Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ujumbe wake ni huu:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kuusoma na kukugusa, hatimae umekenguka halafu hapo hapo unadai hujausoma !! Pole sana.Hatusomi ujeumbe wa mtetea ushoga
Aya tatu za mwisho zimebeba ujumbe muhimu sana.
utasomaje na wewe ni ngumbaru kingereza kinakupiga chenga. shule ulienda kusomea ujinga.Hatusomi ujeumbe wa mtetea ushoga
utasomaje na wewe ni ngumbaru kingereza kinakupiga chenga. shule ulienda kusomea ujinga.
Historia ni mwalimu mzuri sana
Kwa hiyo sisi hapa sio watanzania?? Hivi akili zenu hata kama ni kuwa mwanaccm ndio hata kiduchu hazimo?Ujumbe huu ni kwa Watanzania hawa hawa au amewaandikia wazungu na diaspora..
Mbona Tony Blair alikuwa ikulu juzi akiwa na Mama. Unataka kusemaje?Hatusomi ujeumbe wa mtetea ushoga
ni ujinga kuwa na diploma au degree halafu hujui kingereza.wanaojua kiingereza ndio walioenda shule, wanaojua kifrench, kihispanyola, kichina na kiswahili wenyewe hawakwenda shule..
Kwa hiyo sisi hapa sio watanzania?? Hivi akili zenu hata kama ni kuwa mwanaccm ndio hata kiduchu hazimo?
ni ujinga kuwa na diploma au degree halafu hujui kingereza.
kwa kimatumbi tunasema "it's nonsense to have a diploma or degree then you can't speak/read the english language.
that can not be taken as an excuse. please learn to speak english.wengine degree au diploma tumesoma china, Urusi, Bulgaria, ufaransa, Ujerumani nk...
Tundu Lissu is entitled to his opinion. Yaana ana haku ya kutoa mawazo yake. Nimeiisoma yote kikubwa anaponda hotuba ya Rais SSH kuwa imetaja maendeleo ya mabarabara, hospitali na mashule na magereza.