Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo umechukua posho yako kwenye US Embassy at the CIA desk?Wewe rudi kwenye conspiracy theories tu.
Lengo lake ni kuwafurahisha zaidi Elton John/George Michael/boy George na wenzie.Watanzania wengi wanatumia na kuelewa kiswahili kuliko hiki alichoandika.....hii awaandikie mabwana zake wake wataelewa zaidi
He only needs to understand the "context" under which Mwalimu's actions were taken. Believe, Tundu Lissu is smart enough to know that context.Mwalimu Betrayed Uhuru!
Kwa maneno haya pia kanifanya nicheke sana:
"...Even the increase in jailhouse, remand prison and police stations counts as progress according to this paradigm "
My conclusion:
Tundu Lissu is to smart to live safely and peacefully in this country so he better ramains abroad for his safety.
I am not violent,I hate people who are potential violence makers.Ignorance implies Poverty and Poverty implies Fear and Fear implies violence.
Therefore, ignorance, Poverty and Fear nurtures violent people.
Eti mna mpango,mimi na nani?What is it ??!!, mna mpango wa kumpiga tena shab••!!?😱
Haya mawazo ya kijinga wako pelekea ukoo wakoSemeni lolote,lakini huu utabaki kuwa ukweli.Foreign governments are using Lissu and others like him to destabilize our country,and the sooner we realize this the better.
Atajipiga risasi mwenyewe kwa tabia zake za hovyo.Lissu ni lazima afike mahali atambue mwisho wa mamlaka yake na akumbuke kwamba yeye ni Mtanzania kwanza.Western governments zina mdanganya,there is a limit to what they can realistically do.Wewe na wenzako wasiojulikana.
Lengo lake ni kuwafurahisha zaidi Elton John/George Michael/boy George na wenzie.
Na sio kuwapa ujumbe watanzania walio wengi..
Hiyo ndy Siri ya kuandika ujumbe kwa kingereza bila kujali 95% ya watanzania hawajuwi kuongea na kuandika English kwa ufasaha..
EEeeeh Bhwanah, unawafahamu wote hao jamaaa. Mbona umemwacha Frddie Mercury!Lengo lake ni kuwafurahisha zaidi Elton John/George Michael/boy George na wenzie.
Na sio kuwapa ujumbe watanzania walio wengi..
Hiyo ndy Siri ya kuandika ujumbe kwa kingereza bila kujali 95% ya watanzania hawajuwi kuongea na kuandika English kwa ufasaha..
Hivi Magufuli angesoma na kuelewa chochote hapa!??? Maana Antipass kaupiga mwingi kweli kweli hapa
Kimombo kitamu wewe!!! Yaani uongee kichina na wewe ujione mstaarabu!!!!? Unachekesha! Achana na kiingereza wewewanaojua kiingereza ndio walioenda shule, wanaojua kifrench, kihispanyola, kichina na kiswahili wenyewe hawakwenda shule..
Ulilishwa matango pori unaachaje kusoma kimombo hivi hamjiongezagi!!?that can not be taken as an excuse. please learn to speak english.
Hapana.Tundu Lissu is entitled to his opinion. Yaana ana haku ya kutoa mawazo yake. Nimeiisoma yote kikubwa anaponda hotuba ya Rais SSH kuwa imetaja maendeleo ya mabarabara, hospitali na mashule na magereza.
Mimi ni kati ya watu waliolaani sana kushambuliwa kwa Lissu na Kikundi cha Makonda kwa amri ya Magufuli. Nimeandika sana humu kuwa ulikuwa UNYAMA wa hali ya juu.
Lakini sikubaliani na Lissu kwa aliyoyaandika hapa. Lissu anahitaji tiba ya KISAIKOLOJIA baada ya kupata tiba ya majeraha ya risasi 16. Mtu anayetarajia kuomba kura za uRais hapaswi kubeza maendeleo tuliyoyapata kwa miaka 60.
Watanzania wengi wanatumia na kuelewa kiswahili kuliko hiki alichoandika.....hii awaandikie mabwana zake wake wataelewa zaidi
Ras Simba yupo, bei zake ni nafuuWatanzania wengi wanatumia na kuelewa kiswahili kuliko hiki alichoandika.....hii awaandikie mabwana zake wake wataelewa zaidi
Mkuu unajua,Lissu sio "mbwa kibogoyo." Binafsi naamini somehow alishirikiana na mabeberu kum-eliminate Magufuli.He new so much about the circumstances and timing of Magufulis' death.So ni lazima tuwe makini naye.He is obviously being used by Western Governments to destabilize our country.Hana lolote huyo, mbwa kibogoyo hata akibweka hakuna atakayetishika. Yeye aendelee kuwafurahisha kina rob amster tu.
Mr #dishlimetilt
Mkuu unajua,Lissu sio "mbwa kibogoyo." Binafsi naamini somehow alishirikiana na mabeberu kum-eliminate Magufuli.He new so much about the circumstances and timing of Magufulis' death.So ni lazima tuwe Malini naye.He is obviously being used by Western Governments to destabilize our country.