Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu karipio la kuongeza ubeti kwenye Wimbo wa Taifa

Lissu enzi za JK alisemaga majaji wengi ni vimeo/uwezo wao ni mdogo na majaji wakafyata mkia mpk leo.

Ni kweli LISSU yupo sahihi. Sasa hiki alichosema Mutungi kinadhihirisha uwezo mdogo. Ameropoka bila kujua sheria ipi inayomkinga au anayoilinda. Ni ujuha tupu.
 
Msajili ndiye aliyetakiwa kuwaandikia CDM barua juu ya suala hilo. Sasa yeye anajiropokea tuu kama enzi zile tulipokuwa naye Dom kama msajili tukigombania watoto wa Dom Sec,Central Sec na CBE pale Kisasa nyumba 300.

Oooh, yanafichuka mengine sasa! Kumbe hili jamaa ni zeee la totooz siyo sheriaaaz. Makubwa!!!
 
Amekosea sana,halafu akiongea sera yake Magufuli hahaaa.
 
Katika tasnia ya sheria Lissu aliongea kitu kikubwa na ushahidi akauwakilisha alipohitajika ila report ikawekwa kabatini na rais aliyepita.
Kumbe kiti cha rais kuvunja katiba ya JMT haujaanza kipindi hiki cha rais wa awamu hii. Na kwanini wanasheria wengine walilikalia kimya hili jambo?
Napata sababu kwanini TL ni mwiba uliokomaa katika shamba linalotakowa kupaliliwa
 
Nia hasa ya kutaka kuuzunguka mbuyu ni nini? Wajuzi washeria waweke hapa hiyo sheria na kifungu cha sheria husika kilichovunjwa, ili watu wengine tupate kutambua ukweli na hata kutoa ushauri.
Kungekuwa na sheria imevunjwa kwa hali ilivyo sasa, uyo msajili angekuwa ameshawapa barua ya kujieleza
 
Na ni Sheria gani inayowapa hao CDM mamlaka ya kuongeza ubeti kwenye wimbo ambao upo protected?

Wajibu na haki vyote vipo kwa mujibu wa Sheria. Bahati nzuri Lissu amekiri kuwa Wimbo huo ni National trophy. National trophy ni kitu cha thamani ambacho hakipaswi kuchezewa, kudhihakiwa. Au hata kubadilishwa kwa namna yoyote ile bila ya kibali au ruhusa kutoka kwa mamlaka husika.

Kilichofanywa na CDM ni mwendelezo wa uhuni.
 
Upo Protected? Nenda shule kwanza

 
Sasa huyo Lissu si angempuuza tu huyo jaji...

Lissu naye kama Trump tu.
Kwani Mtungo alishindwa nini kuwapuuza CHADEMA akasonga na maisha yake? Angepungukiwa nini? Ujinga wa kutaka kumfurahisha mteuzi!
 
Kweli Wana mihemko isiyo na misingi why kuongeza beti, wimbo wa taifa ni nembo ya nchi na haitakiwi kuchezewa chezewa hovyo. Chadema waache huo utopolo wabeti lingine
Kuna nyimbo huko twitter ya ccm wanaimba wimbo WA taifa na wameongeza maneno mbona hukemei ikiwa uko sawa.
 
..but Mutungi fired first.

..huyu Msajili hana kazi za kufanya ndiyo maana anashughulika na mambo madogo-madogo.
Mbona kuna sheria inasema ukipigwa wimbo wa taifa hakuna kutembea hadi uishe na hakuna kuweka madoido,kama kuongeza ubeti,,hii ni sheria ya universal right
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…