Tundu Lissu: An Independence Day Message to The People of Tanzania

Tundu Lissu: An Independence Day Message to The People of Tanzania

I have noticed that you are a greatest conspiracy theoretist in this Jf .
I am a great mind so I can connect the dots.I also do not believe anything I am told,nakifanyia postmortem.Mimi sio Zombie.
 
Lugha iliyoenda shule ila aitumie katika kuitangaza Tz kwa mazuri. Asome falsafa za Machiavelli ili ajue maana ya uongozi.
 
Lugha iliyoenda shule ila aitumie katika kuitangaza Tz kwa mazuri. Asome falsafa za Machiavelli ili ajue maana ya uongozi.
Hizi ndizo political theories za Machiavelli: principles advocating a style of government in which political expediency is placed above morality, and instead craft and deceit are used to maintain the authority and carry out the policies of a ruler.Sasa haya ndiyo unayotaka wana siasa wafanye?
 
I am a great mind so I can connect the dots.I also do not believe anything I am told,nakifanyia postmortem.Mimi sio Zombie.


You always connect no dots or you make your own dots and connect by yourself for yourself.🤣
 
He only needs to understand the "context" under which Mwalimu's actions were taken. Believe, Tundu Lissu is smart enough to know that context.
Once he acknowledges that, then he should realise too, that fighting what was being done at that time brings no merit to his own struggle and that of the party he represents.

He should direct the struggle to the current situation, that is where his speech has traction and relevance; not to the history of a different epoch.
I strongly concur.
 
There's no context to justify authoritarianism.
He only needs to understand the "context" under which Mwalimu's actions were taken. Believe, Tundu Lissu is smart enough to know that context.
Once he acknowledges that, then he should realise too, that fighting what was being done at that time brings no merit to his own struggle and that of the party he represents.

He should direct the struggle to the current situation, that is where his speech has traction and relevance; not to the history of a different epoch.
 
Tundu Lissu is entitled to his opinion. Yaana ana haku ya kutoa mawazo yake. Nimeiisoma yote kikubwa anaponda hotuba ya Rais SSH kuwa imetaja maendeleo ya mabarabara, hospitali na mashule na magereza.

Mimi ni kati ya watu waliolaani sana kushambuliwa kwa Lissu na Kikundi cha Makonda kwa amri ya Magufuli. Nimeandika sana humu kuwa ulikuwa UNYAMA wa hali ya juu.

Lakini sikubaliani na Lissu kwa aliyoyaandika hapa. Lissu anahitaji tiba ya KISAIKOLOJIA baada ya kupata tiba ya majeraha ya risasi 16. Mtu anayetarajia kuomba kura za uRais hapaswi kubeza maendeleo tuliyoyapata kwa miaka 60.
Umenena vyema. Kwake miaka 60 hakuna lolote zuri analoliona. Hata hao wazungu wanamshangaa sana.
 
Mwalimu Betrayed Uhuru!

Kwa maneno haya pia kanifanya nicheke sana:

"...Even the increase in jailhouse, remand prison and police stations counts as progress according to this paradigm "

My conclusion:

Tundu Lissu is to smart to live safely and peacefully in this country so he better ramains abroad for his safety.
Kwa hiyo kwa mawazo yako, wote tunaoishi Tanzania hatuko smart? Huko nje ndiko wanakoishi watu smart? Una inferiority complex ya juu sana
 
Kwan siku hizi Tanzania lugha imebadilishwa jamani au Mimi sio mtanzania?
 
ni ujinga kuwa na diploma au degree halafu hujui kingereza.

kwa kimatumbi tunasema "it's nonsense to have a diploma or degree then you can't speak/read the english language.
"Hatusomi kingereza, Bali tunatumia kingereza kusomea tunachosomea"
Kwa hiyo kutuambia ukiwa na degree au diploma unakuwa unajua kingereza huo ndo ujinga wenyewe na wala Hilo sio hakikisho kwamba ukifika level hizo basi kingereza unakuwa unajua kabisa."

TURUDI KWA LISSU
Huo ujumbe alioandika hakulenga kutuandikia sisi watanzania wote, lakini alichagua makundi baadhi ya watanzania na pia labda alilenga iwe rahisi Kwa umoja wa mataifa au nchi za nje kuelewa na wala sio mtanzania kama Mimi nilieshia darasa la Saba.
 
Ndio changamoto za nyuzi kama hizi. Yaani tayari mada imeshabadilika kinachojadiliwa humu sasa ni suala la LUGHA na sio Ujumbe huo kutoka kwa Bwana LISU.

Mimi nacheka tu. " Haaahaaa"

..Ndio ukubwa wa tatizo la lugha ya Kiingereza Tanzania.

..Pia ulichokiona ni tatizo la ELIMU yetu kwasababu ndiyo lugha ya kufundisha kuanzia kipato cha kwanza.

..Tunasherehekea miaka 60 ya UHURU wa Tanganyika lakini angalia DAMAGE iliyofanyika ktk mfumo wetu wa ELIMU.

..Sina tatizo na lugha ya Kiswahili, lakini kama nchi tunapaswa kujiuliza tulikuwa wapi mpaka taifa linazalisha wasomi wasiomudu lugha waliyotumia mashuleni kwa miaka 9 au zaidi?
 
"Hatusomi kingereza, Bali tunatumia kingereza kusomea tunachosomea"
Kwa hiyo kutuambia ukiwa na degree au diploma unakuwa unajua kingereza huo ndo ujinga wenyewe
asilimia kubwa ya watanzania wenye diploma na degree wamesoma vyuo vya ndani vya hapahapa tz.

kingereza ndio lugha ambayo inatumika kufundishia watz wengi kuanzia ngazi ya secondary mpaka vyuo vikuu.

nasisitiza tena, ni ujinga na uzwazwa wako wewe mtz mwenye diploma/degree kushindwa kuwasiliana kwa kingereza, lugha ambayo umeitumia kwa miaka kadhaa kujifundishia katika elimu ya secondary na vyuo vikuu. no excuse.
 
Back
Top Bottom