Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Niliwaambia hata ben saa 8 ni hivyo hivyo mbowe ukitaka akuchape hata ngumi mtajie jina la ben saa8 ...hataki hata kusikia huo upumbavu unao itwa ben...watz mna qkili ndogo sanq hata huyo tundu lissu amechelewa sana kuijua chadema na mbowe pamoja nq genge lake japo yumo ndani ya chadema....wapo wapumbavu wanasema rostam azizi ni mfanyabiashara 😁😁😁😁 rostam azizi ajawai kufanya biashara hata ya kuuza pipi huo ndiyo ukweli .....sema wapumbavu wanadhani ni mfanya biashara maana ndiyo anavyo jiweka aonekane mfanya biashara
Rostam atakuwa nan sasa mkuu
 
Ukinangalia situation ya BS8 hao akina nanii hakuwa na conflict ofinterest na wao, kwanza as long as hao kina nanii walikuwa na mgogoro na JPM kwao huyo BS8 ilikuwa ni karata dume kabisa kusaidia kwenye mashambulizi dhidi ya JPM
Kama ni karata dume basi wakimuua itakuwa ni king 🤴 kabisa kwa sababu itasomeka JPM ndiyo kamuua na ndicho walicho fanya
 
Yes mbowe atatimiza azima yake ya 2017 aliyoshindwa kumuua. Na sasa akimuua itajulikana ni serikali maana yeye lisu alishamsafisha mbowe kwa kusema wanataka kumuua ili wamsingizie mbowe wakati muuaji ndiyo mbowe. Hahaha mbowe gaidi
Kunamambo mengine uwe unatumia akili ya kufikili umatondoka tu kama inzi, lissu alishambuliwa maeneo yanayolindwa na serikali, na cctv-camera, lukuki tuseme mbowe, aliwazidi akili serikali,.??
 
Na mbowe huyu huyu alikosa kosa kumuua zito, Dkt Slaa aliponea chupu chupu akakimbilia Canada, ila Lisu anabahati zile risasi zilimkosa kosa. Mbowe kwa ufupi ni gaidi na uaji
Wewe kwa akili yako fuvu nani mwenye makosa, hapo kati ya mbowe na serikali?
 
Wafuasi wa CHADEMA kama mtafuatilia vizuri kupotea kwa ben Saanane mtagungua kuna mtu yuko CDM anashikiana na watekaji ingiwa ni ngumu haya machawa kina Tindo ,Erythrocyte kuelewa
Kwani Tindo ni chawa? Sidhani kama ni chawa ila tu anakipenda chama chake na hata kwa hili hawezi kubisha wala kukubaliana nalo kama hakumsikia Mh Lissu mwenyewe.
 
Mmh...

Kifo cha Mzee Ally Kibao kilikuwa very strange...

Ni ajabu kuwa mpaka sasa hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na polisi na vyombo vingine vinavyohusika pamoja na Rais Samia Suluhu kuangiza uchunguzi wa haraka ufanyike....

Sasa kidogo kidogo dot zinaanza kuunga na hatimaye karma itafanya mambo yake...

Likely, baadhi ya watekaji, watesaji na wauaji wa viongozi na wafuasi wa CHADEMA baadhi wako ndani ya CHADEMA wakiwa na connection na majambazi yaliyoko CCM/serikalini na hususani Jeshi la polisi na UWT...

Mwenyekiti Freeman Mbowe anajua fika mpango huu na yeye ana mkono wake..

That's why he's now behaving very strangely. Hajiamini kabisa. Hana point tena zaidi ya "mimi ni mfanyabiashara mkubwa, nina biashara ndani na nje ya nchi"

Hoja na utetezi wa kijinga kabisa...
 
Lisu ni binadamu? Unadhani hawezi kusema uongo? Unaamini makelele yake hayawezi kuwa yanaficha uovu ndani yake?
Ni rahisi sana kumtambua na kumjua mtu mdanganyifu. Wahalifu mara nyingi huwa si wazungumzaji kama alivyo TL...

Lakini huyu anayejitetea kwanini awe mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka 25 zaidi kwa kusema "...mimi ni mfanyabiashara mkubwa, nina biashara ndani na nje ya nchi...", atakuwa na lake jambo lazima..

Nowadays, he's behaving so strangely. Hajiamini, hana hoja na wala haieleweki anasimamia nini ndani ya CHADEMA kwa sasa...

