Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAK, unajua kitakachotokea akijitoa? Kwasababu jina na picha zitakuwepo kwenye ballot paper, kura za wizi za maccm zitapigwa kwa Membe. Utashangaa anampita hata Lissu. Mind you, wameandikishwa wapiga kura zaidi ya nusu ya population ya Tanzania. Utakuja kuniona shekhe Yahya [emoji23][emoji23]Akitoa kauli hadharani na kisha kuandamana na Lissu kwenye kampeni za Lissu itapendeza zaidi.
Mkuu kila kitu kilishapagwa, tutakuwa tunaingiza mbinu moja moja mpaka mwisho.Ndio mana ninaamini uchaguzi huu ni mwepesi sana. Yule mgombea wa Chadema urais wa zanzibar mtamwambia nini?
Kama mliyajua hayo kwanini mliacha mchakato uendelee?
Tusubiri mgombea wa Chadema atakaposema wanaChadema Zanzibar wampigie membe kura za ndiyo.
Ila upinzani ndio wametegwa sana na sheria na kanuni za uchaguzi. Wakiungana, msajili wa vyama vya siasa anao uwezo wa kuwafutaLissu amekuwa realistic kwenye huu uchaguzi.
Wangeunganisha nguvu hata kwenye majimbo ya ubunge na udiwani kuhakikisha wanasimamisha mgombe mmoja...
Utoto unakusumbua, kisichopendwa au usichokipenda!Wewe ndiye mchumia tumbo maana unapenda chama kisicho pendeka hapa Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu anajibu kwa jazba (kama ulivyojibu) ni dhahiri anakuwa ameishiwa hoja. Na hii inatanabaisha vijana wengi wa chadema ni wakurupukaji. Tunasubiri tarehe 28 October 2020 mtakavyokuwa na Kihoro JPM atakapowagalagazaMgombea wa CDM huko Zanzibar aliwekwa kimkakati we mpuuzi wa Lumumba, hiyo ilikua ni baada ya Tume yenu ya Uchaguzi ILIYOWEKWA MFUKONI na jiwe kuwawekea mizengwe mingi ili wasiungane. Sawa sawa?
Hakipendwi kamwe bali mnalazimisha kupendwa kwa mabavuUtoto unakusumbua, kisichopendwa au usichokipenda!
Kwahiyo akiwagaragaza ndiyo USA itamuondolea vikwazo Bashite?Ukiona mtu anajibu kwa jazba (kama ulivyojibu) ni dhahiri anakuwa ameishiwa hoja. Na hii inatanabaisha vijana wengi wa chadema ni wakurupukaji. Tunasubiri tarehe 28 October 2020 mtakavyokuwa na Kihoro JPM atakapowagalagaza
Ni fedheha kubwa kwa kiongozi anayetaka kuwa Mkuu wa nchi hoja yake kubwa ati ni kuiondoa CCM madarakani. INAFIKIRISHA.Mgombea Urais wa Tanzania Bara kupitia CHADEMA akiwa kwenye kampeni Zanzibar amesema Maalim Seif wa ACT-Wazalendo ndio sauti ya wazanzibari kwa miaka 35, hajawahi kubadilisha msimamo wake juu ya kuitetea Zanzibar, kuna kila sababu ya kuungwa mkono kwa msimamo wake
Amesema kuwa, "Kumuunga Maalim Seif mkono na ACT sio kuwasaliti watu wetu, ni kutambua ukweli ulioko wazi kwa kila mtu kwamba, hawa ni chama kinachoweza kuiondoa CCM madarakani"
Hesabu zake huku bara Act nao wamuunge mkono!Chadema wameanza kukiri udhaifu Sasa,
Hata hapa bara pia nako watabwaga manyanga.
Na bara wasikilizaji wapo wapiga kura hamnahata hizo kura zote za chadema akipewa maalimu bado haziwezi tosha zanzibar chadema kura asilimia 0.0
Hii ndiyo comment Bora Kwa mwaka huuTuko pamoja.. CCM ikiwezwa kuondolewa znz , itakua vyepesi mno kufurushwa na BARA pia
Firauna aliondoka misri na yy alikua na jeshi Kali kushinda majeshi yote jee Huyu mungu wa chato asiondoke kwa sababu ganiNi fedheha kubwa kwa kiongozi anayetaka kuwa Mkuu wa nchi hoja yake kubwa ati ni kuiondoa CCM madarakani. INAFIKIRISHA.
Kweli kabisa hilo wala halihitaji uwe na elimu ya chuo kikuu kilitambua!Na bara wasikilizaji wapo wapiga kura hamna
Kumbe alilijua hilo kafuata nini zenji angetoa tamko huku huku bara dadadeeki Mbowe amle nyama!Tundu Lissu ni kiongozi bora na mwenye maono ya kulivusha taifa
Hajachukua fomu ya uraisi ZEC mpaka saivi. It’s a strategy kumuunga mkono maalim seifIna maana CHADEMA hawajaweka mgombea Zanzibar