Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anajitutumua kuitumia Corona kisiasa lakini wapi!

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anajitutumua kuitumia Corona kisiasa lakini wapi!

Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona.

Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi alivyoamua kukabiliana nayo.

Kamkosoa Magufuli kwa kuwaambia watu wasivae barakoa, ‘kwanza zinafanana na sidiria za wanawake’.

Sijui ni lini na wapi Rais alisema hivyo. Mnaojua mtanifahamisha.

Ila kwa Tundu Lissu kusimama mbele ya watu ambao hawana ‘time’ na Corona, ambao wamesimama kwa kurundikana bila kuacha nafasi, na ambao wala hawajavaa barakoa, akiwemo yeye mwenyewe, ni unafiki wa daraja la kwanza.

Kila siasa huwa ni za mahali pake. Kwa Tanzania hii, suala la Corona si hoja yenye mashiko, na kwa mtaji huo, si hoja ya ushindi.

Mbaya zaidi ni kutokitenda kile ambacho unakihubiri.

Huyo Tundu Lissu yeye anachukua tahadhari gani dhidi ya Corona tokea aje?

Ile barakoa yake aliyoivaa kwa dakika chache ile siku aliporudi, iko wapi?

Huyu jamaa ni kama vile yuko nje ya mguso na mambo ambayo Watanzania wanayajali.

Hebu mtazame hapa kuanzia dakika ya 6:30.....


Shit. Unaaibisha manyani...
 
Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona.

Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi alivyoamua kukabiliana nayo.

Kamkosoa Magufuli kwa kuwaambia watu wasivae barakoa, ‘kwanza zinafanana na sidiria za wanawake’.

Sijui ni lini na wapi Rais alisema hivyo. Mnaojua mtanifahamisha.

Ila kwa Tundu Lissu kusimama mbele ya watu ambao hawana ‘time’ na Corona, ambao wamesimama kwa kurundikana bila kuacha nafasi, na ambao wala hawajavaa barakoa, akiwemo yeye mwenyewe, ni unafiki wa daraja la kwanza.

Kila siasa huwa ni za mahali pake. Kwa Tanzania hii, suala la Corona si hoja yenye mashiko, na kwa mtaji huo, si hoja ya ushindi.

Mbaya zaidi ni kutokitenda kile ambacho unakihubiri.

Huyo Tundu Lissu yeye anachukua tahadhari gani dhidi ya Corona tokea aje?

Ile barakoa yake aliyoivaa kwa dakika chache ile siku aliporudi, iko wapi?

Huyu jamaa ni kama vile yuko nje ya mguso na mambo ambayo Watanzania wanayajali.

Hebu mtazame hapa kuanzia dakika ya 6:30.....


Sijawahi kuona mgombea uraisi asiyejielewa kama huyu jamaa.
 
Ni kwann mnajiaminisha namna hii kuwa atakuwa Bora........?!!!!

Hv akiwa ovyo kuliko unavyodhania,utakuja tena na kusema hafai,kisha ukamchagua mwengine tena na kumpa sifa kemkem.......?!

Jiulize hili
Ni kwann atakuwa Bora?!
Kwa lipi hasa ?!
Au unakusudia nini hasa kuhusu Ubora?!


acheni upuuzi

Lissu yuko vizuri anazungumzia kuhusu utawala mbovu wa Magufuli na umuhimu wa kuung'oa madarakani ili kusimika utawala unaheshimu katiba, sheria za nchi wenye kufuata misingi ya utawala bora, usiotesa raia, kuwabambikia kesi na kubambikizia wafanyabiashara kodi!

Lissu anatetea maslahi ya watumishi wa umma, anataka wapate nyongeza za mishahara zilizoko kwa mujibu wa sheria na pia anapinga kauli za kinyanyasaji na zisizo na staha hasa kwa wanawake waliogeuzwa kuwa wanasesere wa mizaha kwenye utawala huu!.

Lissu katolea mfano wa kauli ya kukejeli barakoa baada ya Jiwe siku moja kuifananisha na sidiria, infact Jiwe aliifananisha na Titi moja la mtu lililokatwa!!. Maneno gani sasa yale kutoka kwa mtu mwenye hadhi ya ukuu wa kaya kuyatamka mbele ya hadhara?, Ni aibu!

Kiufupi Lissu anafaa kuwa raisi, na akipata atakuwa rais bora kuliko Magufuli
 
Mie sijafika Tanzania tokea kuanza changamoto hii ya corona. Lakini tuache masihara hii changamoto imeondosha watu wala tusiichukulie kirahisi. Tundu anaweza kuwa anaifahamu vizuri maana alipotoka yeye Belgium kwa matibabu imepiga vibaya vibaya.
Sasa modal ya Belgiumu ni tofauti na hapa ndugu yangu, ndo hatari ya kuiga intervention ambazo hazina realistic na baadhi ya settings
 
Tundu Lisu akiwa kwenye jukwaa la Sera za CHADEMA apambanue na kupambana na sera za CCM, akipambana na Magufuli, hatamkwepesha ikulu, kwa kuwa CHADEMA isipoiweza CCM, ndio hivo Tena!
Sasa wafikiri sasa hv kuna chama pale, wakati kila kitu ni mtu mmoja, Ukitaka kuuwa nyoka haupigi mkiani..
 
Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona.

Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi alivyoamua kukabiliana nayo.

Kamkosoa Magufuli kwa kuwaambia watu wasivae barakoa, ‘kwanza zinafanana na sidiria za wanawake’.

Sijui ni lini na wapi Rais alisema hivyo. Mnaojua mtanifahamisha.

Ila kwa Tundu Lissu kusimama mbele ya watu ambao hawana ‘time’ na Corona, ambao wamesimama kwa kurundikana bila kuacha nafasi, na ambao wala hawajavaa barakoa, akiwemo yeye mwenyewe, ni unafiki wa daraja la kwanza.

Kila siasa huwa ni za mahali pake. Kwa Tanzania hii, suala la Corona si hoja yenye mashiko, na kwa mtaji huo, si hoja ya ushindi.

Mbaya zaidi ni kutokitenda kile ambacho unakihubiri.

Huyo Tundu Lissu yeye anachukua tahadhari gani dhidi ya Corona tokea aje?

Ile barakoa yake aliyoivaa kwa dakika chache ile siku aliporudi, iko wapi?

Huyu jamaa ni kama vile yuko nje ya mguso na mambo ambayo Watanzania wanayajali.

Hebu mtazame hapa kuanzia dakika ya 6:30.....


Jamaa huyu atapata shida sana kwenye kampeni
 
Huna hoja wewe! Umeng'ang'ania ya Lissu utadhani ni mtalaka wako?
Kwamba kakuacha huku unampenda!

Exactly. Lissu this, Lissu that. Mpaka inaboa. Talk about your candidate
Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona.

Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi alivyoamua kukabiliana nayo.

Kamkosoa Magufuli kwa kuwaambia watu wasivae barakoa, ‘kwanza zinafanana na sidiria za wanawake’.

Sijui ni lini na wapi Rais alisema hivyo. Mnaojua mtanifahamisha.

Ila kwa Tundu Lissu kusimama mbele ya watu ambao hawana ‘time’ na Corona, ambao wamesimama kwa kurundikana bila kuacha nafasi, na ambao wala hawajavaa barakoa, akiwemo yeye mwenyewe, ni unafiki wa daraja la kwanza.

Kila siasa huwa ni za mahali pake. Kwa Tanzania hii, suala la Corona si hoja yenye mashiko, na kwa mtaji huo, si hoja ya ushindi.

Mbaya zaidi ni kutokitenda kile ambacho unakihubiri.

Huyo Tundu Lissu yeye anachukua tahadhari gani dhidi ya Corona tokea aje?

Ile barakoa yake aliyoivaa kwa dakika chache ile siku aliporudi, iko wapi?

Huyu jamaa ni kama vile yuko nje ya mguso na mambo ambayo Watanzania wanayajali.

Hebu mtazame hapa kuanzia dakika ya 6:30.....



Mnaboa. Lissu hili, Lissu lile. Chuki binafsi au kuishiwa hoja? Mgombea wenu anaitwa John Pombe Magufuli. Ndiye alikuwa madarakani katika miaka mitano hii. Na anagombea kuendelea kuwa madarakani. Mna mengi ya kuongelea kuhusu yeye ikiwa ni pamoja na mapambio na vigelegele kila dakika lakini mnawashwa, mmeng'ang'ania "Lissu, Lissu." Acheni utoto huu!
 
Katika kuzungumza huko naye anaonyesha ubovu wake kama mwanasiasa.

Yeye ni mwanaharakati tu.

Siasa haziwezi.
Usipate shida wala nini ni kwamba sisi wananchi twajielewa kuliko jana na juzi so usikaze shingo kujifanya unatutafunia chakula kama vile sisia ni vibogoyo hatuwezi kutafuna wenyewe tulia tunawaangalia tu mnavyotuchukulia sie maboya ila tunajua kupembua mchele na pumba
 
Exactly. Lissu this, Lissu that. Mpaka inaboa. Talk about your candidate


Mnaboa. Lissu hili, Lissu lile. Chuki binafsi au kuishiwa hoja? Mgombea wenu anaitwa John Pombe Magufuli. Ndiye alikuwa madarakani katika miaka mitano hii. Na anagombea kuendelea kuwa madarakani. Mna mengi ya kuongelea kuhusu yeye ikiwa ni pamoja na mapambio na vigelegele kila dakika lakini mnawashwa, mmeng'ang'ania "Lissu, Lissu." Acheni utoto huu!
Kama tunaboa, we umekuja kufanya nini sasa hapa?
 