Kifo cha mzee Ally Kibao ni lazima kitupe majibu....
Kwanini alimkaribisha Abdul nyimbani kwake na kumpa email address?
Si ni mgeni kama wageni wengine wanaokuja kwake?

Na actually, mgeni wa Tundu Lissu siku hiyo alikuwa Hezekia Wenje (mwana CHADEMA, na kiongozi mwenzake wa chama). Hezekiah ndiye aliyekuja na Abdul na kumtambulisha kwa TL..

Unfortunately, kumbe ugeni ule ulikuwa ni "trap" with evil intentions kwa Tundu Lissu ambao hata hivyo uli - fail spectacularly...
Think, Think Think
There's nothing more to think kwa sababu Hezekiah Wenje (Team Freeman Mbowe) amesha confess publicly kuwa yeye ndiye aliyempeleka huyu mgawa rushwa kwa TL na hivyo yeye ni dalali wa rushwa za Abdul na Samia Suluhu Hassan - Mwenyekiti wa CCM...!!
 
amesha confess publicly ni dalali wa rushwa za Abdul na Samia Suluhu Hassan - Mwenyekiti wa CCM...!!
palm Beach....acha speculations......... ame confess wapi? Usiongee kama mtu asiyekwenda shule.....
Mimi honestly Lisu was my favorite politician..both na Mbowe..even Zito was a good politician.... they had higher mental power reasoning!

Sasa unapoona Lisu anaropoka mambo ambayo si swa mbele ya hadhara bila ushahidi, then huyo hafai! Kisa Uenyekiti! Anaongea as if hakuwa sehemu ya maamuzi yale..huyo ni Mpuuzi, tumemjua....na hao nyinyi mnao mshabikia kesho atawageuka kama alivyomgeuka Mbowe mkitaka nafasi yake.

sikiliza hii, nilishaiweka hapa. Just sikilia please halafu nipemrejesho, ukitaka


View: https://www.youtube.com/watch?v=rTWpnMO7kto
 
palm Beach....acha speculations......... ame confess wapi? Usiongee kama mtu asiyekwenda shule.....
These are not speculation..

Ku - confesss kwa maana unayoijua wewe ni kupi..?

Hajakiri kuwa ni kweli yeye ndiye alimpeleka Abdul kwa TL...?

Kwa kukubali hili tu, mchezo unakuwa umeishia hapo...!

Kama una akili na kichwa kizito, shauri lako...
Mimi honestly Lisu was my favorite politician..both na Mbowe..even Zito was a good politician.... they had higher mental power reasoning!
So what..?

Achana nao. Mind your own businesses...
Sasa unapoona Lisu anaropoka mambo ambayo si swa mbele ya hadhara bila ushahidi, then huyo hafai! Kisa Uenyekiti!
Kama huku unakokuita "kuropoka" ni kuweka uchafu na uovu wazi ili watu waukatae, huko kuropoka ni kuzuri sana...

Kama wewe unachukia, you are in and part of that...

Yes, anautaka uenyekiti ili kukirejesha chama kwenye mstari, kitoke kwenye mkwamo huu...

And this is the right person indeed...!!
Anaongea as if hakuwa sehemu ya maamuzi yale..huyo ni Mpuuzi, tumemjua....
Don't be stupid..

Awe part ya maamuzi ya kukubali rushwa ya Abdul na mama yake mama Abdul na Mwenyekiti wa CCM? Are you kidding, right...?

At least he was a part of some decisions. Mfano la Maridhiano ambapo baadae wote wanakiri kuwa waliingizwa mkenge na Mama Abdul..

Lakini kwa hili na mengine, anakubali kuwa walifanya makosa. Na maamuzi yao hayo kwa umoja wao yalikuwa ni kumlinda na kulinda heshima ya Mwenyekiti by that time...

Lakini sasa, muda huu si wa kulindana tena. Ni wakati wa uchaguzi kutafuta viongozi wapya...

Ni muda wa kuweka wazi matatizo yaliyopo chamani na ku - lay down njia na strategies za kukipeleka chama mbele...

That's what Tundu Lissu is doing...

Rushwa, matumizi mabaya ya madaraka, ubinafsi (selfishness) ni baadhi tu ya matatizo yanayoikabili CHADEMA...

