Distinction
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 745
- 395
Kuna clip Moja Dudu baya kahojiwa karopoka madini sana..Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema.
Magufuli ndio mwasisi wa utekaji na kuua huwezi acha kumtaja pindi tushuhudiapo haya.Ukishaona mtu anakomaa na marehemu jua kwamba ameshindwa kutimiza wajibu wake. Kwa jamii zilizo staarabika mtu hawezi thubutu kutupa lawama kwa marehemu kwa matatizo ya wakati huo. Ni upumbavu wa hali ya juu watu kuendelea kumsingizia Magufuli kwa mambo mabaya yanayo endelea hivi sasa hapa nchini.
Unahamisha goli.Walimuona akina nani hao?😁
Na sie wajinga wa Sangang'walugesha sasa tumeelewa!
Unaamisha=UnahamishaUnaamisha goli.
Na polisi kuanzia IGP, DCI mpaka Amiri Jeshi Mkuu wako kwenye payroll ya huyo mtu wa CDM mpaka upelelezi unashindikana kufanyika?Wafuasi wa CHADEMA kama mtafuatilia vizuri kupotea kwa ben Saanane mtagungua kuna mtu yuko CDM anashikiana na watekaji ingiwa ni ngumu haya machawa kina Tindo ,Erythrocyte kuelewa
Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema
Magufuli siyo mwasisi wa utekaji.Mwasisi ni Kikwete aliyemteka Dk Ulimboka na Kibanda nk.Na aliyemtambulisha Dk Ulimboka kwa watekaji ni Liziwan.Magufuli ndio mwasisi wa utekaji na kuua huwezi acha kumtaja pindi tushuhudiapo haya.
Kuna mawili naweza nikafa au nisife.Hujui kuwa utakufa tu huwezi kuepuka hilo😎
Toa sababu za msingi za jpm kumuua ben saa 8....mauaji yoyotekama hayo lazima yawe na sababu za msingi ....ben saa 8 ameuliwa na ccm na chadema hapo tu utajua ccm wakina nani na chadema akina nani ? Mnakumbuka mbowe alilewa konyagi kisha akajikwaa akiwa na kahaba ...moja kwa moja akasingizia kapigwa na watu wa JPM hadi barozi wa marekani akaingiliq kati kumtetea mbowe zidi ya jpm ...ila baada ya muda ikaja kujulikana ni muongo na barozi wa marekani alichukuliwa hatua ya kuondoshwa baada ya serikali ya marekani kumwona siyo makini anafanya mambo kwa kufuata mkumbo hivyo anasababisha serikali ya marekani kudhalilika....sasa jiulize ni roho ya namna gani ilikuwa ndani ya mbowe hadi kupendezwa na kumchafua jpm kwa kiwango kile cha kutunga uongo ...je mbowe awezi kumuua mtu wa chama chake ilimradi tu afanikiwe kumchafua jpm.Ben Saanane ni Magufuli. Tena mtekelezaji ni kile kikundi cha Makonda.
Ben Saanane alihoji PhD yakubumba ya Magifuli na aliikomalia sana ndio sababu kubwa ya kupotezwa. Pia alikuwa ni mtu anaejua kujenga hoja na alikuwa na potential ya kusumbua serikali kwa kuibua hoja na mada mtambuka na zilizokuwa chini ya carpet.Toa sababu za msingi za jpm kumuua ben saa 8....mauaji yoyotekama hauo lazima yawe na sababu za msingi ....ben saa 8 ameuliwa na ccm na chadema hapo tu utajua ccm wakina nani na chadema akina nani ? Mnakumbuka mbowe alilewa konyagi kisha akajikwaa akiwa na kahaba ...moja kwa moja akasingizia kapigwa na watu wa JPM hadi barozi wa marekani akaingiliq kati kumtetea mbowe zidi ya jpm ...ila baada ya muda ikaja kujulikana ni muongo na barozi wa marekani alichukuliwa hatua ya kuondoshwa baada ya serikali ya marekani kumwona siyo makini anafanya mambo kwa kufuata mkumbo hivyo anasababisha serikali ya marekani kudhalilika....sasa jiulize ni roho ya namna gani ilikuwa ndani ya mbowe hadi kupendezwa na kumchafua jpm kwa kiwango kile cha kutunga uongo ...je mbowe awezi kumuua mtu wa chama chake ilimradi tu afanikiwe kumchafua jpm.
Hiyo siyo sababu wapo walio sema jpm ajui kingereza....jpm awezi kuua mtu kwa sababu za kipumbavu kama hizo tumieni akili ...mausiano ya ben saa8 na mbowe ayakuwa siyo mazuri hivyo kwenye kumtoa kafara hili kumchafua JPM chambo akawa huyo ben na kisa kiwe ni yeye kuhoji phd team ccm waliokuwa wanauadui na wazalendo wakishirikiana na chadema wakafanya yaoBen Saanane alihoji PhD yakubumba ya Magifuli na aliikomalia sana ndio sababu kubwa ya kupotezwa. Pia alikuwa ni mtu anaejua kujenga hoja na alikuwa na potential ya kusumbua serikali kwa kuibua hoja na mada mtambuka na zilizokuwa chini ya carpet.
Kiujumla alikuwa ni threat kwa utawala wa Magufuli na ndio maana jamaa akamuondoa. Kwa CDM alikuwa asset kubwa sana.
