Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Leo umekuwa mbogo baada ya siri za Jiwe na watu wake kuanikwa. Pole sana kwani ndio kwanza kunakucha.Junya kabisa wewe.
Huyo Mungu wako angekuwa fundi sana wala asingeruhusu Lisu apigwe marisasi yote hayo na kupewa kilema cha maisha.
Huyo Mungu wako atakuwa ni fundi Juma tu.
Aende sasa mahakamani. Anasubiri nn?Lissu ni mwanasheria hivyo anajua consequences za kimuhusisha na tuhuma nzito kama hizo bila ya kuwa na tangible evidence.
Mbona hivyo vidogo ndugu. Nilishawahi pambana na simba jike na nikatoka. We VIP?Umewahi kupigwa hata kisu maishani mwako? Au una jeraha la kupigwa hata na jiwe kwenye mwili wako?
Aaah Kumbe ni wewe! .Kutajwa hata yoyote anaweza kutaja
Walete ushahidi wenyewe kabisaaaa tu uone , ni hawana ndio maana mpaka sasa bila kumtaja Makonda hawapati airtime..
Ya maandamano yameeashindwa hata uongozi wenyewe hawapo vizuri.. Basi wamtaje wapindishe njia..
Makonda ana 🌟🌟🌟💫💫💫
Hakuna wa kutufundisha jinsi ya kuingoza wala wa kutwambia cha kufanyaView attachment 3106664
Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.
Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2017
JChadema akili hamna kama wewe unaweza kubishana hata na lissu pale atakapo sema ukweli ? Mbona lissu anajipendekeza kutaka kwenda kwenye kaburi la jpm kuhiji ....ulishajiuliza way? Lissu anaujua ukweli wote juu ya kupigwa kwake risasi.
Wacha upumbavu..ukumsikia hata fisadi rostam a,izi akisema kuwa ni nani wa kushitakiwa kwenye mahakama za ndani ?Nonsense.
Kama kutajwa tu unapumzishwa, wangeanza kupumzishwa watekaji.View attachment 3106664
Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.
Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2017
Mwanzo kulikuwa na korabo kati ya lissu na samia. Baada ya lissu kutukana samia, korabo ya samia na makonda ikazaliwa. Makonda hatolewi ng'o....
Kwa nini hukutajwa wewe mara hizo zote?Acha kufuga nywele kichwani bila kukishughulisha kitatue changamoto zako.Kutajwa hata yoyote anaweza kutaja
Walete ushahidi wenyewe kabisaaaa tu uone , ni hawana ndio maana mpaka sasa bila kumtaja Makonda hawapati airtime..
Ya maandamano yameeashindwa hata uongozi wenyewe hawapo vizuri.. Basi wamtaje wapindishe njia..
Makonda ana 🌟🌟🌟💫💫💫
huyo hatakiwi kupumzishwa, aachwe aendelee kufanya kazi na apewe na vyeo vingine. kwa sababu kama hatatubu na kugeuka, adhabu stahiki anatakiwa apewe na Mungu mwenyewe, wanadamu wakimpa adhabu haitatosha. damu za watu alizomwaka (kama ni kweli) zitalia hadi dunia nzima itajua yupo Mungu afichuaye mambo ya sirini. Mungu anao uwezo kuweka mambo yaliyofanywa sirini yakawe wazi kabisa, yaliyofanywa uvunguni yakawekwa kwenye kiango, kuna watu walikuwa wababe ila Mungu aonaye sirini aliwadhalilisha, siku zote giza hudharilika mbele ya Nuru na Mungu ni wa haki, haki yakaa kwake.View attachment 3106664
Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.
Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2017
Kwenye Mahakama zipi? Wale wale walioshindwa kumtia hatiani yule Dada Vyupa wa Babati au yule aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu au yule afande aliyewatuma Askari Uchwara ??? Acheni kujitoa ufahamu nchi imetapakaa laana kila kona..Kwanini lisu hamfungulii kesi?
Alikupiga kidole chenye ukucha?Nilifanikiwa kutoka. Elewa hiyo.
Za Africa masharikiKwenye Mahakama zipi? Wale wale walioshindwa kumtia hatiani yule Dada Vyupa wa Babati au yule aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu au yule afande aliyewatuma Askari Uchwara ??? Acheni kujitoa ufahamu nchi imetapakaa laana kila kona..
View attachment 3106664
Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.
Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2017
Halafu mtu anakwambia urais ni taasisi.Aliyemteua naye ana shida, mtu amevamia kituo cha Tv mchana kweupe, leo unamteua
Mpumbavu ni wewe unaehalalisha mauaji kwa raia badala ya kuruhusu mfumo wa sheria ufanye kazi na kwa haki. Huyo anaedaiwa kuagiza Lissu auawe kwa mamlaka aliyokuwa nayo alishindwa nini kuimarisha mfumo wa utoaji haki huko mahakamani ili wanaoshitakiwa huko wapate wanachostahili?J
Wacha upumbavu..ukumsikia hata fisadi rostam a,izi akisema kuwa ni nani wa kushitakiwa kwenye mahakama za ndani ?