Ni vile tu hujamuelewa vizuri, mfatilie vizuri utagundua kitu kuhusu yeye, mengine yeye ni binadamu.Katika watu wa hovyo kutokea hapa Tanzania ni huyo jamaa.
Zezeta, msaliti, domokaya, mpayukaji, mla vya bure vya wazungu, shoga yake na rob amsterLissu unamchukuliaje?
Hahaha .umenikumbusha kisa cha bwana Ramadan Ighondu! Yule TISS aliyemteka na kumtesa DR. UlimbokaHuyu sio TISS Kachero mbobezi?
Huyu jamaa mara ya mwisho kufuatilia issue zake alikuwa anagombea ubunge huko singida.Sijui wajumbe walipita naye au alitoboa?!!Ramadan Ighondu!
Umeshajiuliza kwa nini alikuwa anashinda Ubunge? Unafikiri serikali kipindi cha ubunge wake isingetaka awe mbunge ingeshindwa?Zezeta, msaliti, domokaya, mpayukaji, mla vya bure vya wazungu, shoga yake na rob amster
Tundu Lissu ni smart? Kama kuna mtu wa Hovyo Mchi hii ni huyo.Mimi ni CCM ila Tundu Lissu ni moja ya watu smart sana, mzalendo hasa. Huyu sio raia tu wa kawaida atakuwa 'Mzalendo aliyepikwa'. Huyu ndiye aliye sacrifie maisha yake kwa ajili ya Watanzania. Ana miiko, maadili na misimamo.
Plus arrogant though without power.Very committed and rightous
Baada ya Nyerere mzalendo wa kweli mwingine ni TL. Asikudanganye mtu.
anayoNasema Lisu ana karama ya pekee. Ni zawadi toka kwa Mungu, CHADEMA hiii tunu waitunze vema! Huyu ni Albert Einstein of our time in Tanzania and even the world, it is a matter of time! by the way, hivi Tundu Lisu ana akauunti JF?
Arrogant ameshafariki mwezi machi.Plus arrogant though without power.
Aliyemdharau hakumaliza hata miezi mitatu madarakani.Zezeta, msaliti, domokaya, mpayukaji, mla vya bure vya wazungu, shoga yake na rob amster
Lakini na ujue Dunia bado inao arrogants wengi, wengine bado wako hai. Ombea tu wasipate power maana ndio utawajua vizuri.Arrogant ameshafariki mwezi machi.
WamepunguaLakini na ujue Dunia bado inao arrogants wengi, wengine bado wako hai. Ombea tu wasipate power maana ndio utawajua vizuri.
Just coincidence tu; siyo ushawishi ingawa TLS imeshindwa kuendelea kuwa professional organization tena bali sasa hivi ni political organization ya harakati. Hata ile tafsiri yao ya katiba ilikuwa siyo professional bali ilikuwa uanaharakai tu wa kutaka kumwondoa waziri mkuu wasiyemtaka wao.Fatuma Karume, Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea, hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono.
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika?
Angekuwa kachero asingepigwa vita enzi akiwa Mkuu wa TakukuruHuyu sio TISS Kachero mbobezi?
Ha ha ha. Sawa bwana.Wamepungua