Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Siiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisiem woyyeeeeeeeeeee!! ✌ ✌ ✌ ✌✌✌✌✌✌🐸🐸
 
Wew kibwengo haitaishi kusema Lissu kasema JPM ni mwizi. Jiulize alianzia wap kumuita mwiz. Hoja ilikuwa kunyanganya watu Ardhi yao na ukajimilikisha eka elfu 25 na kuwaacha wenyeji hawana kitu. Je huo ni wizi au ni wema. Usiwe zuzu
 

Jamaa ameprove kwamba kweli yeye ni mwanasheria, anaproveke ili mumjibu... na kiukweli anafanikiwa kwa asilimia zote.... aachwe atumie mbinu zake... kwa hiyo tulia ivyo iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiivyo...
 
Kwani jina jiwe si alijibatiza mwenyewe? Sasa lissu ana makosa gani hapo?
 
Kwani ni lazima tusikilize za kwenu, ww na family yako mkisikiliza inatosha
Usipanic, relax ni wewe mwenyewe ndo umesema tulete sera na tuache propaganda, au ndo umeanza kutetema. Hata ukitetemeka ushindi wa Magufuli ni kama Maji, usipokunywa utaoga tu.
 
Kupewa pesa na nani? Kwa hiyo ina maana kila mtu mwenye mapenzi na chama au mgombea ambaye anafanya vizuri kwa jamii na Taifa basi anakuwa amepewa pesa? Hapo si sawa
Buku 7 za Lumumba, zinakutoa akili hadi unapotosha kweli
 
Mbona wao wanamwita kibaraka kwa ushahidi gani?
Tulieni Lumumba mambo bado mazito kwenu.

Hata mamba wanapigwa risasi hawafi mjue kuwa Mungu atafanya ajabu kuu mwaka huu

Kwani si ni kibaraka kweli!! ameletwa toka ubelgiji na wazungu kuja kuleta vurugu na amekutana na baadhi ya mapunguani kama wewe mnamwona yuko sawa tu wakati Lissu mwenyewe ana faili mirembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…