Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

Hizo ni propaganda Kila mtu anajaribu kujifanya mwema.

Mimi sioni Cha msingi hapo sababu kuelekea uchaguzi ndio Lissu amekua akiibua mambo mengi ambayo hayana uakika wa kua kweli au lah
Naeza sema ni siasa chonganishi na kutafuta kick za kuonekana anafaa kua kiongozi akati hana sera za maendeleo zaidi ya kupanga maandamano.
 
Maskini weeh huna unachojua .
 
Hivi kwa akili zako marekani walimzuia makonda kukanyaga huko kwao hawana akili.. kuanzia tekinolojia hii wao ndio wavumbuzi ...wanajua kilakitu na picha na sauti za ushahidi zipo.
Hawa watu twitter tunawaweka kabatini tu.
 
SHERIA SIYO HAKI WEWE KIMA PUNJU ....
 
Kinachotakiwa ni ushahidi usiokuwa na shaka, Lissu anajua hilo ila anaendelea kumtaja pasipo ushahidi. Tuanze nasi kutia shaka uanasheria wako.
Ushahidi anao ndio maana kawafumua TIGO wewe na wenzio na ushahidi amewaonyesha TIGO yako ipo salama?
 
pager za Lebanon zinatakiwa ziwe zimewafunza sana hawa viongozi wababe na wauawaji. wajue kuna mataifa yanaweza kuwa yanawafuatilia hadi wanapoenda uwani, na wanaweza kuwafanya chochote. wasijione wao ni miungu sana.
 
Wewe ni mbumbumbu wa sheria za jinai. Pita kule, hujui unachoongea. Parties kwenye jinai ni serikali ndiyo hufungua mashtaka siyo mdhurika
 
Tuongelee serious...ushahidi huo wa Tigo ukipatikana, lissu hawezi kumshtaki Makonda? Makonda needs to go to jail hatujui kapoteza wangapi na wangapi wengine maisha yao yapo at risk kwa uwepo wake uraiani....go to hell Makonda go sucker
 
Wewe ulivyo ona au kusikia Unaamini lisu alipigwa risasi au alimwagiwa tu juice?
 
Kwa sababu "Sponsor" alikwishalamba mchanga, mwizi pekee anayeonekana sasa atakutwa na ngozi ni Daudi Albert Bashite, alias Paul Christian Makonda.

Kuna sauti naisikia inanielekeza ule mwezi "mdudu" kapotea hadharani ghafla ni kipindi ambacho aliwezeshwa au kutakiwa kwenda faragha mahali kumezeshwa report ya aliyekuwa mfanyakazi wa Tigo Bw.Clifford kuhusu uhusika wa Bw.Bashite katika tukio baya la kuondosha uhai wa Mhe.Lissu.

Wacha tuone kati yake Mdudu au Boss wa Wadudu na sisi waombaji wengine Mungu wa nani atajibu maombi ya wenye haki kwa hakika.

Mungu wetu sisi siyo Albert, wala Athumani, wala Juma, ama Hasani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…