Lisu is out time, miaka mitatu sijui aliakuwa anaplan nini, umekaa nje ya game miaka mitatu na amekosa kabisa mapungufu ya serikali ya magufuli, sasa kaamua kumshambulia magufuli personal na kusimanga miundombinu, hospital, umeme, watu wamesurvive corona bila kuelewa kuwa wananchi wanavyo appreciate yeye anakuja kuponda wakati yeye mwenyewe yupo humohumo.
 
Wajinga ndiyo wanaoamini hakuna Corona. Madaktari wanajua wagojwa wa Corona na tofauti na mwezi wa nne vipimo vipo mfano kwenda Kenya huingii bila kupimwa? kuna watu wanapimwa kila siku hospital hizo Pia zina vipimo huwezi kasema havipo? tofauti no kwamba sio bure tena. Huo ni uongo kwamba serikali tu ndiyo ina vipimo hospital vipo! Tatizo lako unaamini serikali hiyo hiyo ambayo haisemi ukweli. Kuna tofauti ya madaktari na wanasisa. Ndugu wanajua na serikali wanajua kuna wagojwa ni wajinga tu ndiyo hawajui😂. Sitaendelea kujibu maswali ya kijinga kama unaamini Corona inaishia namanga kwasababu Mungu anatupenda sisi Watanzania kuliko Wakenya endelea kuamini hivyo maana Mungu ndiye aliweka mipaka ya nchi yetu😂. Tuombee Mungu chanjo ije haraka kutoka kwa mabeberu. Hivi unajua Marekani pekee imetisaidia kwenye budget ya Afya zaidi ya $600M ambayo in zaidi ya Tsh 1.2trillion lakini wanasiasa wanawaita mabeberu na kuficha Mwamba pesa ya Afya karibu yote ya chanjo za watoto na dawa ni pesa za hao wanaowaita mabeberu. Lakini wajinga au mnaojifanya wajinga hamuoni hili kwasababu ya ushabiki wa kisisa🙆. Imekuwa sifa siku hizi kujifanya mjinga
Wengine sijui korona inashindwa vipi kuwapata?
 
Tatizo kubwa ni kuwa wamemteua mtu ambae amekaa nje ya Tanzania kwa miaka 3 na kafika tu na kuanza kuzunguka hilo ni kosa kubwa alitakuwa akae tz japo kwa miezi 2 ili awe ta touch na tz nje ya hapo ndio hayo unayo yaona
 
Kwani jiwe kapambana au kaifumbia macho Corona ifanye yake?

Tangu lini kuacha kuukimbia ugonjwa kukawa ni kupambana nao?

Hoja nyepesi nyepesi kama hizi ni "tantamount to mocking the victims." Hii inaitwa kuwacheza shere wahanga kwa sababu tu hayajamkuta mtu.

Very selfish individuals!

Hoja kama hizi labda kwa ngedere ngedere tu si kwa binadamu.
 
Kuna wengi wanakufa kijana mwingine wa Arusha tulisoma naye Ilboru naye kafariki wiki mbili sasa. Kwasababu alikuwa na kisukari Corona ilimpeleka haraka sana. Uliza kwenye watu walio group za Ilboru kama si kweli ndugu yetu Elisante kafariki kwa Corona
Ushasema alikuwa na sukari ,kwaiyo mnataka mgongewe ngoma kujikinga wenyewe kila jambo mnataka mabwana zenu waongee....



Magu kawashika pabaya sana maana hoja hamn.
 
Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona.

Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi alivyoamua kukabiliana nayo.

Kamkosoa Magufuli kwa kuwaambia watu wasivae barakoa, ‘kwanza zinafanana na sidiria za wanawake’.

Sijui ni lini na wapi Rais alisema hivyo. Mnaojua mtanifahamisha.

Ila kwa Tundu Lissu kusimama mbele ya watu ambao hawana ‘time’ na Corona, ambao wamesimama kwa kurundikana bila kuacha nafasi, na ambao wala hawajavaa barakoa, akiwemo yeye mwenyewe, ni unafiki wa daraja la kwanza.

Kila siasa huwa ni za mahali pake. Kwa Tanzania hii, suala la Corona si hoja yenye mashiko, na kwa mtaji huo, si hoja ya ushindi.

Mbaya zaidi ni kutokitenda kile ambacho unakihubiri.

Huyo Tundu Lissu yeye anachukua tahadhari gani dhidi ya Corona tokea aje?

Ile barakoa yake aliyoivaa kwa dakika chache ile siku aliporudi, iko wapi?

Huyu jamaa ni kama vile yuko nje ya mguso na mambo ambayo Watanzania wanayajali.

Hebu mtazame hapa kuanzia dakika ya 6:30.....


Wewe beba box uko marekani. Huna msaada wowote kw maisha ya dhiki alioishi mtanzania kwa kpindi cha miaka 5.hujui chochote.
 
Back
Top Bottom