Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Ninani aliye pambana na vyeti feki ? ...ukiona mpinzani anaanza kukemea ufisadi mara tiu baada ya kuona rais anapambana na mafisadi kwa kutaka kusema hata huyo rais ni fisadi jua tu huyo ni adui wa haki ....nimesema maadui wa jpm walitumia huo mwanya kufanya uovu kwa ben saa8 hili watu wenye akili finyu.kama wewe muamini ...unajua kwa nini mbowe apendi kusikia jina la ben saa 8 baada tu ya kifo cha jpm
Wewe kwa akili yako kama serikali ingekuwa haihusiki unafikiri ingelikalia hili suala bila hata uchunguzi wowote au hata bila mtu hata mmoja kuhojiwa? Hii issue hakika nakuambia JPM asingeiacha ipite kama angekuwa hahusiki, same na issue ya Lissu.

Halafu akili finyu unazo wewe. Usikaribishe matusi wengine hatuna breki.
 
Hoja yako ina viji akili kidogo watu waliokuwa nyuma ya fitina dhidi ya magufuli ni wenye nguvu sana ...sasa nijibu kwanini rostam azizi na familia yake walikutwa na shehena ya silaha ila mpaka leo wapo huru ...mabeberu pia yalikuwa nyuma ya maadui wa jpm...rostam azizi pia kikwete nk...kitu kingine unacho tskiwa kujua ni kwa nini kipindi cha jpm ndiyo yaka ibuka mayaji ya watu wa ccm wengi sana ...
Aliekuwa na resources alishindwa kuzitumia kujisafisha dhidi ya tuhuma zote hizo. Kwanini hakukuwa hata na uchunguzi? kwanini hakukuwa na watu waliofikishwa mahakamani?
 
Magufuli kama hakummaliza Ben nadhani kwa nguvu aliyokuwa nayo na intelligence aliyokuwa nayo ni lazima angejua ni nani ni master mind wa kupotea kwa Ben na nilazima angetaka kujisafisha kwa nguvu yoyote ile. Kotendo cha tukio kutokea na serikali kukaa kimya bila hata uchunguzi kinadhihirisha kabisa tukio limefanywa na mfumo na sio mtu wa nje ya mfumo.

Unataka kuniambia Lissu alipigwa risasi na CDM (Mbowe)?
Umeshaambiwa kuna uwezekano kwamba kulikuwa na mfumo ndani ya mfumo - pande mbili zenye nguvu zinazosigana kwenye mfumo uleule mmoja.

Jamaa anadai kwamba ndipo ukatokea mwanya wa kusukumiana kete mbovu kwa ushirikiano wa adui wa nje anayetambulika na ule mfumo ndani ya mfumo. Sijui inaeleweka hapo?

Unaposema JPM angejua nani aliyekuwa mastermind wa kumpoteza BS8 kwa sababu ya nguvu na intelligence aliyokuwa nayo, usisahau pia kwamba kuondoka kwake mara kwa mara kumehusishwa na njama zilezile za yeye mwenyewe kuondolewa (na akina nani hao?!). Please, think!!!
 


Wewe kwa akili yako kama serikali ingekuwa haihusiki unafikiri ingelikalia hili suala bila hata uchunguzi wowote au hata bila mtu hata mmoja kuhojiwa? Hii issue hakika nakuambia JPM asingeiacha ipite kama angekuwa hahusiki, same na issue ya Lissu.

Halafu akili finyu unazo wewe. Usikaribishe matusi wengine hatuna breki.
Tumia akili ...kwa sasa serikali ipo mikononi mwa watu walio mchukia jpm swali je mbona si mbowe wala ccm ya samia wanataka uchunguzi ufanyike kuhusu hicho kifo .....wewe hata samia umjui ni nani! Samia ana chuki kubwa sana na JPM ndiyo maana wamezuia kabisa jina lake kutajwa swali je kama jpm aliusika na kuua hao watukwa nini samia asinge sisitiza uchunguzi ili kumzihilisha kuwa jpm ni muovu tofauti na mbinu wanazo tumia sasa za kuzuia jina lake kutajwa
 
Aliekuwa na resources alishindwa kuzitumia kujisafisha dhidi ya tuhuma zote hizo. Kwanini hakukuwa hata na uchunguzi? kwanini hakukuwa na watu waliofikishwa mahakamani?
Jibu samia na kikwete wanampenda jpm? Je nchi kwa sasa hipo mikononi mwa nani ? Je ipo.mikononi wa wafuasi wa jpm au la ? Kama ni la?.... je ni kwa nini uamini kuwa walio husika na icho kifo ni ccm na chadema waliokuwa wanamchukia jpm ....je kwanini kikwete asitake uchunguzi huru wa hivyo vifo baada ya jpm kufa ili wapate kumdhihilisha uovu wake mbele ya jamii iliyo kuwa inamkubali sana jpm ...tumia akili za kiume ...wauaji wa saa 8 ndiyo wakubwa walio shika nchi sasa na wakishirikiana na wakubwa wa chadema
 
Wewe kwa akili yako kama serikali ingekuwa haihusiki unafikiri ingelikalia hili suala bila hata uchunguzi wowote au hata bila mtu hata mmoja kuhojiwa? Hii issue hakika nakuambia JPM asingeiacha ipite kama angekuwa hahusiki, same na issue ya Lissu.

Halafu akili finyu unazo wewe. Usikaribishe matusi wengine hatuna breki.
Mkuu, hoja yako inaeleweka vizuri sana. Lakini unaipa asilimia ngapi ya uhakika - 100%? Kama si 100% basi jua kwamba upo uwezekano wa hoja mbadala.

