Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu


Mifumo iliyoshindwa Burkina Faso, Ivory Coast, Tunisia, Misri, Mali..

Ni Mifumo ya nini? Android?
Unakebehi mfumo ukiwa nyuma ya keyboard,jitokeze upambane nao uone moto 😀😝
 
Ukinangalia situation ya BS8 hao akina nanii hakuwa na conflict ofinterest na wao, kwanza as long as hao kina nanii walikuwa na mgogoro na JPM kwao huyo BS8 ilikuwa ni karata dume kabisa kusaidia kwenye mashambulizi dhidi ya JPM
 
Lissu na Mbowe siwapendi lkn katika kutofautiana wao katika kipindi hiki natumia fursa kubaini yale ambayo nilikuwa nikiwaeleza ndg zangu wasukuma watu hawa ni hatari lkn mmoja ni hatari zaidi.

Nadiriki kusema Mungu amlaze mahali pema peponi Magufuli wetu hasa wazalendo mtu huyu alibalagazwa sana kabla na baada ya maisha yake hapa duniani
 
Kila zama na kitabu chake, ya wakati huu wa Samia yajadiliwe kwa wakati huu. Hapa tunazungumzia wakati huo wa JPM kwanini alishutumiwa yeye direct na akakaa kimya? Kila mtu alisikia vitisho vyake wazi wazi na kudhihirisha uhusika wake pasi na shaka.

Hayo ya Samia kumchukia au kutomchukia mimi sijui. Unapoona issue inatokea na wenye mamlaka wanalaumiwa/kushutumiwa ila wanakaa kimya fikiri nje box.
 
Kwenye masuala yanayoteka hisia za mamilioni ya raia hasa mauaji na kupotea kwa wanasiasa au watu maarufu hizo case huwa hazipoi kirahisi. Pangekuwa na uchunguzi au kufikishwa mahakamani hata kwa sisimizi mmoja lazima vyombo vya habari vingetoa taarifa.
 
Udikteta ni nini?
hamuhitaji mbowe anajitosheleza

Alipokuja mama abdul imebidi amrejeshe kwenye circles zake

Mama ameenda zaidi ya watanulizi wake amemwaga fungu la uhakika

Abdul ni masterminder
 
Hizi pumba zako hazihitaji majibu, endelea na ujinga wako.
Inamaana hujui nguvu ya mwenyekiti juu ya mjadala au maamuzi ya kikao chochote anachokiongoza?
Au hujawahi kuhudhiria kikao chochote?
 
Acha ujinga, serikali inavyo vyombo vyake vya kubaini wahusika wa mauaji kama ingekuwa ina nia ya kuwapata.
Serikali inahusika moja kwa moja na inaweza kuwa inafanya kwa ushirikiano na huyu anayetajwa
 
Aiseee!

Ipo shida kubwa CHADEMA, naomba isiwe hivi ninavyofikiri.

Lakini, siasa za Tanzania ni hatari mno. Kama mtu anajijua hayuko tayari kuagana na nyonga ni vyema asijihusishe kabisa.

Chadema ni CCM B. Kama vilivyo vyama vingine kadhaa vya siasa.
Na toka vyama vingi imekuwa hivyo. Ni wale wale na agenda zao zile zile, wanawazingua wananchi tu
 
Sasa kama hawahusiki kwa nini wasiruhusu uchunguzi huru?
Wanaogopa nini?
 
Upo sahihi 100%
 
Mungu amlinde Lissu, kuna mengi nyuma ya pazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…