Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama Lissu kachanganyikiwa CCM ndoLissu kachanganyikiwa
Mimi nailaumu NEC walitakiwa kupima akili wachukua fomu kabla ya kuwapa Nina uhakika ngukekuweko upimaji akili Kama ziko timamu au la Lisu asingepewa fomu
Issue ya Corona Lisu haeleweki kea Wana Chadema Wala CCM Wala upinzani Wala wananchi wa kawaida Wala mabalozi walioko nchiniHahahaha kinacho muuma zaidi Lissu ni kutojibiwa hilo linamtesa sana!
Angekuwa timamu au nagekuwa sawa kisaikolojia angeachana na swala la corona maana sidhani kama kuna mtanzania au mwanachadema yeyote anaweza kumuelewa kabisa!
Na hili la Corona ndilo linazidi kumfanya watanzania wasithubutu kumpigia kura kwani wengi wameshaogopa kuwekwa karantini!
Lissu hajadai kuwa Magufuli aliilinganisha barakoa na titi, kama ulivyodai wewe.
Unabisha?
Nakubaliana pia ni mgombea Maskini asiye na pesa kuliko mgombea yeyote toka Chadema ianzishweTundu ndiye mgombea mbovu toka Chadema ianzishwe
Huyu mleta mada either ni popoma sugu, au anapotosha makusudi.. maana anamtuhumu mh. Lissu kwa mambo ambayo hakusema!Nimepata kukitazama kipande cha video ambacho ameongea kuhusu hilo na ni dhahiri kuwa wewe haujapata kuielewa hoja iliyomo.
Corona si hoja hapo isitoshe corona ni suala la juzi tu hapa katika yale yaliyomo katika kipindi cha miaka mitano ya awamu ya tano.
Hoja iliyoko hapo ni kauli za Rais katika masuala mbalimbali ya kitaifa. Ndio maana amezungumzia pia suala la majanga ya kiasili kama tetemeko la ardhi n.k.
Hoja si corona wala natural disasters alizozisema bali hoja ni kauli za kiongozi kwa wananchi pale ambapo majanga hayo yanatokea.
Pole sana mkuu ila kama unatudanganya hapa kwa manufaa ya kushinda mjadala basi ulaaniwe
Njoo wew unayeziweza pumbafu....nilijua mtu mwenyew uelewa kumbe famba tu.unatofautishe uanaharakati na siasa.kweli msukuma ni msukuma tu hata akiwa ulaya ni famba tuKatika kuzungumza huko naye anaonyesha ubovu wake kama mwanasiasa.
Yeye ni mwanaharakati tu.
Siasa haziwezi.
Hapana. Si suala la muktadha.Ni context tu!
Aliyoyasema Jiwe ni mabaya zaidi kuliko Lissu kutumia neno "Sidiria"
Kauli halisi ni hii:
Povu la nini sasa kamanda?Njoo wew unayeziweza pumbafu....nilijua mtu mwenyew uelewa kumbe famba tu.unatofautishe uanaharakati na siasa.kweli msukuma ni msukuma tu hata akiwa ulaya ni famba tu
Bado kampeniMsitegemee Agenda ya Maendeleo toka kwa TL tofauti na kumkosoa JPM.
Na hii Ndio hurka ya mwana harakati.
Rais wa ufipa?,fUk!uLissu yuko vizuri anazungumzia kuhusu utawala mbovu wa Magufuli na umuhimu wa kuung'oa madarakani ili kusimika utawala unaheshimu katiba, sheria za nchi wenye kufuata misingi ya utawala bora, usiotesa raia, kuwabambikia kesi na kubambikizia wafanyabiashara kodi!
Lissu anatetea maslahi ya watumishi wa umma, anataka wapate nyongeza za mishahara zilizoko kwa mujibu wa sheria na pia anapinga kauli za kinyanyasaji na zisizo na staha hasa kwa wanawake waliogeuzwa kuwa wanasesere wa mizaha kwenye utawala huu!.
Lissu katolea mfano wa kauli ya kukejeli barakoa baada ya Jiwe siku moja kuifananisha na sidiria, infact Jiwe aliifananisha na Titi moja la mtu lililokatwa!!. Maneno gani sasa yale kutoka kwa mtu mwenye hadhi ya ukuu wa kaya kuyatamka mbele ya hadhara?, Ni aibu!
Kiufupi Lissu anafaa kuwa raisi, na akipata atakuwa rais bora kuliko Magufuli
Akianza kuongea hoja za maendeleo hawezi fika kwa JPM.Bado kampeni
Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona.
Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi alivyoamua kukabiliana nayo.
Kamkosoa Magufuli kwa kuwaambia watu wasivae barakoa, ‘kwanza zinafanana na sidiria za wanawake’.
Sijui ni lini na wapi Rais alisema hivyo. Mnaojua mtanifahamisha.
Ila kwa Tundu Lissu kusimama mbele ya watu ambao hawana ‘time’ na Corona, ambao wamesimama kwa kurundikana bila kuacha nafasi, na ambao wala hawajavaa barakoa, akiwemo yeye mwenyewe, ni unafiki wa daraja la kwanza.
Kila siasa huwa ni za mahali pake. Kwa Tanzania hii, suala la Corona si hoja yenye mashiko, na kwa mtaji huo, si hoja ya ushindi.
Mbaya zaidi ni kutokitenda kile ambacho unakihubiri.
Huyo Tundu Lissu yeye anachukua tahadhari gani dhidi ya Corona tokea aje?
Ile barakoa yake aliyoivaa kwa dakika chache ile siku aliporudi, iko wapi?
Huyu jamaa ni kama vile yuko nje ya mguso na mambo ambayo Watanzania wanayajali.
Hebu mtazame hapa kuanzia dakika ya 6:30.....
Kusema ukweli Lissu hajui siasa kabisa ila analazimisha tu.Katika kuzungumza huko naye anaonyesha ubovu wake kama mwanasiasa.
Yeye ni mwanaharakati tu.
Siasa haziwezi.
Tunajua Meko ni ngosha mwenzio, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba ulimbukeni na ushamba umemzidi huyo ndugu yako.Sina hoja lakini kila niandikapo hukosi kupita na kutema nyongo zako!
Dizaini nakupa kiungulia cha moyo kila unionapo maana washindwa kujizuia!!!!
Pole.