Ukisema uchunguzi haukufanyika, utakuwa unaongea bila ushahidi wowote kwa sababu mimi na wewe hatujui kilichokuwa kikiendelea nyuma ya pazia - labda kama na wewe unajua siri zote za serikali.

Sidhani kama uko sahihi unaposema hakuna uchunguzi wowote uliofanyika, kwamba hakuna hata mtu mmoja aliyehojiwa. Hatuna uhakika 100% kuhusu hilo.

Kama kuna ukweli wa nadharia ya uwepo wa mfumo ndani ya mfumo, si ajabu matukio mengi haya-make sense kwa mwonekano wa juujuu.
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Li lisu liongo. Kwa hekima nadhani mbowe aendelee kuwa mwenyekiti maana japo mropokaji ila ana hekima ya uongozi
 
Umeshaambiwa kuna uwezekano kwamba kulikuwa na mfumo ndani ya mfumo - pande mbili zenye nguvu zinazosigana kwenye mfumo uleule mmoja.

Jamaa anadai kwamba ndipo ukatokea mwanya wa kusukumiana kete mbovu kwa ushirikiano wa adui wa nje anayetambulika na ule mfumo ndani ya mfumo. Sijui inaeleweka hapo?

Unaposema JPM angejua nani aliyekuwa mastermind wa kumpoteza BS8 kwa sababu ya nguvu na intelligence aliyokuwa nayo, usisahau pia kwamba kuondoka kwake mara kwa mara kumehusishwa na njama zilezile za yeye mwenyewe kuondolewa (na akina nani hao?!). Please, think!!!
Wewe umeelewa na ndiyo sababu kuu inayo fanya uchunguzi aufanyiki hata baada ya jpm kufa ...wakina kikwete wapo kimya ...rostam azizi yupo kimya samia yupo kimya...ila jina la magufuli wamelipiga vita lisitajwe popote
 
Wakati huo A ana resources zote za kuthibitisha kuwa sio yeye bali ni C ndie aliemundoa B kwakuwa A anataka kusafisha jina lake kwa wananchi na hakuna asiloweza kufanya kujisafisha.

Ukimya wa A dhidi ya C ambae hana resources na jurisdiction unatia mashaka sana.
JPM alikuwa vitani na C hivyo akukuwa na aja maana alikuwa tayari yupo vitani nao hao C
 
Wakati huo A ana resources zote za kuthibitisha kuwa sio yeye bali ni C ndie aliemundoa B kwakuwa A anataka kusafisha jina lake kwa wananchi na hakuna asiloweza kufanya kujisafisha.

Ukimya wa A dhidi ya C ambae hana resources na jurisdiction unatia mashaka sana.
Mimi na wewe hatujui 100% kwamba C hana rasilimali zote zinazohitajika kumwondoa B.

Hebu fikiria, hadi C afikie hatua ya kuthubutu kumwondoa B kisha msala huo akampakazia A anayedhaniwa kuwa ana rasilimali zote, hivi hudhani kwamba nguvu ya C itakuwa kubwa mno?

Nikushauri tu kwamba usimpime C kwa juujuu, ukaishia kudhani ni dhaifu. Halafu A usimpe asilimia zote za kuwa na nguvu.

Mfikirie C kwamba huenda ni miongoni mwa ile nadharia ya mfumo ndani ya mfumo. Nani ajuaye?!

Nimekupa mfano hapo juu kwamba wapo watu wanaamini A yeye mwenyewe alitishiwa uhai wake mara kadhaa na akaishia kuondolewa. Kwa mantiki hiyo huwezi kusema A ana resources zote.
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Alafu lissu awe na adabu ,unamzungumiziaje marehemu , ambapo tukitaka ushahidi ,hatuwezi upata .

Mie ni Tim lissu kwa sasa , ila Lissu lazima kuwa na adabu, sifa zisimlevye ,pumbavu sana
 
Mbowe anamsema Magufuli Kila Siku Bila kuweka Ushaidi lakin husemi kitu kuhusu hilo. Lakin Samia Kaharibu Uchaguzi , Watu wanatekwa na kuuawa lakini Mbowe anasema mama anaupiga mwingi na maridhianao yan maana kubwa kwake,

Je, maridhiano yana maana ipi kwa Chadema na Taifa kwa ujumla kama watu wanatekwa na kuuawa? inawezekana maridhiano yana maana kubwa kwake kwa kusamehewa Kesi ya Ugaidi na Lisu amesema Aliyempa maelezo ya kina Juu rushwa Kwenye Chama sasa ameuawa!!

Ally Kibao ameuwa Kipindi Cha mama lakini Mbowe anakwambia maridhiano yana maana. Je, Maridhiano yana maana gani Kama watu wanauwawa Na Chaguzi zinaharibiwa?

Kwa nini Mbowe amekomaa na Marehemu Magufuli ilihali watu wanakufa na Chaguzi zinaharibiwa na Samia na anaridhika na Uongozi wake?
Kipi kimejificha na kinachowaunganisha Mbowe na Samia?
Bninapata picha kuwa na inaoneka maraisi wa ccm waliotangulia Bm, jk, walimuweka Mbowe kwenye circle zao

Sasa alipokuja kichwa ngumu magu akamtoa na kumtolea nje, akajalibu kumdhoofisha ili asijaribu kumkaribia

Jpm Akiamini kwa siasa zake za udikteta hamuhitaji mbowe anajitosheleza

Alipokuja mama abdul imebidi amrejeshe kwenye circles zake

Mama ameenda zaidi ya watanulizi wake amemwaga fungu la uhakika

Abdul ni masterminder
 
Back
Top Bottom