ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kamlilie anaekijua akusomee, akutafsirie labda utapata uelewa.Hatusomi ujeumbe wa mtetea ushoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamlilie anaekijua akusomee, akutafsirie labda utapata uelewa.Hatusomi ujeumbe wa mtetea ushoga
I am a great mind so I can connect the dots.I also do not believe anything I am told,nakifanyia postmortem.Mimi sio Zombie.I have noticed that you are a greatest conspiracy theoretist in this Jf .
Hajasoma. Tatizo ni lugha hiyo kwake haipandi. Kwa hiyo anaishia kutukana. Aksante kwa kumpa pole.Baada ya kuusoma na kukugusa, hatimae umekenguka halafu hapo hapo unadai hujausoma !! Pole sana.
Hizi ndizo political theories za Machiavelli: principles advocating a style of government in which political expediency is placed above morality, and instead craft and deceit are used to maintain the authority and carry out the policies of a ruler.Sasa haya ndiyo unayotaka wana siasa wafanye?Lugha iliyoenda shule ila aitumie katika kuitangaza Tz kwa mazuri. Asome falsafa za Machiavelli ili ajue maana ya uongozi.
I am a great mind so I can connect the dots.I also do not believe anything I am told,nakifanyia postmortem.Mimi sio Zombie.
I strongly concur.He only needs to understand the "context" under which Mwalimu's actions were taken. Believe, Tundu Lissu is smart enough to know that context.
Once he acknowledges that, then he should realise too, that fighting what was being done at that time brings no merit to his own struggle and that of the party he represents.
He should direct the struggle to the current situation, that is where his speech has traction and relevance; not to the history of a different epoch.
He only needs to understand the "context" under which Mwalimu's actions were taken. Believe, Tundu Lissu is smart enough to know that context.
Once he acknowledges that, then he should realise too, that fighting what was being done at that time brings no merit to his own struggle and that of the party he represents.
He should direct the struggle to the current situation, that is where his speech has traction and relevance; not to the history of a different epoch.
Umenena vyema. Kwake miaka 60 hakuna lolote zuri analoliona. Hata hao wazungu wanamshangaa sana.Tundu Lissu is entitled to his opinion. Yaana ana haku ya kutoa mawazo yake. Nimeiisoma yote kikubwa anaponda hotuba ya Rais SSH kuwa imetaja maendeleo ya mabarabara, hospitali na mashule na magereza.
Mimi ni kati ya watu waliolaani sana kushambuliwa kwa Lissu na Kikundi cha Makonda kwa amri ya Magufuli. Nimeandika sana humu kuwa ulikuwa UNYAMA wa hali ya juu.
Lakini sikubaliani na Lissu kwa aliyoyaandika hapa. Lissu anahitaji tiba ya KISAIKOLOJIA baada ya kupata tiba ya majeraha ya risasi 16. Mtu anayetarajia kuomba kura za uRais hapaswi kubeza maendeleo tuliyoyapata kwa miaka 60.
Kwa hiyo kwa mawazo yako, wote tunaoishi Tanzania hatuko smart? Huko nje ndiko wanakoishi watu smart? Una inferiority complex ya juu sanaMwalimu Betrayed Uhuru!
Kwa maneno haya pia kanifanya nicheke sana:
"...Even the increase in jailhouse, remand prison and police stations counts as progress according to this paradigm "
My conclusion:
Tundu Lissu is to smart to live safely and peacefully in this country so he better ramains abroad for his safety.
"Hatusomi kingereza, Bali tunatumia kingereza kusomea tunachosomea"ni ujinga kuwa na diploma au degree halafu hujui kingereza.
kwa kimatumbi tunasema "it's nonsense to have a diploma or degree then you can't speak/read the english language.
Ndio changamoto za nyuzi kama hizi. Yaani tayari mada imeshabadilika kinachojadiliwa humu sasa ni suala la LUGHA na sio Ujumbe huo kutoka kwa Bwana LISU.
Mimi nacheka tu. " Haaahaaa"
That may be the case, but you miss the meaning of the word as intended.There's no context to justify authoritarianism.
Utasomaje kitu ambacho huwezi uelewa?we katafute gazeti la uhuru tu ndio saizi yakoHatusomi ujeumbe wa mtetea ushoga
asilimia kubwa ya watanzania wenye diploma na degree wamesoma vyuo vya ndani vya hapahapa tz."Hatusomi kingereza, Bali tunatumia kingereza kusomea tunachosomea"
Kwa hiyo kutuambia ukiwa na degree au diploma unakuwa unajua kingereza huo ndo ujinga wenyewe
Yupo Wakudadavuwa wa CCM japo wanakaza ndita za uso kuwa hawasomi ujumbe wa "Mbelgiji'..