Solution ni kuwa na uongozi mpya wenye fresh ideas with new strategies...

Eleweni Tundu Lissu anataka nini. Hakuna baya lolote analofanya for sure...
na hao nyinyi mnao mshabikia kesho atawageuka kama alivyomgeuka Mbowe mkitaka nafasi yake.
Sawa tu..

Na ndiyo maana kuna periodic elections after every five years kwa kufanya uchaguzi mwingine..

Asipo deliver, baada ya miaka mitano njoo wewe Retired , lay down your policies and strategies za kukipeleka chama mbele, utapewa kura...
sikiliza hii, nilishaiweka hapa. Just sikilia please halafu nipemrejesho, ukitaka


View: https://www.youtube.com/watch?v=rTWpnMO7kto

Yote yameshajibiwa...

All of that was to protect Mr Chairperson...

Sasa the time is up..

He can't be protected any longer because the exit door for him is wide open...

Kama hujamwelewa Tundu Lissu, basi hutamwelewa yeyote wewe...!!

Asante, kwa heri.🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻
 
Lisu ni binadamu? Unadhani hawezi kusema uongo? Unaamini makelele yake hayawezi kuwa yanaficha uovu ndani yake?
Kwanini alimkaribisha Abdul nyimbani kwake na kumpa email address?

Think, Think Think
Basi tuseme TAL alimwambia Abduly anataka bilioni 10 halafu ziwekwe kwenye akaunti yake ya nje ndipo afike bei.

Lakini Abduly kusikia hivyo, akafura na kuchukia ile mbaya, jamaa wakaamua kutunishiana misuli na kufokeana palepale.

Abduly: Tutaona sasa wapi utazipata kama hizi!

TAL: Unamtisha nani wewe? Kwani hela zako hizo!

Abduly: Wewe ni zako hizi! Mbona wazitaka?

TAL: Timka zako buana! Usikanyage hapa kwangu tena.

TAL (kwa umma): Kuna mtu alikuja kunihonga nyumbani kwangu, nikamtimua! Mimi sihongeki. Mimi sihonge... sihongekiii!!! Mshanipata?!
 
Basi tuseme TAL alimwambia Abduly anataka bilioni 10 halafu ziwekwe kwenye akaunti yake ya nje ndipo afike bei.

Lakini Abduly kusikia hivyo, akafura na kuchukia ile mbaya, jamaa wakaamua kutunishiana misuli na kufokeana palepale.

Abduly: Tutaona sasa wapi utazipata kama hizi!

TAL: Unamtisha nani wewe? Kwani hela zako hizo!

Abduly: Wewe ni zako hizi! Mbona wazitaka?

TAL: Timka zako buana! Usikanyage hapa kwangu tena.

TAL (kwa umma): Kuna mtu alikuja kunihonga nyumbani kwangu, nikamtimua! Mimi sihongeki. Mimi sihonge... sihongekiii!!! Mshanipata?!
Mnakubali cheap politics, eti ameshakufa, mtaje wewe si ni mwamba wa kutaja siri zote za CC ya chadema, una sifa za kutaja nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.... Hili linakuwa gumu kwa vipi? Mpuuzi tu Lisu...
 
Mchaga mkishilikina nae hata kwenye biashara za pesa lazima kukutapeli au kukuua kabisa, yani wale kwenye mambo ya pesa, usidhubutu kuwa karibu nao.!?
Mkuu, acha kumchafua jina hivyo mwenyekiti wa chama. Tarehe 21 Jan. mwakani sisi tunarudi mzigoni. Nyie endeleeni kubwabwaja vijimaneno maneno ambavyo havina tija.

^Kuvunjika kwa mwiko si mwisho wa mapishi.^ ~by Raila Amollo Odinga
 
Mkuu, acha kumchafua jina hivyo mwenyekiti wa chama. Tarehe 21 Jan. mwakani sisi tunarudi mzigoni. Nyie endeleeni kubwabwaja vijimaneno maneno ambavyo havina tija.

^Kuvunjika kwa mwiko si mwisho wa mapishi.^ ~by Raila Amollo Odinga
Mbowe ni kiongozi mzuri tu na mchago wake tunauona, aliifanya chadema kuwa imara hadi leo, mimi yoyote atakayeshinda tutakua pamoja nae, make ccm siitaki kabisa kuendelea kututawala.
 
Back
Top Bottom