Sasa kama mwenyewe Lissu kaishia kusema tu kwamba mlinzi wa Magufuli kafa bila kumtaja na huku anajua walinzi wako wengi alikuwa anataka sie tuelewe vp? tutajuaje kwamba anachokisema Lissu ni kweli au sio kweli?Kwani Rais Marehemu Magu, alikuwa na mlinzi mmoja tu? Hata kama akataja rangi ya ngozi je, mwenye rangi hiyo alikuwa mmoja tu?
Ni kweli JPM kafa, Ila Lissu kabaki kubokolewa na WAZUNGU ndo maana ana hasira sanaYaani Jamaa Kafa Aisee. Imagine.
Daah. Kama Utani Yaani Ila Kafa saa Hivi wadudu wanashambulia Hatari.
Mambo ya Kusimamisha sina UhakikΓ sina Ila Kufa Jamaa Kafa na Nilienda Kirumba Kumshangaa.
Wewe unawajua walinzi wangapi weusi?na kama wako walinzi wengi weusi ilikuaje aseme mlinzi mmoja mweusi kafa wakati anajua walinzi weusi wako zaidi ya mmoja?Naona wana ukawa wamekupania ila mkuu huyu bwana hakutaja jina, wewe ndo umekurupuka sana kwani mlinzi mweusi ni mmoja tuu??
Ataje jina la huyo mlinzi maana tunaambiwa walinzi wako wengi na ni weusi,sasa kama aliweza kumtaja rais anashindwa nini kumtaja huyo mlinzi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]harafu huyo huyo Lissu ndiye aliyeutangazia ulimwengu juu ya kuugua na hatimae kifo cha Jiwe wakapinga na kumdhihaki leo anasema mlinzi wake kafa wanabisha tena
Lissu na mashabiki zake akili zao wasamehe tuNi yupi sasa ambaye Lissu alikuwa anamzungumzia?
Ni mlinzi yupi wa Rais Magufuli ambaye kafa kwa C-19?
Huo mi mtizamo wako broh, wengine tunamuona Lissu ni mnyoofu sana
Kila mtu atakufa inajulikana hivyo,sasa hiyo karma sijui inaingiaje!Haijalishi, alitaka Aishi kama malaika duniani hapa,
Karma imemtafuna
achana nao hao wanaotetea ujinga wakati Clip inajionesha na Tundu Lissu kamtaja huyo jamaa kuwa ni dark guy always stand behind The President not in Military UniformNi mlinzi yupi sasa ambaye Lissu alikuwa akimzungumzia?
Ni yupi sasa ambaye Lissu alikuwa anamzungumzia?
Ni mlinzi yupi wa Rais Magufuli ambaye kafa kwa C-19?
Kifo cha mlinzi kinahusiana na madai ya kwamba Magufuli kafa kwa corona hivyo ndio pia wanadai hata mlinzi wake kafa kwa corona pia. Ila mke wa ni marehemu ni mzima.Kufa au kutokufa kwa aliyekuwa mlinzi wa Rais kunatusaidia nini sisi kama Watanzania, hata kama kifo kiwe ni cha C-19...
Sent from my Nokia 5.4 using JamiiForums mobile app
Sasa kama yeye hajamtaja inakuwaje nyie mnamlisha maneno? Ka Nyani nimekapuuza sana!Sasa kama mwenyewe Lissu kaishia kusema tu kwamba mlinzi wa Magufuli kafa bila kumtaja na huku anajua walinzi wako wengi alikuwa anataka sie tuelewe vp? tutajuaje kwamba anachokisema Lissu ni kweli au sio kweli?
[emoji23][emoji23]Jana mama kakusahau tena!!.
Odhis *
Hakuna anayemchukulia serious ndio maana alivyowaambia waandamane wakampuuza,wananchokifanya ni kama alivyokuwa anatumika Dr Shika.hivi bado kuna watu wanamchukulia serious kabisa huyu jamaa anayeitwa tundu lissu π π π π
Inaonesha hakuridhika kuona Magufuli hadi anakufa hana alichomfanya anabaki na hasira zake tu na kufa nazo.Lisu ana hasira sana kiasi kwamba kila hoja anayotoa anaitoa kulinagana na hasira zake
Waliyonusurika kuuwawa si Lissu tu ila hatuoni muda wote kuelezea hayo matukio yao ya kunusurika kufa,tatizo la Lissu ni mtu wa visasi kabla hata ya kupigwa hizo risasi sasa kibaya hakuwa na uwezo wa kurudisha kisasi chake kwa anayeamini ni mbaya wake na kibaya anachanganyikiwa zaidi kwamba hadi huyo mbaya wake anafariki hakumpiga hata kofi.Hebu jaribu kunusurika kuuawa, halafu tuone utampenda kiasi gani muuaji wako
Katangulia yeye ilihali alitaka wenzie wafe wakiwa bado na nguvuKila mtu atakufa inajulikana hivyo,sasa hiyo karma sijui inaingiaje!
Video ipi mkuu iweke hapa uioneHalafu mbele ya maaskofu aisee.... ile video kila saa naiangalia nasema hiiiii!
Ndo maana alikua na mambo ya ajabu sana maana mcha Mungu hangeweza simama madhabahuni akawasuta watumishi wa Mungu...
Mtu wa Mungu kweli asingewatesa maaskofu kiasi kile.
Jamaa alikua mshirikina first class