Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
TUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Lissu amekosea mwaka.
Uchaguzi ule ulikuwa mwaka wa 1953.
View: https://youtu.be/KH2tQw7TYec
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Lissu amekosea mwaka.
Uchaguzi ule ulikuwa mwaka wa 1953.
View: https://youtu.be/KH2tQw7TYec