Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Lying is just taking advantage of present time(s), circumstances and situation to hide the truth.. But at the same time, it is putting yourself at risk, particularly in the days ahead; when those times, circumstances and situation have changed or no longer exist.Muda ukifika ya sirini huwekwa bayana katika hali ya kushangaza.... Soon na baada ya hili tutajua tu, kifo cha John Pombe Magufuli pamoja na kugubikwa na utata...Tuombe uhai.
Junya kabisa wewe.Moja ya maneno yaliyonishutua ni Lissu kusema vijana wawili waliomshambulia kwa risasi wanawajua na watawataja.
Kingine ni pale aliposema siku ile anashambuliwa. Makonda alikuwa Afican Dreams(kama sikose hii ni hoteli iliyoko Dodoma).
Mungu fundi sana.
🤣🤣CHADEMA wazee wa kutembelea upepo, baada ya kufeli maandamano kwa aibu wanafufua makaburi waliyokayazika wenyewe 😁😁
Kama hajafanya, ajitokeze akanushe tuone , maana bashite tunae humu jukwaanMakonda kama alifanya huu uhuni hatapata amani maisha yake yote
Sidhani kama yupo. Anatumia ID gani.Kama hajafanya, ajitokeze akanushe tuone , maana bashite tunae humu jukwaan
View attachment 3106664
Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.
Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2024.
Ukiweka uchawa na unafiki pembeni, utakubaliana na hoja kwamba Paul Makonda hana sifa nzuri hata moja ya yeye kuweza kuteuliwa katika nafasi ya Uongozi katika nchi hii. Mtu huyu habebeki hata kwa mbeleko ya chuma.Issue kama hizo zinahitaji ushahid usio shaka not otherwise.
Hivi kwa akili zako marekani walimzuia makonda kukanyaga huko kwao hawana akili.. kuanzia tekinolojia hii wao ndio wavumbuzi ...wanajua kilakitu na picha na sauti za ushahidi zipo.Issue kama hizo zinahitaji ushahid usio shaka not otherwise.
Kenya ambapo Rais wao aloshinda kesi ICC kwa kuuwa mashahidi wote haiwezi kuwa mfano mzuri.Ingekuwa Kenya angewataja, lakini Tanzania ni bure labisa, akiwataja myawafanya nini? Makonda huyo hapo anajukikana kabla hata hajamtaja leo lakini kila siku mnamfungulia nyuzi za kumsifu na kumuabudu, imefika mahala mnatamani eti awe rais wenu!!
He survived to tell the tail.Moja ya maneno yaliyonishutua ni Lissu kusema vijana wawili waliomshambulia kwa risasi wanawajua na watawataja.
Kingine ni pale aliposema siku ile anashambuliwa. Makonda alikuwa Afican Dreams(kama sikose hii ni hoteli iliyoko Dodoma).
Mungu fundi sana.
Soma kwa kuelewa, Mtoa mada kasema mpumnzishe, hajasema afungwe jela. Acha mahaba na mtuhumiwa wa kusitisha haki za kuishi za watu wengineIssue kama hizo zinahitaji ushahid usio shaka not otherwise.
Kwanini unamtukana MWENYEZI MUNGU we kijanaJunya kabisa wewe.
Huyo Mungu wako angekuwa fundi sana wala asingeruhusu Lisu apigwe marisasi yote hayo na kupewa kilema cha maisha.
Huyo Mungu wako atakuwa ni fundi Juma tu.
It is true.Ukiwa CCM hakuna hata baya moja litakalo onekana kwako au kwa jamii ni baya ,hiyo ndiyo slogan ya CCM KULINDANA KWENYE UHALIFU, ndiyo maana gari ya mbunge imebeba wahamihaji haramu imegeuzwa
Na nchi hii haiwezi kwenda mbele kama tukiendelea kubaki na aina hii ya viongozi ndani ya chama
Yaani wewe unaamini kabisa Maneno ya Lisu yamfanye Samia kumwondoa Makonda ukuu wa Mkoa?View attachment 3106664
Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.
Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2024.
Middle finger kwa Mungu 🖕.Kwanini unamtukana MWENYEZI MUNGU we kijana
Wewe jidanganye Makonda yupo na ataendelea kuwepo na mwakani sio ten Mkuu wa mkoa ni mkubwa zaidi ya alipo!Hivi kwa akili zako marekani walimzuia makonda kukanyaga huko kwao hawana akili.. kuanzia tekinolojia hii wao ndio wavumbuzi ...wanajua kilakitu na picha na sauti za ushahidi zipo.
Tuliza mshonoHuyu mzee anazeeka vibaya sasa mbona alishasema several times!! Mimi nilitegemea aongelee maandamano yao ya Jumatatu yaliyofeli.