Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Ni rahisi sana kumtambua na kumjua mtu mdanganyifu. Wahalifu mara nyingi huwa si wazungumzaji kama alivyo TL...

Lakini huyu anayejitetea kwanini awe mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka 25 zaidi kwa kusema "...mimi ni mfanyabiashara mkubwa, nina biashara ndani na nje ya nchi...", atakuwa na lake jambo lazima..

Nowadays, he's behaving so strangely. Hajiamini, hana hoja na wala haieleweki anasimamia nini ndani ya CHADEMA kwa sasa...

Kifo cha mzee Ally Kibao ni lazima kitupe majibu....

Si ni mgeni kama wageni wengine wanaokuja kwake?

Na actually, mgeni wa Tundu Lissu siku hiyo alikuwa Hezekia Wenje (mwana CHADEMA, na kiongozi mwenzake wa chama). Hezekiah ndiye aliyekuja na Abdul na kumtambulisha kwa TL..

Unfortunately, kumbe ugeni ule ulikuwa ni "trap" with evil intentions kwa Tundu Lissu ambao hata hivyo uli - fail spectacularly...

There's nothing more to think kwa sababu Hezekiah Wenje (Team Freeman Mbowe) amesha confess publicly kuwa yeye ndiye aliyempeleka huyu mgawa rushwa kwa TL na hivyo yeye ni dalali wa rushwa za Abdul na Samia Suluhu Hassan - Mwenyekiti wa CCM...!!
Hapa tuna sumbuka na Uchadema tu, lakini in reality muuwaji wako naye huko huko. Wanampenda sana hata akifanya mambo ambayo hayafai bado wata muita Malaika, lakini ukweli uko pale pale mwenye akili atajua kinacho endelea.
 
Mbowe ni kiongozi mzuri tu na mchago wake tunauona, aliifanya chadema kuwa imara hadi leo, mimi yoyote atakayeshinda tutakua pamoja nae, make ccm siitaki kabisa kuendelea kututawala.
Mkuu, kwenye nchi hii Sisiemu imefananishwa na maji - usipoyanywa basi lazima uyaoge. Kuichomoa madarakani labda huko mbele kabisa mwaka 2100.
 
Mkuu, kwenye nchi hii Sisiemu imefananishwa na maji - usipoyanywa basi lazima uyaoge. Kuichomoa madarakani labda huko mbele kabisa mwaka 2100.
Kwanini iwe hivyo mwl.nyerere alisema kama utabili, atakayekuja kutawala chama cha upinzani, atatoka ccm. Make ccm kutatokea mpasuko mkubwa na utakisarambatisha chama tawala, na upinzani utatumia kama fursa.
 
ndio mwasisi wa utekaji na kuua huwezi acha kumtaja pindi tushuhudiapo haya.
Habibu Hanga kwenye uzi Fulani kafundisha kuwa ...unaweza kuwa wewe siyo Mtaaluma wa masuala ya upelelezi lakini maongezi yako ama utafiti wako waweza kuwa suluhu kwenye masuala mazito ya upelelezi!!!
===
Kwa hiyo, unapojaribu kufukua makabuli hakikisha unatumia koleo na sululu unavyomudu!
 
Nilikuwa najiuliza sana sababu za Mzee Kibao kufanyiwa unyama ule.

Kwanza nilikuwa hata sijasikia uwepo wa mtu kama huyo ndani ya CHADEMA; kwa sababu sikuwahi hata kusikia akitamka lolote hadharani.

Sasa majibu yame patikana.
Bado kuna mijitu inasema inamtaka Mbowe awe mwenyekiti,.. corrupt politician wa namna hii unaendelea kumwamini vipi??
 
Kumbe ndiyo maana kuna watu, hata humu JF wamevimba midomo, macho, masikio hadi pua; na vidole kujipinda kwa kubonyeza 'keyboard' wakimlaumu Tundu Lissu kwa wanaouita wao "uropokaji".

Kumbe wanajua mabomu aliyo nayo Tundu Lissu na wanayo hofu kubwa kuwa atayalipua!

Uovu wa aina hii nao uwe ni sehemu ya kuwekeana siri viongozi?

Hovyo kabisa.
Ndo maana Ukimuangalia FAM kwenye interview aliyofanya na Moja ya media hivi karibuni anaonekana anahasira sana na TAL .Anajua mda wa kuumbuka umefika.
 
Time for TL, anything about Freeman from him is true ..

Muda ni adui katili sana .
Kweli kabisa. Mbowe angelijua hili angenyamaza. Haina maana kuongea kwa kujitetea wakati unajua kabisa kwamba hata ukijitetea vipi hakuna mtu aliye tayari kukusikiliza achilia mbali kukuamini. Mbowe alishindwa kusoma alama za nyakati. Sasa hivi kile anachoongea Lissu ndicho sahihi baasi.
 
Nilikuwa najiuliza sana sababu za Mzee Kibao kufanyiwa unyama ule.

Kwanza nilikuwa hata sijasikia uwepo wa mtu kama huyo ndani ya CHADEMA; kwa sababu sikuwahi hata kusikia akitamka lolote hadharani.

Sasa majibu yame patikana.
Kumbe ndiyo maana kuna watu, hata humu JF wamevimba midomo, macho, masikio hadi pua; na vidole kujipinda kwa kubonyeza 'keyboard' wakimlaumu Tundu Lissu kwa wanaouita wao "uropokaji".

Kumbe wanajua mabomu aliyo nayo Tundu Lissu na wanayo hofu kubwa kuwa atayalipua!

Uovu wa aina hii nao uwe ni sehemu ya kuwekeana siri viongozi?

Hovyo kabisa.
Lissu aongezewe mlinzi.
 
Back
Top Bottom