Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Nilikuwa nimekata tamaa ya kupiga kura ila kwa lissu kura yangu anayo.
Ubunge nampa wa ccm
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano


Kabisa nchi imepoteza mwelekeo kila kitu ni mzaha mzaha tu, sasa ni zamu ya chama kingine kuongoza.
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano



wacha wananchi waseme ukweli wenyewe usiwasemehe
 
Mkuu kwa sasa watanzania wengi wamesha amua na wapo tayari kumchagua mh Lissu

wewe wacha kusemea wananchi, unahakika gan tunamtaka lissu mm na ushahidi wananchi hawana ham na cdm
 
Mkuu nimejisikia kuchemka ndani yangu. Pia nimejifunza kitu kuwa hata ujio wa Lowasa kuna wengi waliumia.

Lakini sasa nimeanza kuipna ladha halisi ya upinzani, misimamo ya thabiti na divosheni isiyotia shaka katika kuirejesha Tanzania iliyo bora.
Nilisema ikiwa upinzani utaendelea kupwaya nisingepiga kura tena, lakini sasa nimeanza kuamka upya ndani yangu
Ni YeYe Lissu anatosha
 
Karibu
Najua baadhi yenu mlikuwa mmeshakata tamaa
Sisi bado tulikuwepo
Ilikuwa ni njia ya kuwaonyesha viongozi hatukubaliani na upuuzi walioufanya.

Wote tungeendelea kusifia mwaka huu wangefanya madudu tena.chama kingezidi kuzama.
 
Mamilioni ya watanzania wana muhitaji mh Lissu kuwa rais wao.

😂 😂 😂 😂 😂 bado tu huamini amini kwamba mamilioni wanamtaka magufuli, wacha nkuibie siri kuna wananchama 6 watahamia ccm sku sio nyingi, achana na wale waliowakimbia kuna wengine around 5 or 6 watahamia ccm sku sio nyingi
 
Hiyo ni moja ya kazi yako ukiwacha ile ya kupiga zumari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bado tu huamini amini kwamba mamilioni wanamtaka magufuli, wacha nkuibie siri kuna wananchama 6 watahamia ccm sku sio nyingi, achana na wale waliowakimbia kuna wengine around 5 or 6 watahamia ccm sku sio nyingi
 
Lissu ndio raia pekee anaeweza kumkemea Jiwe hadharani bila uwoga.
Tuvushe lissu
 
Bado sijasikia Lissu atalifanyia nini Taifa zaidi nasikia miruzi mingi ikipigwa ya ushabiki bila hoja za msingi.
Mitano ya Dikteta makufuli inatosha, utawala wake wa mkono wa chuma sasa basi.
 
Back
Top Bottom