Kama ni kweli, ni haki Bagonza awe na chuki naye kwa kupora ardhi ya wana Karagwe. Vifo vya wenzao waliotangulia viwafunze kuwa hawataondoka na chochote kati ya hivi wanavyopora, na hii ndiyo imempa heshima kubwa sana mtangulizi wao Mwl Nyerere.Kuna masheikh wako jela miaka 7 sasa, mbona serikali imeshindwa kupeleka ushahidi mahakamani?
Wafanyabiashara wanabambikiziwa kodi ili kuwatemesha mpunga...
Alie itwa mwizi akanushe mwenyewe kampuni ya mayanga na mengineyo kaa kwa kutulia mkuu mnyolewe make lisu anatufumbua macho tulikua hatujui wengi
Ujue pasco kwa miaka mitano hii jiwe alikua anaimbwa kwa mapambio ya kusifiwa tu, sasa toka kampeni zianze TL anazungumza maneno pengine hatujazoea kwa miaka mitano hii, watu wanashangaa wanaona kama TL anatukana kumbe tofauti, hata jiwe mwenyew akiwa jukwaani anadai TL anamtukana kwasababu kazoeshwa kusifiwa tu, daahMkuu Mkirindi , kwenye kumchagiza Tundu Lissu ndiye agombee na Magufuli, kuna kitu nilisema Lissu ni zaidi ya Magufuli ila sikukisema ni nini!.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Kufikia tarehe 28 October , kitaeleweka
P
Doto katibu mkuu wizara ya pesa ni mtoto wa nje wa mtukufu ukitaka ukweli mpigie huyu 0715132277 sele anamjua vizuri atakupa story zote kwani anajua udhaifu mwingi wa mtukufuTatizo kila kitu kinainyooshea kidole serikali hii. Pamoja na TL kusema mpwa wa Magufuli, Dotto James kuwa mtoaji mkuu wa pesa za serikali na kubuni uwanja wa Chato kama njia ya kujipatia pesa kupitia Mayanga Construction ambayo mmiliki wake ameoa nyumba moja na Magufuli bado Magufuli yupo kimya kukanusha.
Matusi yapo CCM ingawa sasa wameanza kuzidiwa hoja toka upinzani wameamua kutengeneza propaganda za kishamba kuwa wametukanwaLugha chafu na za kichochezi ni zipi?
Ikibidi mdahalo wa Lugha mbili wa kingereza na wa Kiswahili ili Duniani kote wajue.TUNATAKA MDAHALO WA WATIA NIA WOOOTE
Hawagusikikama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi
Hapo ndipo penye shida!Watanzania wameamka sana wamegundua CAG kwenye utawala huu hafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria bali hufanya kazi kwa mujibu wa Maelezo tokea kwa mtukufu ndiyo maana CAG hajawahi kukagua hesabu za ununuzi wa Ndege
kuhusu jiwe yeye mwenyewe alijiita hivyo akimaanisha kuwa yeye ana misimamo katika maamuzi yake na ukimshauri ndio kabisaa unamwagia maji zege anakaza zaidi,sio tusi kwa kuwa yeye anapenda atambulike hivyoHata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair.Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.