Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Angetumia huu muda kujiimarisha zaidi kwa ajili ya 2025 kwa sasa sidhani.
 
Haya mahakimu jiandae Meko azima awapigie simu muanze kukandamiza
 
Tayari mmemnunulia bukta kwa ajili ya kumnadi!?
 
Lissu aache tamaa ya madaraka, ataongozaje nchi na huo ulemavu?

Wachaga wanamtumia kama walivyowatumia kina Silinde, Lijualikali, Prof Safari, Lwakatare.
Mkuu nchi imeongozwa na mtu mwenye ulemavu wa akili for 5 good years na ikaenda sembuse mlemavu wa viungo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…