Mkuu giza lilishaingia toka saa nane. Ntakutumia video nyingine kesho asubuhi.Naona huko uliko kumeshakuwa giza ha ha haš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu giza lilishaingia toka saa nane. Ntakutumia video nyingine kesho asubuhi.Naona huko uliko kumeshakuwa giza ha ha haš
Mbowe katusaliti watanzania tunaoichukia CCM.Yani mimi niko kotekote ila dah Mbowe imeniuma. Unaju upande wa maza yani ni machame kabisa.
Majira ya winter au sio?šMkuu giza lilishaingia toka saa nane. Ntakutumia video nyingine kesho asubuhi.
Acha kujifanya hujui wewee?Majira ya winter au sio?š
Kwahiyo Covid au Battery ?Wana mbinu nyingi. Sio lazima direct hit. Kwa Mwendazake kuna rumours kwamba betri ya moyo ilizimwa remotely na some technician with camera, kipaza sauti kiliwekewa Covid.
Eheee, wewe usiyetunga story Lete habari kamili tuchambue mchanga na mcheleKaanza Kutunga story sasa
Wapi, naye anakujaga na matango pori mengi tu.Mkuu, itoshe tu kusema kwamba yuko kwenye kikao fulani kizito mno kwa sasa. Akitoka humo, JF lazima ilipuke - paaah!
That's FACT!Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema.
Kura za watu wa Tanga watazipoteza/wamezipotezaKeshamtĆ ja kuwa ni Ally Kibao, ndo maana wakaamua kumuua.
Mbowe mtu mbĆ ya sana.
Halafu huyo marehemu hamtaji jina. Wajinga ndio waliwaošLisu anacheza na akili za wajinga kusingizia marehemu, kama marehemu kamuachia ushahidi auweka hadharani.
Dah!Kwenye haya mauaji ya Mzee kibao inavyoonekana Dkt Samia hahusiki kabisa ila inawezekana ni mbowe acted alone ili kulinda yale yote chini ya kapeti kwa sababu mzee Kibao alikuwa karibu na lisu ambaye yeye mbowe alishataka kumuua akamkosa hivyo inaonekana Mzee Kibao alikuwa na taarifa za uhakika kwamba mbowe ni mhusika baada ya kulikisha hiyo siri ya abduli basi mbowe akaona ahaaa basi hata la risasi za lisu 2017 lisu ataambiwe iwe nongwa
Hajazuiwa mkuu. .Kabla ya wakati gani? Huoni namna zinavyotumika hila nyingi kumdhibiti asipate platform ya kuongelea? Walianza kwa kumuwekea mshindani rafiki wa Mwenyekiti kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti...
ššDah!
Mkuu 'Muda', hebu twende taratibu; maana hiyo nadharia ya Mbowe kuhusika kumwondoa Lissu ni ya muda mrefu, ingawa hadi leo hii pamoja na haya mengine mapya, siyo rahisi kuiamini.
Simply, it was too far fetched to be believed then, and it is still not possible to be linked directly to this new episode concerning Mzee Kibao. As of now, it's safe to say, these are two distinct incidents, unrelated.
Tuvute subira kidogo, mambo yanaelekea kujifunua yenyewe.
Mmmm nahisi ni Mzee Kibao huyo! Kuna uwezekano system na Mwenyekiti ilikuwa na one mission!
Kwa ujumla Mbowe anawafanyia futuristic wanachama huku anakula kwa mrija!
Hakuna ushahidi wowote...ungekuwepo polisi wangeshachukua hatua.Aisee kumbe Mzee Kibao aliuawa na ndugu kengeza aka mr zero mbowe hahahaha aisee yajayo yanafurahisha. Na aliyehusika kutaka kumuua lisu ni huyo huyo mbowe na mbowe huyo huyo anaongoza genge la magaidi la kuteka na kuua. Hahaha Dkt Magufuli alale unono kwa Amani huku wenyewe wameanza kuumbuana
Kama livyomwingiaga mzazi wako!Nani alimuundia ajali? Unazungumzia yule kijana Mohamed Mtoi?
Nikiona mtu kanitukana ninaposema jambo huwa nafurahi sana kwa sababu najua spoku imeingia sawasawa.
Nyo ya g'wanoko!Uumbwaaa