Magufuli kama hakummaliza Ben nadhani kwa nguvu aliyokuwa nayo na intelligence aliyokuwa nayo ni lazima angejua ni nani ni master mind wa kupotea kwa Ben na nilazima angetaka kujisafisha kwa nguvu yoyote ile. Kotendo cha tukio kutokea na serikali kukaa kimya bila hata uchunguzi kinadhihirisha kabisa tukio limefanywa na mfumo na sio mtu wa nje ya mfumo.Hiyo siyo sababu wapo walio sema jpm ajui kingereza....jpm awezi kuua mtu kwa sababu za kipumbavu kama hizo tumieni akili ...mausiano ya ben saa8 na mbowe ayakuwa mazuri hivyo kwenye kumtoa kafara hili.kumchafua JPM chambo akawa huyo ben na kisa wakiwe ni yeye kuhoji phd team ccm waliokuwa wanauadui na wazalendo wakishirikiana na chadema wakafanya yao
Just for the sake of argument:Ben Saanane alihoji PhD yakubumba ya Magifuli na aliikomalia sana ndio sababu kubwa ya kupotezwa. Pia alikuwa ni mtu anaejua kujenga hoja na alikuwa na potential ya kusumbua serikali kwa kuibua hoja na mada mtambuka na zilizokuwa chini ya carpet.
Kiujumla alikuwa ni threat kwa utawala wa Magufuli na ndio maana jamaa akamuondoa. Kwa CDM alikuwa asset kubwa sana.
Maandishi ya mwisho ya Ben Saanane
Maandishi ya Ben Saanane Kuanzia nilipoibua mjadala wa Uhalali wa Phd ya Mhe.Magufuli niliacha rasmi kumu-address kama Dr.Magufuli na kutumia Ndugu au Mheshimiwa tu hadi itakapothibitika ni Halali. Nimesoma Hoja ya Prof.Kitila kuhusu PhD ya Magufuli. Prof.Kitila ni Rafiki yangu sana.Yeye ni...www.jamiiforums.com
Ninani aliye pambana na vyeti feki ? ...ukiona mpinzani anaanza kukemea ufisadi mara tu baada ya kuona rais anapambana na mafisadi kwa kutaka kusema hata huyo rais ni fisadi jua tu huyo ni adui wa haki ....nimesema maadui wa jpm walitumia huo mwanya kufanya uovu kwa ben saa8 hili watu wenye akili finyu.kama wewe muamini ...unajua kwa nini mbowe apendi kusikia jina la ben saa 8 baada tu ya kifo cha jpmBen Saanane alihoji PhD yakubumba ya Magifuli na aliikomalia sana ndio sababu kubwa ya kupotezwa. Pia alikuwa ni mtu anaejua kujenga hoja na alikuwa na potential ya kusumbua serikali kwa kuibua hoja na mada mtambuka na zilizokuwa chini ya carpet.
Kiujumla alikuwa ni threat kwa utawala wa Magufuli na ndio maana jamaa akamuondoa. Kwa CDM alikuwa asset kubwa sana.
Maandishi ya mwisho ya Ben Saanane
Maandishi ya Ben Saanane Kuanzia nilipoibua mjadala wa Uhalali wa Phd ya Mhe.Magufuli niliacha rasmi kumu-address kama Dr.Magufuli na kutumia Ndugu au Mheshimiwa tu hadi itakapothibitika ni Halali. Nimesoma Hoja ya Prof.Kitila kuhusu PhD ya Magufuli. Prof.Kitila ni Rafiki yangu sana.Yeye ni...www.jamiiforums.com
Wakati huo A ana resources zote za kuthibitisha kuwa sio yeye bali ni C ndie aliemundoa B kwakuwa A anataka kusafisha jina lake kwa wananchi na hakuna asiloweza kufanya kujisafisha.Just for the sake or argument:
Tuseme A ana uhasama dhidi ya watu wawili ambao ni B & C. Sasa C anaamua ku-capitalize na ku-exploit ugomvi huo kwa kumwondoa B (licha ya ukaribu wao), akijua fika kwamba A lazima ndiye atakuwa mtuhumiwa mkuu kwa vile ndiye adui yake.
Hoja yako ina viji akili kidogo watu waliokuwa nyuma ya fitina dhidi ya magufuli ni wenye nguvu sana ...sasa nijibu kwanini rostam azizi na familia yake walikutwa na shehena ya silaha ila mpaka leo wapo huru ...mabeberu pia yalikuwa nyuma ya maadui wa jpm...rostam azizi pia kikwete nk...kitu kingine unacho tskiwa kujua ni kwa nini kipindi cha jpm ndiyo yaka ibuka mauaji ya watu wa ccm wengi sana ...Magufuli kama hakummaliza Ben nadhani kwa nguvu aliyokuwa nayo na intelligence aliyokuwa nayo ni lazima angejua ni nani ni master mind wa kupotea kwa Ben na nilazima angetaka kujisafisha kwa nguvu yoyote ile. Kotendo cha tukio kutokea na serikali kukaa kimya bila hata uchunguzi kinadhihirisha kabisa tukio limefanywa na mfumo na sio mtu wa nje ya mfumo.
Unataka kuniambia Lissu alipigwa risasi na CDM (Mbowe)?