Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Porojo hizo, hampendi tu kusikia historia ya ukweli kuwa Waislam ndiyo waasisi wa kupigania uhuru wa Tanganyika.Huyo sio wa kumwamini sana, pamoja na kuifahamu historia vizuri lakini udini unampunguzia weledi hivyo anaweza kupotosha mada hii.
Abdulwahid Sykes alishindwa vibaya na huo ndio ukawa mwisho wake wa siasa za Kariakoo.TUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Lissu amekosea mwaka.
Uchaguzi ule ulikuwa mwaka wa 1953.
View: https://youtu.be/KH2tQw7TYec
Uzuri tumejua, kumbe hakumuachia Nyerere bali alishindwa vibaya sanaTUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Lissu amekosea mwaka.
Uchaguzi ule ulikuwa mwaka wa 1953.
View: https://youtu.be/KH2tQw7TYec
Muandika historia ni yule alieshinda sio alieshindwaPorojo hizo, hampendi tu kusikia historia ya ukweli kuwa Waislam ndiyo waasisi wa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hajasema hivyo kasema uenyekiti akimanisha kwa sasa.. na kukumbishia nyuma 1954 neno rais halijatajwaLeo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Muandika historia ni yule alieshinda sio alieshindwa
Kale magimbi u hibernateKwani aliyeshinda kajishinda mwenyewe ??? Si yuko aliyeshindana naye ??
Kale magimbi u hibernate
MatokeWewe ulishalishwa ??
Matoke
Naby...Uzuri tumejua, kumbe hakumuachia Nyerere bali alishindwa vibaya sana
Ushindi ni ushindi mraaa,,,kikubwa hakuachiwa kama stori zako za kwenye kahawa unazotakaga tuaminiNaby...
Kitabu cha Judith Listowel ndicho kilichoeleza kuwa Abdul Sykes na Nyerere waligombea nafasi ya urais wa TAA mwaka wa 1953.
Judith Listowel ndiye anaeeleza uchaguzi huu na ndiyo aliyesema kuwa Nyerere alipata ushindi mdogo.
Angalia kitabu chake, ''The Making of Tanganyika,'' (1965) uk. 221:
''Nyerere was elected by a small margin...''
View attachment 3080983
Ku hibernate hadi idiWaambie wakuongeze na magimbi u hibernate
mpaka kuwasha mwenge wenuKu hibernate hadi idi
Naby...Ushindi ni ushindi mraaa,,,kikubwa hakuachiwa kama stori zako za kwenye kahawa unazotakaga tuamini
Tuwekee story zako ulizopewa kanisani au unaogopa ??Ushindi ni ushindi mraaa,,,kikubwa hakuachiwa kama stori zako za kwenye kahawa unazotakaga tuamini
Sali salam maria 10Tuwekee story zako ulizopewa kanisani au unaogopa ??
Hapana. Huo ulikuwa ni mpango maalum uliosukwa na Waislam.Kipindi hicho walikuwa wakitumia akili na mbinu za kijasiri kupambana mkolono mweupe. Sykes alikuwa jasiri ila hakuwa na mbinu yaani elimu ya kupambana na mkoloni hivyo Nyerere alimzidi hapo tu. Ingekuwa Leo hii kwa jinsi waislamu wanavyokumbatia takataka iidwayo dini badala ya akili nyerere angeshindwa asubuhi tu. Huyo mama yenu kwasababu ya dini anauza nchi kwa warabu