Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
🤣🤣.Makamanda pipoooz😁😂
Mpuuz sana takataka hiliMgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Lissu alimiminiwa risasi,Lissu huyo huyo alisaidiwa kwa kirefu kukodi ndege,kumsafirisha hadi Nairobi Kenya kwa matibabu na Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe.Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Nilikuwa najiuliza sana sababu za Mzee Kibao kufanyiwa unyama ule.
Kwanza nilikuwa hata sijasikia uwepo wa mtu kama huyo ndani ya CHADEMA; kwa sababu sikuwahi hata kusikia akitamka lolote hadharani.
Sasa majibu yame patikana.
Hautaki na hauupendi ukweli?Mpuuz sana takataka hili
Ukweli gani usio na ushahidi, revelations tu! Ndiyo maana nasema Lisu kuna nati imelegea kichwani. Clubhouse ameleta ushahidi gani, maneno tu! Amefanya submissions AND Submissions are not evidenceHsutaki na hauupendi ukweli?
Unataka amalize silaha zote kwenye mazoezi tu.Kwani kununua subira ni shilingi ngapi za kitanzania?Ukweli gani usio na ushahidi, revelations tu! Ndiyo maana nasema Lisu kuna nati imelegea kichwani. Clubhouse ameleta ushahidi gani, maneno tu! Amefanya submissions AND Submissions are not evidence
ISSA OMARI MAPESA VS. JUMANNE SEBARUA
Submissions are not evidence but information expounding on the general features of the party's case
Duh...makubwaaa, chadema wasipojisafisha na hili watapoteza.Chama kinanuka rushwaMgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Ccm na serikali wametumia mbinu kubwa sana kuhakikisha chadema inasalimu amri, moja ya mbinu maridhiano uchwara anayotetea mboweLissu atakuwa yuko kwenye hatari sana. Naelewa sasa kwanini aliomba ahakikishiwe usalama wake na aliomba ulinzi kwa serikali, sasa sishangai akivaa bullet proof vest.
Sababu ya kumuondoa Kibao inaweza kutumika hiyo hiyo kujaribu kumuondoa Lissu duniani.
if that is the case, then usitumie neno ukweli.... tafuta neno lingine. It is ukweli until proved, yeye anafanya submissions!Unataka amalize silaha zote kwenye mazoezi tu.Kwani kununua subira ni shilingi ngapi za kitanzania?
Sasa usipomuamini yeye utamwamini nani? Kama mbowe kakiri hata yeye alitaka kuhongwa na maghufuli Cha ajabu nnUshahidi wa yeye binafsi kutaka kuhongwa hajatoa.
Ndiyo aweze kutoa ushahidi wa wengine?
Watu ni wajinga sana
Hivi we jamaa umedata?Mpuuz sana takataka hili
Kwa wala rushwa, wapenda ufisadi na wadhulumati, lissu kwao ni takataka😂Mpuuz sana takataka hili
Uwe na subira.Nimekesha kanisani.Tumepeana nafasi/zamu.if that is the case, then usitumie neno ukweli.... tafuta neno lingine. It is ukweli until proves, yeye anafanya submissions!
kwaheri twende kanisani kama mkristu
Hiyo yote ili afaidike na nini ?Abdul pamoja na kumwaga pesa kumhonga Mbowe na kundi lake ili wasilete upinzani kwa mama yake... alihusika pia kufadhili wanasiasa na waandishi wa habari kumtukana na kumchafua Hayati Magufuli baada ya umauti wake...
Hayupo kwenye system na hataweza kuwepo ni wale wa unampa laki 5 akusifie mtandaoni au asikuandike vibaya ndio maaisha ya vijana mtandaoni huko Twitter (x)Huyu Yerico ni mtu wa System, sasa tunaanza kuamini alivyokuwa anamponda Lisu na kumtetea Mbowe..