mbowe aliachiwa kwa makubaliano ya kushilikiana na magaidi ya samia bushiri dhidi ya wazalendo wote walio chadema na hata nje ya chademaLissu shikilia hapo hapo.
Mbowe NI mtu hatari Sana.
System ilipomkamata Kwa ugaidi haikuwa Bahati mbaya.
Mbowe ni gaidi na aliachiwa na system sababu ya ujinga wetu kujidai kujua kuliko system.
Yericko Nyerere pengine mtu wa Kwanza mwenye kuhisiwa kuhusika na suala la Mzee Kibao ni wewe.
Je huu ndio ujasusi wako?
Hata samia alikuwa kiongozi pekee wa ngazi ya juu kwenda kumwona lissu ...sasa tumia akili ...nilisema ndani ya ccm ya jpm kulikuwa na pande mbili ...moja ni wazalendo na ya pili ni maadui wa uzalendo ...kundi la maadui wa UZALENDO baadhi waliopo ccm ni samia ...rostam azizi....kikwete January makamba ...nk hili kundi la maadui wa UZALENDO walikuwa wanashirikiana na chadema kumchafua JPM hata kwa mauaji wa watu wao wasiowapenda hili kumchafua jpmLissu alimiminiwa risasi,Lissu huyo huyo alisaidiwa kwa kirefu kukodi ndege,kumsafirisha hadi Nairobi Kenya kwa matibabu na Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe.
Gharama za matibabu na mwenendo wa tiba hadi akatinga Belgium ni Mbowe.
Ikiwa Lissu anasema Mbowe ni prime suspect basi Chadema imekufa na kuzikwa juzi.
Vijana wa shule za kata lini mutaacha ujinga? Hivi mbowe aue watu na kuteka halafu vyombo vya dola vikae kimya tu halafu wewe mjinga uliopo chisegu ndio ujue code?Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.
Ha ha ha ha namuogopa huyo dada alishawahi kunitisha kuwa nikiendelea kuwarushia hoja nzito atanionyesha MUONYESHO mkuu....nikaogopa na kupunguza maneno.....dunia hii nisije nikaja kujuta .......Mada kama hii huwezi kuona hata pua ya mke wa mbowe mrembo Erythrocyte
Zinaanza kuja,zinaanza kuja. Itoshe kusema hii ni sababu ya kifo cha mzee Kibao.
Ndio madhara ya kunywa pombe za watu zilioachwa mezani....arifu Lwiva punguza ulevi wa hovyo ....ienende X-Mass kwa utulivu....Niliwaambieni moja ya mambo ya siri kati ya mpumbavu mbowe na mlaaniwa samia bushiri waliyo kubariana ni kyhujumu usajili ya vyama vipya yaani walikubaliana kuzuia vyama vipya ...kuna sababu ....
LAANA SAMIA UMELAANIWA KULIKO WANAWAKE WOTE NA ABDUL MZAWA WA TUMBO LAKO KALAANIWA TOKEA SASA UISHI KWA HOFU NA VIZAZI VYOTE WATAKUITA MLAANIWA
Punguza ulevi koko....Nilipo waimbieni abdul abdul abdul watu mkaniona mjinga na mpumbavu ...abdul ni zaidi ya ma idi amini 10 watu mnanishangaa...ninapo waambieni ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI amnielewi
Ameshajifungua! Erythrocyte unaitwa huku njoo ujibu kumbe wewe ni mke wa DJ Mbowe?Mada kama hii huwezi kuona hata pua ya mke wa mbowe mrembo Erythrocyte
Matusi hayajengi hojaAmeshajifungua! Erythrocyte unaitwa huku njoo ujibu kumbe wewe ni mke wa DJ Mbowe?
Erythrocyte asikutishe kwa lolote, hapo alipo yupo period ya ghafla mwezi mzima mpaka mwakan bwana wake atakaposhinda ndo period itakata, c unajua tena wanawake wanaweza ingia kwenye siku zao wakiwa na hofu.Ha ha ha ha namuogopa huyo dada alishawahi kunitisha kuwa nikiendelea kuwarushia hoja nzito atanionyesha MUONYESHO mkuu....nikaogopa na kupunguza maneno.....dunia hii nisije nikaja kujuta .......